Ninataka kuhamia shirika moja la uhifadhi, nifanye nini?

Ninataka kuhamia shirika moja la uhifadhi, nifanye nini?

Mr SGR

Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
60
Reaction score
38
Wandugu hapa jamvini nadhani mnaendelea kutafuta ugali wenu wa kila siku. Ninataka kuhamia shirika moja la uhifadhi nchini nimefuatilia nafasi nimeambiwa ipo kumcheki HR kakaza anasema hamna.

Naombeni mwenye idea ya nini cha kufanya kama ni kupitia utumishi au idea nyingineyo nakaribisha maoni wakuu.
 
Rahisi sana , wewe kuwa mpole zungumza naye kwa ufanisi kabisa akupe ABC ...Tatizo la mashiriki wao ndio wana maamuzi makubwa .
 
 
Sio rahisi kama unavyo tegemea au labda useme unataka kuhamia kwenye kada ipi kwenye ayo mashirika.
Kada za ikolojia sasa je urahisi ni kuwa na GODFATHTHER kwenye hayo mashirika au ni kupiga counter utumishi moja kwa moja?
 
Wandugu hapa jamvini nadhani mnaendelea kutafuta ugali wenu wa kila siku. Ninataka kuhamia shirika moja la uhifadhi nchini nimefuatilia nafasi nimeambiwa ipo kumcheki HR kakaza anasema hamna.

Naombeni mwenye idea ya nini cha kufanya kama ni kupitia utumishi au idea nyingineyo nakaribisha maoni wakuu.
Vipi HR amekubali kukusainia..?
 
Back
Top Bottom