Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
Habarini wanaJF...
Mimi ni mwalimu wa Maths ambaye bado sijaajiriwa na shule yoyote,
Ninawazo lakuanzisha tuition katika mtaa ninaoishi, hivyo naomba ushauri wako ni vitu gani nizingatie hasa ili niweze kupata wanafunzi wakutosha na pia kuiendesha tuition hio kwa mafanikio.
Natanguliza shukurani.
Mimi ni mwalimu wa Maths ambaye bado sijaajiriwa na shule yoyote,
Ninawazo lakuanzisha tuition katika mtaa ninaoishi, hivyo naomba ushauri wako ni vitu gani nizingatie hasa ili niweze kupata wanafunzi wakutosha na pia kuiendesha tuition hio kwa mafanikio.
Natanguliza shukurani.