Ninavyoishi na Aunt Ezekiel ni ndoa tosha – Mose Iyobo

Yani aunt naye yule mume wake alali yuko wapi au bado ajatoka jela
 
Aunt anaitwa Gwantwa Ndio Jina lake kwa nini halitumii?
 
Gwantwa (aunt Ezekiel) na mwanae mussa wakamilishe tu Hiyo ndoano
 
Aunt c wa 1986 iyobo cjui in 1990 ;by the way siku hiz kuzaa na Jidada au Jimama kawaida tuu na wamama nao wanataman kuzaa na vijana
 
Ndoa ni mbwembwe Mapenzi mchepuko au nyumba ndogo.
 
mnapenda sana kungulia wakubwa zenu siku hizi vijana.
Madam Sky Elcat siku hiz baadhi munatutongozaga live kabisaaa yani tukiwasalimia munajibu nan mama yako unataka kuninyima nin? Yuko mmoja nimempotezea alikuwa anataka wakata jamaa yake namjua na ni Supplier wangu wa Rangi za nyumba
 
Madam Sky Elcat siku hiz baadhi munatutongozaga live kabisaaa yani tukiwasalimia munajibu nan mama yako unataka kuninyima nin? Yuko mmoja nimempotezea alikuwa anataka wakata jamaa yake namjua na ni Supplier wangu wa Rangi za nyumba
Heshima mjini imepotelea dirishani, usishangae binti wa form four anagombania bwana na li aunty😳😳
 
Uzinzi ukikukolea lazima ujione uko sahihi.
Adam na Hawa hawakufunga ndoa basi kama hivyo wao ndo walikua wazinzi wa kwanza na sisi wote ni wana haramu.. tujaribu kufikiria sio tunahukumu tu.
 
Reactions: ovi
Adam na Hawa hawakufunga ndoa basi kama hivyo wao ndo walikua wazinzi wa kwanza na sisi wote ni wana haramu.. tujaribu kufikiria sio tunahukumu tu.

Kwa maana hii ndoa ni nadharia na hakuna sababu ya kuwepo?hakuna upuuzi kama kuogopa kusema ukweli hasa kwenye dhambi narudia uyo Aunt anafanya zinaa na hakuna justification kwenye hili.
 
Hawa wasanii waache ujinga.. wanawekana ndani tu bila ndoa huo ni UZINZI na diamond ndo mkuu wao
 
Kwa maana hii ndoa ni nadharia na hakuna sababu ya kuwepo?hakuna upuuzi kama kuogopa kusema ukweli hasa kwenye dhambi narudia uyo Aunt anafanya zinaa na hakuna justification kwenye hili.
manabii wote waliishi na wake zao bila ndoa, huo ni mfumo watu tu walijiwekea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…