Ninatafuta mume wa ndoa

Take it easy, makwazo utakutana nayo, usikate tamaa. I pray for you. All the best!
 
Aiseeeeee! umri ungepungua kidogo ningejitosa!I dont care kama umenizidi umri!Vibint visumbufu sana!!
 
Umri wangu ni 40yrs nina mtoto mmoja 8yrs ninafanya kazi, kwa alie na umri kati ya 40 hadi 45 aipm ili tuweze kuwasiliana. Mkristo atapewa kipaumbele zaidi.
Kapicha basi mtu wangu ili tuangalie walau kama sura inalipa na umbile mana hiyo ndio itafidia umri.
 
Umri wangu ni 40yrs nina mtoto mmoja 8yrs ninafanya kazi, kwa alie na umri kati ya 40 hadi 45 aipm ili tuweze kuwasiliana. Mkristo atapewa kipaumbele zaidi.
Kumbe wakiristo mnaoana?
 
Nakuitaji sana mama nina 43 tuwasiliane diccky4@ovi.com au 0716830480
 
Umri wangu ni 40yrs nina mtoto mmoja 8yrs ninafanya kazi, kwa alie na umri kati ya 40 hadi 45 aipm ili tuweze kuwasiliana. Mkristo atapewa kipaumbele zaidi.

Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

 
Mtu makini mwenye akili timamu na fikra pevu hawezi kuleta utani katika kitu cha maana, jamani kwa ambaye hayoku tayari kuliko kuanza kuandika utani na kwenda nje ya mada mngenyamaza,mwenzenu anashida hivyo anataka aliyeko tayari wawasiliane.
Kama huna vigezo mpotezee
 
asante but umri wangu umepita 40, sina umbo zuri kama unavyotaka lakini sijijui labda , ila kwa tabia njema ninayo, nina elimu ya certiificate na ninafanya kazi na nina mtoto mmoja 8yrs kama utaridhika utanijibu hata kama sio jibu tu kwani sina neno na uwe na amani tele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…