fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Umeme ni moja ya gharama inayokula fedha sana,kwa sasa kwakuwa nimestaafu nipo home,natumia mbinu zifuatazo kupunguza matumizi ya umeme:
1.Kwenye nyumba nayoishi na mrs na familia kuna ststem mbili za umeme,wa tanesco na sola.Taa za kwenye geti na fensi natumia sola ambazo hujiwasha kuanzia saa 12 jioni,au giza likiingia
2.Umeme wa tanasco nautumia kwa taa za ndani,kuwezesha mafriji na vyombo vingine vya kupigia,tv,sistemu za muziki n.k ambapo ikifika saa 3 usiku taa zote za umeme za ndani tunazima na kutumia sola
3.Kwa kupikia natumia gesi na umeme ambapo yale majiki ya umeme ya kizamani,yaani zile oven kubwa tu na zenye banners za kupikia,tumeacha kutumia na zimebaki mapambo,sasa tunatumia majiko ya infrared,air frier ya kilo 10,pressure cooker ya kilo 10,ambavyo hutumia umeme kidogo kwa kazi kubwa
4.Matumizi yaa unawasha pale tu unapotaka kutumia na ukimaliza matumizi unazima,siruhusu taa kuwashwa bila sababu,vyakula aina ya maharage tunapika kwa pressure cooker tu,kuoka,kuchoma,kukaanga,kupika wali,ugali,chapati tuna alternate ama gesi ama air frier au pressure cooker.
Sasa kwa hatua zote hizo kwa mwezi nalipa umeme wa 60,000
1.Kwenye nyumba nayoishi na mrs na familia kuna ststem mbili za umeme,wa tanesco na sola.Taa za kwenye geti na fensi natumia sola ambazo hujiwasha kuanzia saa 12 jioni,au giza likiingia
2.Umeme wa tanasco nautumia kwa taa za ndani,kuwezesha mafriji na vyombo vingine vya kupigia,tv,sistemu za muziki n.k ambapo ikifika saa 3 usiku taa zote za umeme za ndani tunazima na kutumia sola
3.Kwa kupikia natumia gesi na umeme ambapo yale majiki ya umeme ya kizamani,yaani zile oven kubwa tu na zenye banners za kupikia,tumeacha kutumia na zimebaki mapambo,sasa tunatumia majiko ya infrared,air frier ya kilo 10,pressure cooker ya kilo 10,ambavyo hutumia umeme kidogo kwa kazi kubwa
4.Matumizi yaa unawasha pale tu unapotaka kutumia na ukimaliza matumizi unazima,siruhusu taa kuwashwa bila sababu,vyakula aina ya maharage tunapika kwa pressure cooker tu,kuoka,kuchoma,kukaanga,kupika wali,ugali,chapati tuna alternate ama gesi ama air frier au pressure cooker.
Sasa kwa hatua zote hizo kwa mwezi nalipa umeme wa 60,000