Ninapokuwa na mwenza wangu kitandani, mawazo na hisia huwa zinapotea, nifanyeje?

Acha hofu,punguza mawazo,jiamini,acha punyeto,fanya mazoez,kunywa maji mengi,kula matunda na vyakula vyenye nguvu
 
Punguza au acha kabisa kuangalia picha za ngono... tafuta mwanamke wa aina unayopenda hisia zitakuja..
 
Hofu ya madeni au matatizo ya kimaisha huchangia hali hii. Kuwa na mwenza wako permanent na mkifika kunako 6x6 msiwe na mawazo ya kufanya. Itatokea hamu automatic. Ila ukienda moja kwa moja ukiwa na mawazo ya kugonga na umepania utaishia kupata mfadhaiko na hiyo itazidi kukuathiri kisaikolojia. Njia rahisi kuyekeleza hilo ni kulala nae usiku kucha ili mihemko ipungue na jogoo lazima atawika tuu
 
Mkuu huna tatizo lolote la nguvu za kiume hapo. Usifikirie sana mechi au ukiingia kitandani usianze mara moja. Chukua muda wa kuzungumza na ku cuddle hisia zitakuja taratibu na utapiga shoo ya uhakika. Ila understanding ya mwenza inahitajika sana kuboost self esteem yako. Good luck!
 
Asante #xambi,, kwa kuongezea,, ninapokuwa faragha huwa mapigo ya moyo yanaenda mbio na nina kuwa na hofu kinoma!? What can I do.???
 
hukutokea mara zote,mara nyingi au mara chache,funguka kidogo.ila kwa uzoefu mdogo nilionao inaonekana unapiga sana selfie au ni mwoga kwa wadada,cha kufanya,acha kupiga selfie na pia usiwashe taa wakati wa kugegeda ili kupunguza hofu
 
Mshukuru sana huyo "askari jeshi" wako,anakulinda dhidi ya adui "zinaa" na rafiki zake ambao ni "maradhi yatokanayo na zinaa" subiri uoe,asiposimama ndipo uombe ushauri.
 
Huenda unado na mke wa mtu itakuwaje uwe na amani.
Please acha hiyo tabia.
 
hukutokea mara zote,mara nyingi au mara chache,funguka kidogo.ila kwa uzoefu mdogo nilionao inaonekana unapiga sana selfie au ni mwoga kwa wadada,cha kufanya,acha kupiga selfie na pia usiwashe taa wakati wa kugegeda ili kupunguza hofu
Ni muda mrefu,,ila tatizo hili hunitokea mara nyingi
 
Miaka 25 unasema tatizo la muda mrefu wizi mtupu...hili ni fundisho kwa wengine wenye umri sawa na wako kwamba viungo vyenu vya uzazi bado havijakomaa kwa matumizi na mkae kwa adabu mkiota ndoto nyevu tu hadi wakati wa bwana ufike!
 
Miaka 25 unasema tatizo la muda mrefu wizi mtupu...hili ni fundisho kwa wengine wenye umri sawa na wako kwamba viungo vyenu vya uzazi bado havijakomaa kwa matumizi na mkae kwa adabu mkiota ndoto nyevu tu hadi wakati wa bwana ufike!
Miaka 2 inatosha kuwa muda mrefu
 
nyeto izo.... au tofauti na apo ur practising gay secretly huo ni ugonjwa mkubwa sana unaoua feelings za vijana wengi bila kujua....siongei sana.

suluhisho la temporary nenda pharmacy nunua kidonge kinaitwa "erecto" gram 100 kabisaa meza saa moja kabla hajafika...mashine itakaza balaa na woga hautakuwepo na utamtomb.a vema sana...next time usitumie kdonge maana woga utakua umeisha...mimi ni mtoa ushauri wa rika najua vijana wengi wanapofeli now...zaidi niPM
 
Mkuu hilo ni tatizo kubwa sana na kama ulishawai piga nyeto kwa muda mrefu nalo na tatizo kubwa linalochangia kwa ushauri wangu kuna dawa za asili hizi ukianza kutumia zitakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…