Ninavyomkumbuka Maalim

Asante Mzee Wangu Mohamed, je mlijadili mjadala huu hapa jamvini? Nitavitafuta vitabu ulivyosema nivisome.
Hivyo vitabu vitatu kaving'ang'ania utadhani misahafu. Keshavitaja humu zaidi ya mara milioni. Hataki kujua ukweli mwingine zaidi ya yaliyomo kwenye hivyo vitabu vitabu tu.
 
[emoji119]
Mwl.RCT,
Isome historia ya harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika kuanzia Vita Vya Maji Maji na tafuta makaburi ya Wapagani waliozikwa Mahenge kwenye Makumbusho ya Maji Maji.

Angalia na soma majina yaliyoko kwenye minara ya kumbukumbu na tafuta hapo Wapagani.

Njoo soma historia ya waasisi wa African Association 1929 tafuta Wapagani.

Angalia historia ya TANU mtafute Mwalimu Nyerere na angalia alikuwa na nani katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Leo Waislam wanauliza haki zao unawaletea hadithi ya Wapagani?
 
Hivyo vitabu vitatu kaving'ang'ania utadhani misahafu. Keshavitaja humu zaidi ya mara milioni. Hataki kujua ukweli mwingine zaidi ya yaliyomo kwenye hivyo vitabu vitabu tu.
Schmidt,
Huyu haijui historia ya somo analojadili ndiyo nimemuelekeza kwenye vitabu hivyo.

Si kuwa nang'ang'ania rejea hizo.

Kuhusu ukweli mbona ninao mwingi tu.
 
Schmidt,
Huyu haijui historia ya somo analojadili ndiyo nimemuelekeza kwenye vitabu hivyo.

Si kuwa nang'ang'ania rejea hizo.

Kuhusu ukweli mbona ninao mwingi tu.
Ukweli gani huo ulionao zaidi ya mitazamo na maoni ya Sivalon, Njozi na Bergen? Tuwekee hapa tuujue na kuutathmini. Zaidi ya Njozi, kuna Mwandishi Muislamu Mtanzania mwingine yoyote ameandika kuhusu kuonewa na kubaguliwa kwa Waislamu? Ukitoa wewe of course. Kuna Waislamu wangapi wengine Wasomi nchi hii lakini walalamikaji kuhusu madai ya ubaguzi na uonevu dhidi ya umma ya Waislamu ni wewe na Njozi tu?
 
Waislamu milioni 29 au zaidi lakini kazi unazotegemea kujenga hoja zako za ubaguzi na uonevu dhidi ya Waislamu ni za Muislamu Njozi pekee. Ningetegemea kila mwaka vitabu angalau 100 kuhusu uonevu dhidi ya Waislamu na waandishi Wasomi Waislamu. Cha ajabu kila mara unakuja na majina ya Sivalon, Njozi na Bergen. Hao Waislamu wote mamilioni waliobaguliwa na kuonewa tokea Uhuru wameufyata na wameshindwa kuandika vitabu kuweka ukweli wa haya madai yako zaidi ya Njozi pekee?
 
Jee, hicho kikundi chako cha “Muslim Writers Union” unachokipigia debe kinawakailisha mamilioni ya Waislamu wote wahangwa wa ubaguzi na uonevu Tamzania tokea Uhuru? Nani amewapa hiyo mandate ndani ya jamii ya Waislamu Tanzania?
 
Jee, hicho kikundi chako cha “Muslim Writers Union” unachokipigia debe kinawakailisha mamilioni ya Waislamu wote wahangwa wa ubaguzi na uonevu Tamzania tokea Uhuru? Nani amewapa hiyo mandate ndani ya jamii ya Waislamu Tanzania?
Schmidt,
Nimekusoma na nashukuru kuwa nimekuelewa unaposimamia.

