Natafuta pesa
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 279
- 384
Habari za muda huu.
Mimi ni kijana wa kitanzania. Nina umri wa miaka 25, natafuta kazi ya kufundisha kwenye taasisi ya elimu kwa ngazi ya kidato cha kwanza hadi kidato cha sita.
Nina uzoefu wa kufundisha shule ya sekondari kwa kipindi cha muda wa mwaka mmoja na nusu, somo la Kiswahili na Historia.
Ninapatikana Gongo la Mboto-Dar es Salaam. Nipo tayari kufanya kazi mahali popote.
Namba zangu za simu ni:- 0756-166-405.
Muwe na siku njema.
Mimi ni kijana wa kitanzania. Nina umri wa miaka 25, natafuta kazi ya kufundisha kwenye taasisi ya elimu kwa ngazi ya kidato cha kwanza hadi kidato cha sita.
Nina uzoefu wa kufundisha shule ya sekondari kwa kipindi cha muda wa mwaka mmoja na nusu, somo la Kiswahili na Historia.
Ninapatikana Gongo la Mboto-Dar es Salaam. Nipo tayari kufanya kazi mahali popote.
Namba zangu za simu ni:- 0756-166-405.
Muwe na siku njema.