Ugonjwa wako unaitwa Gastroesophageal reflux disease (GERD). Maharage ni acidic in nature sasa inapotokea reflux of that acidic food from the stomach baada ya kula kupitia cardiac sphincter acid hiyo huunguza surface ya oesophagus kwa kua epithelial surface ya oesophagus haiko adapted to acidic substances kama ilivyo surface ya tumbo, hii ni hatari kwani inaweza kukusababishia hali iitwayo barett's oesophagus ambayo inaweza kukusababishia kansa baadae (squamous cell carcinoma of oesophagus) , pia hali hii inaweza kukusababishia vidonda (oesophageal ulcers). Hali hii hutokea mara nyingi mtu anapolala flat baada ya kula au pia anapokula sana na kusababisha mfuko wa tumbo kujaa mpaka juu kabisa.
SULUHISHO
Epuka vyakula vyenye asili ya asidi au tumia vidonge vya kuneuralize acid kabla ya kulala na unywe maji mengi haraka mara tu unaposikia kiungulia ili kuepuka madhara hayo niliyoyaeleza juu
Pia kula chakula kwa kiasi tuu na epuka kulala mara tu baada ya kula au kama inakulazimu kulala basi tumia mto kuinua kichwa kidogo