Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni kijana wa miaka 38 mwenye shahada ya kwanza. natafuta rafiki wa kike kuanzia miaka 33 kwa ajili ya kubadilishana mawazo tu ya kimaisha. masuala ya ngono hapana.
Unataka kubadilishana mawazo!!! kwani mawazo uliyonanyo hayakutoshi?
Mimi ni kijana wa miaka 38 mwenye shahada ya kwanza. natafuta rafiki wa kike kuanzia miaka 33 kwa ajili ya kubadilishana mawazo tu ya kimaisha. masuala ya ngono hapana.
haina kuchelewa hyo yanSecret hii. soma comment
Ukiona mdada ka comment ""sawa""
Huyu huyo nyooka nae
Atakuja tuuhaina kuchelewa hyo yan
kama vp nianze urafik na wew mambo ya kusubili kuni za mpapai sawa na bure kabla hujapikia zisha isha utakuwa unajisumbua bureAtakuja tuu
[emoji3516][emoji3516] mwanamke nipo hapanaona jf ni ya wanaume tu mbona wanawake hamna, wapo asilimia 5 tu, wanafanya kujotokeza kwa bahat mbaya na kutoweka au hawana mawazo ya kuchangia ktk mambo mbal mbali
asa wewe mmoja tu hahah aibu[emoji3516][emoji3516] mwanamke nipo hapa
mawazo uongo yan mwez mzima mexej mbli tuwanaanzaga iviivi eti wanabadilishana mawazo.sasa apo watayabadili ayo mawazo adi mawazo ynyew yataamua kuwakimbia. mwisho kimyaaa usikii kitu mara kidogo unaskia sauti ya chaga zinalalamika kwiichi kwichii kwiichi