Jamani ninatafuta toyota collora wadau,iwe na sifa zifuatazo:-
1.iwe ni 110 au 111 ya atleast mwaka 1999 na kuendelea.
2.kama ni used iwe angalau imeingia nchini mwezi wa 5 mwaka huu.
3.iwe imetembea chini ya km 70000.
4.kuwa na rims nzuri na mziki ni sifa za ziada.
5.offer yangu ni kuanzia shs 6.5m na kuendelea.
nimejaribu kuulizia collora hakuna anayeijua......labda ulikuwa unamaanisha corolla?
Jamani ninatafuta toyota collora wadau,iwe na sifa zifuatazo:-
1.iwe ni 110 au 111 ya atleast mwaka 1999 na kuendelea.
2.kama ni used iwe angalau imeingia nchini mwezi wa 5 mwaka huu.
3.iwe imetembea chini ya km 70000.
4.kuwa na rims nzuri na mziki ni sifa za ziada.
5.offer yangu ni kuanzia shs 6.5m na kuendelea.