Llio 002
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,636
- 2,053
Habari zenu,
Naishi Dar es salaam, natafuta rafiki wa kike ambaye baadae anaweza kuwa mke wangu.
WASIFU WANGU
-Nina umri wa miaka 29.
-Nina shahada ya uongozi wa Mauzo na Masoko kutoka C.B.E
-Sina mtoto.
- Nimejiajiri
WASIFU WAKE
-Umri 31 maximum
-Awe mwaminifu na mkweli.
-Asiwe na majivuno na majigambo.
-Asiwe na mme.
-Awe ana jielewa
PM kwa mazungumzo zaidi.
Karibuni
Naishi Dar es salaam, natafuta rafiki wa kike ambaye baadae anaweza kuwa mke wangu.
WASIFU WANGU
-Nina umri wa miaka 29.
-Nina shahada ya uongozi wa Mauzo na Masoko kutoka C.B.E
-Sina mtoto.
- Nimejiajiri
WASIFU WAKE
-Umri 31 maximum
-Awe mwaminifu na mkweli.
-Asiwe na majivuno na majigambo.
-Asiwe na mme.
-Awe ana jielewa
PM kwa mazungumzo zaidi.
Karibuni