Wapi iyo tujiandaeWote mnakaribishwa dini zote above 20yrs olds wowote
you can try your lucky,I wish yaani.
I need a couple of mature female friends who are focused and with clear minds.
Nazeeka hivi hivi with only male friends wallahy. I don't mind at all but I guess it would be splendid to finally know what its like to have some decent female friends.
Ila wengine wanasema itanikostiπππ.
Shoga tujipange twende kwa bibi...
halafu kila mmoja wakati wa kuondoka anaacha 10,000/-Exactly Madam inaleta ile hali ya ownership kwa kila mmoja kwenye hiyo meetig
Ee Bwana Mungu... Naomba unihurumie, naomba unisikie!
Shikamoo shem.Wanakuja
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kila MTU aje na msosi then tunapanga mezani tunajichana mwanzo mwisho
Wewe ukiwemoWanakuja
Halafu waje humu waanze kuvuana nguo baadae waombe mods wafute thread.Yaani kabisa nilete mvi zangu huko...? Hiyo tunawaachia vijana under 25
Hapana aisee mm nitoeWewe ukiwemo