Ninavyoishi na Aunt Ezekiel ni ndoa tosha – Mose Iyobo

Hio sio ndoa bali wamezini nakupata mtoto nje yandoa by the way walipendeza kwenye video ya Salome
 
Kuoana sio lazima. Watu wengi wanaoana kwa vile wanakariri jinsi ya kuishi tu. Sio lazima ufanye kila kitu kwa vile unataka kuiridhisha society, ishi maisha yako vile unavyojisikia alimradi usivunje sheria za mahali unapoishi.
Ndoa ni amri toka kwa muumba wambingu na ardhi sio society sema kama wendio walewale mnaosapoti uzinzi
 
huyo dogo ipo siku atachezea makofi ya huyo bibi ndo akili itamkaa sawa.
 
huyo dogo ipo siku atachezea makofi ya huyo bibi ndo akili itamkaa sawa.
 
Ndoa ni amri toka kwa muumba wambingu na ardhi sio society sema kama wendio walewale mnaosapoti uzinzi


Hizi habari za muumba wa mbingu we umezipata wapi? Mbingu ni nini?
 
Hana akili kweli.
Kwahiyo instagram ndio inamfanya afunge ndoa?
Kweli wasanii wanaishi kisanii.
 
huyo dogo ipo siku atachezea makofi ya huyo bibi ndo akili itamkaa sawa.
Acheni ukoloni nyinyi umri number tu mapenzi yako pale pale kama ana mkono wa kuchapa bhash hata tukigeuza hizo number bhado atachapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…