Nakuomba tuanze mwanzo kabisa ili tufahamiane kisha baada ya kujuana tunaweza In Shaa Allah tukaanza mjadala ikiwa utapenda:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

Contributing author for an African Anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam

Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam
The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam

Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam

In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards
Visiting Scholar: (2011)

University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA

Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED

Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
 
Mzee Mohammed, haya machapisho ni yako binafsi sio?
 
Jana nimenunua kitabu cha Professor Lawrence Mbogoni, "The Cross Versus The Crescent", nataka nianze kukisoma. Jee, nini maoni yako kuhusu kitabu hiki?
 
Jana nimenunua kitabu cha Professor Lawrence Mbogoni, "The Cross Versus The Crescent", nataka nianze kukisoma. Jee, nini maoni yako kuhusu kitabu hiki?
Schimidt,
Prof. Mbogoni alinihoji alipokuwa anatafiti kitabu chake.

Mimi nilifurahi kuwa anaandika kitabu ambacho kitaongeza maarifa katika historia ya Tanganyika.

Kitabu hiki kilipishana kidogo na kitabu cha Njozi.
Kitabu cha Njozi kilitangulia kuchapwa.

Tulipata majonzi kuwa kimefuatia kitabu cha Prof. Mbogoni ambacho kiliingia nchini na kusomwa wakati kitabu cha Njozi kimepigwa marufuku na serikali ikawa ni kosa la jinai kukutwa nacho.
 
Sheikh Mohamed Said, I presume.

Asante kwa kumbulizi hii ya Maalim. Siku zote najua wewe ni mtu wa Ilala "City", sehemu za Narung'ombe na CORETCO na Swahili Street, ukisifia Wamanyema, sikujua kama na Unguja upo. Umetaja Bwawani Hotel? Hii ni ya zamani sana ishakuwa rundown watu wa Bara tushaacha kwenda hapo mie nikiwa Zanzibar utanikuta Mazsons, ile waliitaka kuitumia majuzi kuiba kura za internet vijana wa KMKM wakawashtukia.

Nina maswali kedha wa kadha.

Mosi, hii portrait ya Maalim are you sure ni yeye? Inafanana mno na ya Sultan Jamsheed tuliiona magazetini mwaka 1963 na 1964 wanted. Are they related? Ni ndugu, au ni macho yangu tu?

Pili, mbona hukugusia kabisa ya Zanzibar kwenye kitabu chako classic cha LIFE AND TIMES OF ABDULWADEED....? Sana sana unawasuta watu wa AMNUT kuwa walimwendea Sheikh Muhsin "awasaidie" Waislamu kukuza AMNUT, Muhsin akawafukuzilia mbali akisema "Waislam wa Tanganyika hawahitaji msaada wa Hizbu" - wakakosa sapoti ya Waislamu, wakafa kifo cha mende asemavyo Mzee Duni Duni. Haya mbona huyakumbuki?

Umesema mengi na mazuri kuhusu Maalim, he was a good man, though somewhat ambitious but all in all a kindly and God-fearing old man. Ukitaka maoni yangu, Mwanasiasa pekee aliye sawa kabisa na Maalim (in terms of insantiable ambition) ni Raila Odinga, that guy never says he is beat. Odinga Baba alimsaliti Jomokenyatta, Maalim alimsaliti Aboudjumbe. Raila kashindwa na kushindwa na kushindwa tena, lakini yupo yupo tu sasa hivi kaanza BBI. Maalim alianza serkali tatu mara ikawa koti linabana mara ikawa utajirisho wa Professor Lipumba, baadaye kaenda ACT kwa zittokabwe: never say never!

Nimalizie tu kwa kusema kuwa mie nina kadi yangu ya CCM nilipewa 1977 na Aboudjumbe nikiwa mkufunzi IFM. Kitabu changu kipenzi maktaba yangu ni THE DAYS AND TINES OF ABDULWAHID SYKES, THE FORGOTTEN STRUGGLE OF MUSLIMS IN YHE INDEPENDENCE STRUGGLE OF TANGANYIKA. Ni kitabu kizuri mno, sana, ukweli myptupu, ila Mwandishi alipoenda kusoma IFM akaanza siasa kali, akaandika translation ya Kiswahili akakichakachua kitabu orijino.

