A Alfonce Leonard New Member Joined Aug 3, 2010 Posts 4 Reaction score 0 Dec 29, 2010 #1 wadau nisaidieni wapi nipatekazi za kilimo baada ya kuhitimu shahada ya kilimo. Ninasoma mwaka wamwisho katika chuo kikuu cha kilimo cha sokoine (SUA) ninahitimu mwezi agost 2011.
wadau nisaidieni wapi nipatekazi za kilimo baada ya kuhitimu shahada ya kilimo. Ninasoma mwaka wamwisho katika chuo kikuu cha kilimo cha sokoine (SUA) ninahitimu mwezi agost 2011.
M mmlaponi Member Joined Jan 29, 2010 Posts 23 Reaction score 3 Dec 30, 2010 #2 kijana maliza kwanza ndipo uwaze kazi!kunakshikwa mwaka wa mwisho!ajira wizara ya kilimo zipo za kumwaga!
kijana maliza kwanza ndipo uwaze kazi!kunakshikwa mwaka wa mwisho!ajira wizara ya kilimo zipo za kumwaga!