Ninatamani sana kuona thread ya Evelyn Salt ikisema hivi:-

Kwani anakudai? mimi sikurubuni najaribu kukupa picha halisi ya namna utakavoishi kwa raha na starehe ww sio wa kufungiwa stoo bana, jitahidi kuchukua maamuzi ya haraka kbl wenzio hawajachangamkia hii fursa hadimu.
Naomba unilipe basi ile laki yangu.Mbona sio mwaminifu wewe Kakole jamani?
 
I am watching you bro..




Nakupenda Manka wangu...Ni masaa manne tu tangu tuachane kitandani ila tayari nimeshakumiss!!!
Kuna usemi ni wako akiwa kwako akishatoka ni wa mwingine
 
Muwe mnaaangalia na mda mnaopost vitamanishio kama hivi jamani sasa ndo nini kusababisha kazi isiende,,daaaa[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hiyo supu[emoji15] [emoji15] [emoji15] nimebaki nameza mate tuu,,
Nenda hapo stand kwa mama muuza utazikuta
 
Shukrani sana gfsonwin niko poa kabisa namshukuru Mungu. It is always a pleasure to hear from you. Salaam nyingi kwa wote uwapendao. [emoji173]️

BAK salamu zangu zikufikie popote pale ulipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…