Kwa majina naitwa Alfred Baraka Rugoye, mwanafunzi wa mwaka wa mwisho katika shahada ya Sayansi ya Kompyuta. Nimejikita zaidi katika uchakataji na uchanganuzi wa data, ujifunzaji wa mashine (Machine Learning), na akili mnemba (Artificial Intelligence). Ninatafuta fursa ya kufanya mazoezi ya kile nilichojifunza ili kuongeza ujuzi wangu kwa vitendo.
Ninaishi Dar es Salaam, na maeneo ya ofisi yaliyo karibu na Sinza na Ubungo yanakuwa rahisi kwangu kufika.
Mawasiliano yangu:
📧 Email: alfredbaraka287@gmail.com
📞 Simu: 0626 891 481
Asanteni, na poleni na kazi.
Ninaishi Dar es Salaam, na maeneo ya ofisi yaliyo karibu na Sinza na Ubungo yanakuwa rahisi kwangu kufika.
Mawasiliano yangu:
📧 Email: alfredbaraka287@gmail.com
📞 Simu: 0626 891 481
Asanteni, na poleni na kazi.