PHILIPP DONIE
Member
- Jul 2, 2013
- 61
- 15
Habari wana JF wenzangu,
MIMI nimemaliza kidato cha sita (mchepuo wa PGM) mwaka huu na kufaulu vizuri. ninaomba kwa yeyote aliye na kazi kama kufundisha, au kazi za kutumia nguvu anisaidie. Miaka 21, nina ujuzi wa computer, nimepitia JKT hivyo nimejengewa, nidhamu na uhodari katika kazi. Pia nina uwezo wa kujifunza kwa haraka na kuwa creative.
MAWASILIANO:0755 56 63 34
Asante
MIMI nimemaliza kidato cha sita (mchepuo wa PGM) mwaka huu na kufaulu vizuri. ninaomba kwa yeyote aliye na kazi kama kufundisha, au kazi za kutumia nguvu anisaidie. Miaka 21, nina ujuzi wa computer, nimepitia JKT hivyo nimejengewa, nidhamu na uhodari katika kazi. Pia nina uwezo wa kujifunza kwa haraka na kuwa creative.
MAWASILIANO:0755 56 63 34
Asante