N nsitta Member Joined Jan 30, 2013 Posts 7 Reaction score 0 Jun 8, 2014 #1 Habari wana-JF, nina kuku wa kienyeji ninauza. Kilo kati ya 1.5kgs na 2kg ninauza Tsh.20,000 kila mmoja. Wapo zaidi ya 80. Eneo Dar es salaam maeneo ya goba. Namba 0784-026-809. Sms plz kwa mwenye interest.
Habari wana-JF, nina kuku wa kienyeji ninauza. Kilo kati ya 1.5kgs na 2kg ninauza Tsh.20,000 kila mmoja. Wapo zaidi ya 80. Eneo Dar es salaam maeneo ya goba. Namba 0784-026-809. Sms plz kwa mwenye interest.
Danpol JF-Expert Member Joined Aug 15, 2013 Posts 5,727 Reaction score 8,918 Jun 8, 2014 #2 wadogo wadogo je?
N nsitta Member Joined Jan 30, 2013 Posts 7 Reaction score 0 Jun 8, 2014 Thread starter #3 Asante Danpol, wadogo nilio nao wana wiki 6. Waliotayari kuuzwa ni hawa wakubwa tu. Ulikuwa unahitaji wadogo umri gani.. Siku 1? Wiki 1?
Asante Danpol, wadogo nilio nao wana wiki 6. Waliotayari kuuzwa ni hawa wakubwa tu. Ulikuwa unahitaji wadogo umri gani.. Siku 1? Wiki 1?