MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 707
Mimi ni mtaalam wa fani inayoitwa Communication Arts. Nimehitimu chuo kikuu nchini Marekani. Ni bingwa katika kila kazi ninayoifanya.
Baada ya kufanya kazi hapa Dar miaka kadhaa, nimeona kwamba bora nianzishe chuo cha kuwafundisha vijana kile ninachokijua. Tatizo langu ni mtaji.
Nimefanya mahesabu, kwa kuwa pia ni mchumi, nilisomea fani hii. Mtaji wa kuanzia ni Shs. Milioni 30, lakini kama ni mkopo, unarudi wote ndani ya mwaka mmoja na nusu.
Baada ya miaka 5, chuo kitakuwa na uwezo wa kufungua matawi 5 mengine KWA MPIGO.
Ninatafuta mbia, mtu ambaye ni risk-taker makini. Ingawa hii ni anomaly - hakuna risk-taker makini - mimi ninaamini kwamba wapo.
Nitakuwa tayari kuzungumza na mtu ambaye angependa kuwekeza, kwani chuo kitakuwa CHA KIPEKEE na kitapendwa sana na wanafunzi wake.
Mwenye kutaka kuwekeza anitumie Private Message.
Baada ya kufanya kazi hapa Dar miaka kadhaa, nimeona kwamba bora nianzishe chuo cha kuwafundisha vijana kile ninachokijua. Tatizo langu ni mtaji.
Nimefanya mahesabu, kwa kuwa pia ni mchumi, nilisomea fani hii. Mtaji wa kuanzia ni Shs. Milioni 30, lakini kama ni mkopo, unarudi wote ndani ya mwaka mmoja na nusu.
Baada ya miaka 5, chuo kitakuwa na uwezo wa kufungua matawi 5 mengine KWA MPIGO.
Ninatafuta mbia, mtu ambaye ni risk-taker makini. Ingawa hii ni anomaly - hakuna risk-taker makini - mimi ninaamini kwamba wapo.
Nitakuwa tayari kuzungumza na mtu ambaye angependa kuwekeza, kwani chuo kitakuwa CHA KIPEKEE na kitapendwa sana na wanafunzi wake.
Mwenye kutaka kuwekeza anitumie Private Message.