Ninatafuta mchumba !

Ninatafuta mchumba !

hargeisa

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2011
Posts
549
Reaction score
42
Ninahitaji kua na mwenza sasa
sifa:
Mwenye kujazia kwa chini ya kiuno
miguu ya bia
mweupe
wa tanga na zanzibar watapata kipaumbele cha 1
dini yoyote sio freemason tu
 
Mkuu umesema awe na miguu kama BIA, je kama bia gani Kilimanjaro, Serengeti, Tusker, Castle Light, Safari, Tusker Light, Castle Lager
 
kama ana figure nzuri tabia sio hoja? maana kuna rafiki yake na housegirl ni mzuri ila ni malaya malaya, unasemaje hapo?
 
Mkuu umesema awe na miguu kama BIA, je kama bia gani Kilimanjaro, Serengeti, Tusker, Castle Light, Safari, Tusker Light, Castle Lager

hii mkuu ni safari lager
yupo unae mfahamu karibu yako
 
Ninahitaji kua na mwenza sasa
sifa:
Mwenye kujazia kwa chini ya kiuno
miguu ya bia
mweupe
wa tanga na zanzibar watapata kipaumbele cha 1
dini yoyote sio freemason tu
Mdogo wangu hapo hutafuti mke unatafuta Kahaba!
 
Mdogo wangu hapo hutafuti mke unatafuta Kahaba!

no!!!!!!! kaka hata kahaba huenda akatulia ukahaba wake ni shida au kutatizo lilompeleka katika hali hiyo
kwagu hata kahaba anakaribishwa kama ana sifa hz!!!!!!!!!!!!
 
naona wewe unatafuta wa kuchinja mara moja na kusepa na sio mchumba...
 
Ninahitaji kua na mwenza sasa
sifa:
Mwenye kujazia kwa chini ya kiuno
miguu ya bia
mweupe
wa tanga na zanzibar watapata kipaumbele cha 1
dini yoyote sio freemason tu

duh... Kaazi kwelikweli hivi bia nazo zina miguu??? Zinasimama?? Au Zinatoka nduki.
 
He he ha ha ha he he hivi utakula hio miguuuu? Mapenz ya kweli naTabia njema ndo cha muhimu
 
Back
Top Bottom