Dar es salaamuko mkoa gani?
AminaMungu akatimize hitaji la moyo wako kwa wakati sahihi
Asante kwa ushauriMpaka saizi miaka yote hiyo hujaolewa???? Duh! Kweli mambo yanabadlika,, halafu tena unaweka mashart ya awe amefika form six! Hapo inatakiwa uombe kama msaada tuuu mtu akuhurumie akuoe
hhahahahaaaa kabisaMpaka saizi miaka yote hiyo hujaolewa???? Duh! Kweli mambo yanabadlika,, halafu tena unaweka mashart ya awe amefika form six! Hapo inatakiwa uombe kama msaada tuuu mtu akuhurumie akuoe
Katika ubora wako ni mara ya 497 una type neno chura jf.Chura ipo?
Hi uko wapiAmina
Habari wana JF,
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 36.
Ninatafuta mpenzi mwenye upendo wa dhati atakayekuwa mume wangu.
Sifa zake
Umri: 37-45
Dini: Mkristo
Elimu: kidato cha sita na kuendelea
Kipato: Kaajiriwa / kajiajiri.
Ninawakaribisha PM kwa mawasiliano zaidi.
Ninatanguliza shukrani zangu kwa wote watakaojitokeza.
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Dar es salaam
Hi uko wapi
Muoneeni huruma jua ndio linazama hvyohhahahahaaaa kabisa
huyu wa kuhurumia tu bt tc too late