Ninatafuta mwanamke mtu mzima sana 50+

presider

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
1,320
Reaction score
1,738
Nmechoka na drama za mabinti wa mjini ndio maana nnataka Mwanamke mtu mzima sana umri kuanzia miaka 50 na kuendelea
Uwe upo Dar
Dini mkristo
Uwe mkarimu na Mcheshi
Uwe tayar kupima magonjwa yote ya zinaa.
Uwe na shape nzur na kalio kubwa
Uwe tayar kwa Mauhusiano ya kudumu
Sifa zangu
Mimi n kijana wa 35
Npo dar
Mimi n mfanyabiashara na mpambanaji sana wa kutafuta Maisha.
 
Aya kaka wanakuja
 
50+ useme unatafuta mwanamke wa kumzika tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…