Ninapata kiungulia kikali nikila maharage, tatizo gani hili?

Ninapata kiungulia kikali nikila maharage, tatizo gani hili?

Msihangaike Na makansa kwanza,lamba majivu Tu kwisha
 
Hapana maana hiyo sio dalili ya kansa..... niliumwa sana kiungulia nikaja kupima nikakutwa na ulcers inayoanza....nikawa natumia rabeloc kidogo ilinisaidia kuzuia kiungulia.
Asante nitajaribu hiyo tiba
 
Hapana maana hiyo sio dalili ya kansa..... niliumwa sana kiungulia nikaja kupima nikakutwa na ulcers inayoanza....nikawa natumia rabeloc kidogo ilinisaidia kuzuia kiungulia.
Kwaiyo ulipona kabisa vidonda vya tumbo..utueleze wangne sis wenye dalili
 
kafanye medical chek up kubwa ni dalili ya cancer ya koo mkuu nina ushahidi
Nikiwa shule ndiyo vinachanganya, nikija likizo vinaisha au kupungua sana. Je dalili hizi ni za kansa ?
 
Kwaiyo ulipona kabisa vidonda vya tumbo..utueleze wangne sis wenye dalili
Hiyo ilikua inanituliza kiungulia nakaa hata siku tatu hadi week siumwi.

Nilipona kwa kutumia maganda ya nanasi na asali.
 
Maganda unayafanyaje mdada
eleza vizuri basi nawewe
Unayaosha then unayachemsha, mimi nilikua naenda kwa wale wauza mananasi wananiuzia yale maganda yake....nayachemsha kama robo saa ......yakiwa ya uvugu vugu nachanganya na asali nakunywa.

Nishasahau hata nilitumia muda gani ila kama sio week 2 basi week 3.

Tena ulcers kama ndiyo zinaanza ni rahisi sana kupona.
 
Unayaosha then unayachemsha, mimi nilikua naenda kwa wale wauza mananasi wananiuzia yale maganda yake....nayachemsha kama robo saa ......yakiwa ya uvugu vugu nachanganya na asali nakunywa.

Nishasahau hata nilitumia muda gani ila kama sio week 2 basi week 3.

Tena ulcers kama ndiyo zinaanza ni rahisi sana kupona.
Shukranii ntaongezea na Imani hapo
 
Hiyo ilikua inanituliza kiungulia nakaa hata siku tatu hadi week siumwi.

Nilipona kwa kutumia maganda ya nanasi na asali.
Simara maganda na asali how do you treat them
 
Unayaosha then unayachemsha, mimi nilikua naenda kwa wale wauza mananasi wananiuzia yale maganda yake....nayachemsha kama robo saa ......yakiwa ya uvugu vugu nachanganya na asali nakunywa.

Nishasahau hata nilitumia muda gani ila kama sio week 2 basi week 3.

Tena ulcers kama ndiyo zinaanza ni rahisi sana kupona.
Hayo maganda ya nanasi unachanganya namaji kisha unachemsha au? Yakisha chemka ndo unachuja hayo maji kisha umachaganya na asali? Asali kiasi gani?
 
Back
Top Bottom