Samuel Malenda
Member
- Aug 21, 2023
- 8
- 8
Nina vijana kadhaa nimewaajiri kwenye biashara ya kutembeza mayai ya kuchemsha. Sasa kuna wakati biashara iko vizuri kuna wakati inayumba
Nilikuwa nataka nijaribu kujua biashara zingine za kutembeza ili wengine wajaribu kufanya hizo hata wakati soko upande mmoja limeyumba tunaweza kufanya upande mwingine
Nilikuwa nataka nijaribu kujua biashara zingine za kutembeza ili wengine wajaribu kufanya hizo hata wakati soko upande mmoja limeyumba tunaweza kufanya upande mwingine