Meshaki Richard
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 320
- 174
Umeua biashara ya watu mkuu!Maana hizo ni moja ya biashara za hovyo kabisa, faida zake kiduuuchu mno, watu tunafanya kama ziada tu lakini ukitaka kuzitegemea kuendeshea maisha Sikh mbili tu unafunga biashara!
Karibu boss ila ongeza kidogo karibu 0658676534 tuongeeUkiridhia 250k nijuze asubuhi mapema kabisa nakuletea pesa!
Mkuu ukisema hivyo basi hutafanya biashara yeyoteMaana hizo ni moja ya biashara za hovyo kabisa, faida zake kiduuuchu mno, watu tunafanya kama ziada tu lakini ukitaka kuzitegemea kuendeshea maisha Sikh mbili tu unafunga biashara!
Kaua kivipi ndugu? Hujawahi kujiuliza kwanini wazee miaka 70 anaokota makopo ili akauze unadhani ujana wake alikuwa hapati pesa?Umeua biashara ya watu mkuu!
Samahani Mkurugenzi, mtu akinunua hiyo mashine anaweza kubadilisha jina likasoma la kwake? Au itabakia na jina lako ulilo nunulia!Karibu boss ila ongeza kidogo karibu 0658676534 tuongee
Samahani Mkurugenzi, mtu akinunua hiyo mashine anaweza kubadilisha jina likasoma la kwake? Au itabakia na jina lako ulilo nunulia!
Na inaweza kutumika hata nje ya Dar? Mafani mimi niko huku Lushoto, Tanga. Si inatoa pia na risiti kama zile mashine nyingine za CRDB, NMB, nk?
Wapi mkuu nami nahitajiHii machine za selcom bei yake halisi tena mpya zile touch zinauzwa 400k ukiwa na leseni na TIN
Kwa upande wa faida selcom faida yake ndogo sana
Wapi mkuu nami nahit
Wapi mkuu nami nahit