balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,743
- 13,657
Hello Wadau
Mimi kama kijana Mjasiliamali nimeweza kutembea kwenye Mapango kadhaa na nimefanikiwa kukusanya mbolea ya Mavi ya Popo wa Porini na kiasi kidogo ya Wale wa nyumbani na kuitumia hii mbolea na nimeona matokeo chanya kwenye uzalishaji wake.
Lengo langu sasa ni kuwaridhisha vijana wenzangu hasa wale wa kilimo cha bustani na waumini kindakindaki wa kilimo cha umwagiliaji madini haya adimu.
Kiukweli, mbolea ya popo ni shughuli pevu kwenye bustani na nimeona matunda yake
Hizi ni baadhi tu ya sifa zake kwani ninaitumia kwenye bustani yangu
Mosi, upatikanaji wake ni mgumu sana ndio maana ni adimu na ghali lakini si kama ile ya dukani
Mbili, inatunza ardhi na kufanya mimea yako kupata kiwango kikubwa cha NPK ukilinganisha na mbolea za dukani
Tatu, mbolea ya popo inatibu ardhi dhidi ya magonjwa, wadudu na fungas kwenye ardhi
Mwisho, inawahisha mazao yako kukomaa
KIMSINGI, kama wewe ni mkulima wa bustani na muumini wa kilimo cha umwagiliaji (ndio iliyobaki kuwatoa vijana umaskinini) mbolea ya popo ni msaada mkubwa sana na hutojuta kuitumia isipokuwa ukifanikiwa tu kupata mazao yake hakika utanitafuta na kunishukuru maana hutohitaji mbolea yoyote ile kwenye ardhi kwani yenyewe tu ni 'self-sastifactory'
Kwa wale wanaohitaji tafadhari tuwasiliane kwa kuni-PM
Nawasilisha
Unaweza kupitia links hizi hapa kupata uelewa zaidi
Link 1:
homeguides.sfgate.com
Link 2:
Mimi kama kijana Mjasiliamali nimeweza kutembea kwenye Mapango kadhaa na nimefanikiwa kukusanya mbolea ya Mavi ya Popo wa Porini na kiasi kidogo ya Wale wa nyumbani na kuitumia hii mbolea na nimeona matokeo chanya kwenye uzalishaji wake.
Lengo langu sasa ni kuwaridhisha vijana wenzangu hasa wale wa kilimo cha bustani na waumini kindakindaki wa kilimo cha umwagiliaji madini haya adimu.
Kiukweli, mbolea ya popo ni shughuli pevu kwenye bustani na nimeona matunda yake
Hizi ni baadhi tu ya sifa zake kwani ninaitumia kwenye bustani yangu
Mosi, upatikanaji wake ni mgumu sana ndio maana ni adimu na ghali lakini si kama ile ya dukani
Mbili, inatunza ardhi na kufanya mimea yako kupata kiwango kikubwa cha NPK ukilinganisha na mbolea za dukani
Tatu, mbolea ya popo inatibu ardhi dhidi ya magonjwa, wadudu na fungas kwenye ardhi
Mwisho, inawahisha mazao yako kukomaa
KIMSINGI, kama wewe ni mkulima wa bustani na muumini wa kilimo cha umwagiliaji (ndio iliyobaki kuwatoa vijana umaskinini) mbolea ya popo ni msaada mkubwa sana na hutojuta kuitumia isipokuwa ukifanikiwa tu kupata mazao yake hakika utanitafuta na kunishukuru maana hutohitaji mbolea yoyote ile kwenye ardhi kwani yenyewe tu ni 'self-sastifactory'
Kwa wale wanaohitaji tafadhari tuwasiliane kwa kuni-PM
Nawasilisha
Unaweza kupitia links hizi hapa kupata uelewa zaidi
Link 1:
What Are the Benefits of Bat Guano Fertilizer?
What Are the Benefits of Bat Guano Fertilizer?. Even if you don't like bats, bat guano is a valuable resource, at least for gardeners. Bat guano is an organic fertilizer that has been harvested for hundreds of years to improve plant growth and soil structure. Though bat guano can be expensive...