seminarian
Member
- Jun 8, 2024
- 24
- 26
Mimi ni mwanachuo ninasoma bachelor of science in chemistry mwaka wa pili ila sioni future katika hii kozi kutokana na ugumu wa ajira kwa hii kozi naomba ushauri wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kama kweni ni hohehae KWISHA habariyako my FRIENDOMimi ni mwanachuo ninasoma bachelor of science in chemistry mwaka wa pili ila sioni future katika hii kozi kutokana na ugumu wa ajira kwa hii kozi naomba ushauri wenu
Kwnn mkuuNa kama kweni ni hohehae KWISHA habariyako my FRIENDO
Ungeomba ajira za UpolisiMimi ni mwanachuo ninasoma bachelor of science in chemistry mwaka wa pili ila sioni future katika hii kozi kutokana na ugumu wa ajira kwa hii kozi naomba ushauri wenu
Unahisi alikua Mchepuo Gani? bila PCM sasa hivi husomi hiyoBora ungeomba biomedical engineering.
Biomedical engineering hata PCB wanasomaUnahisi alikua Mchepuo Gani? bila PCM sasa hivi husomi hiyo
Nina mdogo wangu mfumo wa chuo umemgomea alikua PCB hiyo Course ilikataa bila A/MBiomedical engineering hata PCB wanasoma
Ni kweli ni PCM tuu hiyo.Nina mdogo wangu mfumo wa chuo umemgomea alikua PCB hiyo Course ilikataa bila A/M