Ninavyodhibiti gharama za umeme

Ninavyodhibiti gharama za umeme

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Umeme ni moja ya gharama inayokula fedha sana,kwa sasa kwakuwa nimestaafu nipo home,natumia mbinu zifuatazo kupunguza matumizi ya umeme:

1.Kwenye nyumba nayoishi na mrs na familia kuna ststem mbili za umeme,wa tanesco na sola.Taa za kwenye geti na fensi natumia sola ambazo hujiwasha kuanzia saa 12 jioni,au giza likiingia

2.Umeme wa tanasco nautumia kwa taa za ndani,kuwezesha mafriji na vyombo vingine vya kupigia,tv,sistemu za muziki n.k ambapo ikifika saa 3 usiku taa zote za umeme za ndani tunazima na kutumia sola

3.Kwa kupikia natumia gesi na umeme ambapo yale majiki ya umeme ya kizamani,yaani zile oven kubwa tu na zenye banners za kupikia,tumeacha kutumia na zimebaki mapambo,sasa tunatumia majiko ya infrared,air frier ya kilo 10,pressure cooker ya kilo 10,ambavyo hutumia umeme kidogo kwa kazi kubwa

4.Matumizi yaa unawasha pale tu unapotaka kutumia na ukimaliza matumizi unazima,siruhusu taa kuwashwa bila sababu,vyakula aina ya maharage tunapika kwa pressure cooker tu,kuoka,kuchoma,kukaanga,kupika wali,ugali,chapati tuna alternate ama gesi ama air frier au pressure cooker.

Sasa kwa hatua zote hizo kwa mwezi nalipa umeme wa 60,000
 
Kama umesitaafu na unaandika namba hii... bila shaka wewe ulikuwa polis. Siwezi kuamini kama kuna msitaafu wa kada nyingine mwenye ujasiri wa kuandika hivyo kwenye sehemu kama hii
Mimi sio polisi,nilikuwa executive kwenye mashirika kadhaa,then nikawa lecturer,nchi kadhaa hapa afrika na tanzania pia
 
Wenzio huku umeme wa buku yani units 2.8 tunatumia siku tatu matumizi yakiwa nakubwa ni mbili tu ,

Mbinu

Maharage, ugali wali tunapiki mkaa kopo 500/=

Mchana mambo ya tv hamnaa hivyo taa na tv zitawaka kuanzia saa moja na saa tatu mwisho

Kwa mwezi ni kama 10, 000/= au 15 ,000/= ndiyo tunatumia

Hata hivyo ninampango wakupunguza zaidi

Kuna jamaa namjua ni fundi umeme nataka nimuite anibadilishie jina la mita namba isome jina la mtu aliyekijijini huko ndani ndani

Maana kule vijijini watu wote wapo tarrif 0 ,, hivyo umeme wa 5000/= wanapewa zaidi ya units 20 za umeme..

Kwa hiyo na mimi kwa kubadilisha jina nikaonekana naishi kijijini nitaweza kupewa units nyingi kwa gharama ndogo

Huwa naumia sana kwanini tununuapo umeme wanatukata 3% za umeme wa REA
 
Wenzio huku umeme wa buku yani units 2.8 tunatumia siku tatu matumizi yakiwa nakubwa ni mbili tu ,

Mbinu

Maharage, ugali wali tunapiki mkaa kopo 500/=

Mchana mambo ya tv hamnaa hivyo taa na tv zitawaka kuanzia saa moja na saa tatu mwisho

Kwa mwezi ni kama 10, 000/= au 15 ,000/= ndiyo tunatumia

Hata hivyo ninampango wakupunguza zaidi

Kuna jamaa namjua ni fundi umeme nataka nimuite anibadilishie jina la mita namba isome jina la mtu aliyekijijini huko ndani ndani

Maana kule vijijini watu wote wapo tarrif 0 ,, hivyo umeme wa 5000/= wanapewa zaidi ya units 20 za umeme..

Kwa hiyo na mimi kwa kubadilisha jina nikaonekana naishi kijijini nitaweza kupewa units nyingi kwa gharama ndogo

Huwa naumia sana kwanini tununuapo umeme wanatukata 3% za umeme wa REA
Ni sawa hiyo ni tarifu ipi?inategemea na nyumba na pia vifaa ulivyonavyo
 
Umeme ni moja ya gharama inayokula fedha sana,kwa sasa kwakuwa nimestaafu nipo home,natumia mbinu zifuatazo kupunguza matumizi ya umeme:
1.Kwenye nyumba nayoishi na mrs na familia kuna ststem mbili za umeme,wa tanesco na sola.Taa za kwenye geti na fensi natumia sola ambazo hujiwasha kuanzia saa 12 jioni,au giza likiingia
2.Umeme wa tanasco nautumia kwa taa za ndani,kuwezesha mafriji na vyombo vingine vya kupigia,tv,sistemu za muziki n.k ambapo ikifika saa 3 usiku taa zote za umeme za ndani tunazima na kutumia sola
3.Kwa kupikia natumia gesi na umeme ambapo yale majiki ya umeme ya kizamani,yaani zile oven kubwa tu na zenye banners za kupikia,tumeacha kutumia na zimebaki mapambo,sasa tunatumia majiko ya infrared,air frier ya kilo 10,pressure cooker ya kilo 10,ambavyo hutumia umeme kidogo kwa kazi kubwa
4.Matumizi yaa unawasha pale tu unapotaka kutumia na ukimaliza matumizi unazima,siruhusu taa kuwashwa bila sababu,vyakula aina ya maharage tunapika kwa pressure cooker tu,kuoka,kuchoma,kukaanga,kupika wali,ugali,chapati tuna alternate ama gesi ama air frier au pressure cooker.
Sasa kwa hatua zote hizo kwa mwezi nalipa umeme wa 60,000
Sidhani kama taa zinamaliza uneme kiasi hicho. Sasa kama unatumia 60,000 per month mbona bado pesa nyingi hiyo?? Angalia wiring Yako huenda inavujisha sio Bure.

Mimi nyumba yangu yenye vyomba vinne na mabanda ya nje pia natumia vifaa vya umeme simalizi unit 75 Kwa mwezi. Hebu ongea na watu wa tanesco kuja shida babangu
 
Sidhani kama taa zinamaliza uneme kiasi hicho. Sasa kama unatumia 60,000 per month mbona bado pesa nyingi hiyo?? Angalia wiring Yako huenda inavujisha sio Bure.

Mimi nyumba yangu yenye vyomba vinne na mabanda ya nje pia natumia vifaa vya umeme simalizi unit 75 Kwa mwezi. Hebu ongea na watu wa tanesco kuja shida babangu
Sawa naupokea ushauri
 
Back
Top Bottom