Ninatafuta rafiki wa kike wa kuchat tu

Ninatafuta rafiki wa kike wa kuchat tu

bamku

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
538
Reaction score
427
Mimi ni kijana wa miaka 38 mwenye shahada ya kwanza. natafuta rafiki wa kike kuanzia miaka 33 kwa ajili ya kubadilishana mawazo tu ya kimaisha. masuala ya ngono hapana.
 
kwa usiku huu tu mchat au ndo kibarua cha daily?

Na kwa nini usichat na members wote hapa unataka kujilimit kwa mmoja?

Haya bana, bangi ikiota usianze kulalamika kuwa unataka mchicha.
 
mhh peleka kule MMU ndio wapo wengi, huku ni mvhanganyiko. ila hunajihami ngono no, hii kitu hainaga no ikishuka imeshuka.
 
Wote wa kuanzia 33 na kuendelea wameolewa au wameachika. Tafuta kitu fresh say 27 yrs.
33 yrs wako very wise like India but nobody wants to go there.
 
Mimi ni kijana wa miaka 38 mwenye shahada ya kwanza. natafuta rafiki wa kike kuanzia miaka 33 kwa ajili ya kubadilishana mawazo tu ya kimaisha. masuala ya ngono hapana.

Unataka kubadilishana mawazo!!! kwani mawazo uliyonanyo hayakutoshi?
 
Mimi ni kijana wa miaka 38 mwenye shahada ya kwanza. natafuta rafiki wa kike kuanzia miaka 33 kwa ajili ya kubadilishana mawazo tu ya kimaisha. masuala ya ngono hapana.

miaka 38 bado kijana??????
2015 octoba waweza chukua fomu mgombea binafsi ya urais, bado wajihesabu kua ni kijana
 
nina miaka 19 natafuta rafiki wakubadilisha nae mawazo iwe wa kike au wa kiume fresh tu, unaweza kureply namba yako na kuanza kuchat name bila shda sina ubaguzi, kwan wote ni wanadamu.
 
Secret hii. soma comment
Ukiona mdada ka comment ""sawa""
Huyu huyo nyooka nae
 
naona jf ni ya wanaume tu mbona wanawake hamna, wapo asilimia 5 tu, wanafanya kujotokeza kwa bahat mbaya na kutoweka au hawana mawazo ya kuchangia ktk mambo mbal mbali
 
wanaanzaga iviivi eti wanabadilishana mawazo.sasa apo watayabadili ayo mawazo adi mawazo ynyew yataamua kuwakimbia. mwisho kimyaaa usikii kitu mara kidogo unaskia sauti ya chaga zinalalamika kwiichi kwichii kwiichi
 
wanaanzaga iviivi eti wanabadilishana mawazo.sasa apo watayabadili ayo mawazo adi mawazo ynyew yataamua kuwakimbia. mwisho kimyaaa usikii kitu mara kidogo unaskia sauti ya chaga zinalalamika kwiichi kwichii kwiichi
mawazo uongo yan mwez mzima mexej mbli tu
 
Back
Top Bottom