Ninatafuta mume wa ndoa

Ninatafuta mume wa ndoa

Dinam

Senior Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
116
Reaction score
28
Umri wangu ni 40yrs nina mtoto mmoja 8yrs ninafanya kazi, kwa alie na umri kati ya 40 hadi 45 aipm ili tuweze kuwasiliana. Mkristo atapewa kipaumbele zaidi.
 
Nawaomba tusikwazane maana wengine huwa hawana ushauri mzuri
 
Umri wangu ni 40yrs nina mtoto mmoja 8yrs ninafanya kazi, kwa alie na umri kati ya 40 hadi 45 aipm ili tuweze kuwasiliana. Mkristo atapewa kipaumbele zaidi.
.
Am 43 years, mishen town, nina watoto 6 kila m1 na mama yake, ntakufaa?
 
Haya mi najipitia, kwa wenye kutaka mke msilaze damu
 
I am 45 yrs old, Christian and working. Kindly contact me through 0719077297
 
Umri wangu ni 40yrs nina mtoto mmoja 8yrs ninafanya kazi, kwa alie na umri kati ya 40 hadi 45 aipm ili tuweze kuwasiliana. Mkristo atapewa kipaumbele zaidi.
Miaka yote ulikuwa wapi kupata mme wa kukuoa? Je baba mtoto wako yuko wapi? Na kwa nini hajakuoa? Sifa unazozitaka ninazo lakini hunipati ng'o!
 
Naona unataka kuwapunguza member wa jf ngashtuka
 
Miaka yote ulikuwa wapi kupata mme wa kukuoa? Je baba mtoto wako yuko wapi? Na kwa nini hajakuoa? Sifa unazozitaka ninazo lakini hunipati ng'o!

Huna sifa nini, mbona maswali mengi kama afande Kava:suspicious:
 
kila la kheri ktk kutafuta atake kupa furaha maishani mwako,
 
Miaka yote ulikuwa wapi kupata mme wa kukuoa? Je baba mtoto wako yuko wapi? Na kwa nini hajakuoa? Sifa unazozitaka ninazo lakini hunipati ng'o!
Sasa kwan lazima uchangie kama huitaji unakaa kimya.hata hili tufundishane pia.wacha watafutane
 
Kazi adimu hii ngoja niichangamkie
 
ondoa shaka mume umempata na ndo hyu hpa...bt me nna 23 so km utakubal npe contact zko thn jamaa nje kujchukulia jko...me penda xna wa2 ka ww.
 
Back
Top Bottom