Kitabu cha Kiingereza nikipata madaraka nitakipiga mafuruku. Ila kuna usemi umebadil8sha sana siasavya Tanzania: NIKETEENI GWAJIMA, NILETEENI GWAJIMA, NILETEENI GWAJIMA.

The rest is history alaamski!
 

Tunaweza kudanganyana hapa kwamba mambo ni sawia kabisa. Ila nashangaa kwanini Yemen? Nashangaa kwanini Syria? Nashangaa kwanini Iran na Saudi Arabia.
Pengine tunafikiri tuna immune dhidi ya matatizo yanayowasumbua wenzetu. Ila nakutahadharisha, kwa tabia binadamu anayejiona ni superior zaidi ya wenzake huwa hana kiasi. Akishatumaliza kina sisi atawageukia wenzake wale wale. Ndio hulka yetu tunaopenda kubagua watu. Mwenyezi Mungu ni mtakatifu. Tunapomuonea mwingine kwa hila za kujifanya tunafanya kazi yake, huwa anatuacha tuaibike wenyewe. kama unabisha jaribu. Muda utasimulia.
 
Tangawizi,
Ikiwa umekusudia kunionya mimi umekosea sana.

Usifanye dhana.

Haya niandikayo yote yana ushahidi na wanayowaahusu wako kimya.

Hawana hata ujasiri wa kutoa uamuzi wa kufanya mjadala tusafiane nia tusameheane na tuanze upya.

Wewe unatoa majibu kwani wewe ndiye uliyeshutumiwa kwa dhulma ya ubaguzi?
 
Jee, ulikisoma hicho kitabu cha Mbogoni? Na kama ulikisoma, nini maoni yako? Nauliza sababu Mbogoni ameandika kuwa moja ya sababu iliyomfanya aamue kuandika kitabu chake ni kuwa hakukubaliana na maudhui yalitomo kwenye kitabu au labda tuseme kijitabu cha Njozi.
 
Schmidt,
Nimekisoma na mwandishi ana haki ya fikra zake.

Msomaji atasoma na ataamua nani mkweli.
 
Schmidt,
Nimekisoma na mwandishi ana haki ya fikra zake.

Msomaji atasoma na ataamua nani mkweli.
Okay. Lakini nilitegemea a more thorough and schorlarly assessment from you ya vipi unakubliana au vipi hukubaliani na maudhui ya kitabu husika, wewe kama Mwanazuoni na mkereketwa wa hii theme ya uonevu na ubaguzi dhidi ya Waislamu Tanzania. Nimeomba maoni yako, siyo ujibu eti kila msomaji has to make up their own mind about after reading Mbogoni's work.

Usikwepe maswali magumu kwa majibu ya mkato. MS, wewe si kila siku unadai ni Msomi uliyekubuhu? Nategemea ungenijibu kisomi zaidi. Nataka nijue maoni yako kama mkereketwa, na siyo Wafuatiliaji huru tu kama mimi ambao, at most, wapo curious tu kuhusu ukweli wa hii ishu.
 
Schmidt,
Sijawahi kusema kuwa mimi ni mwanazuoni mkereketwa.

Wala sijakwepa swali lako.

Umetaka maoni yangu nimekupa kuwa kitabu cha Njozi utasimama mahakamani ukikutwa nacho.

Kosa la jinai.
Kitabu cha Mbogoni kiko madukani kinauzwa.

Hujaridhika na jibu hili?
 
Kipindi hicho alikuwa anaitumia hiyo cafe kufanya mahojiano na vyombo kbalimbali kama voa, nilikuwa naenda hiyo cafe usiku kwani bei ilikuwa rahisi mbali na bei kuwa rahisi internet yake ilikuwa na speed kutofautisha na cafe nyingine
Mkuu huenda tumewahi kukutana pale wamiliki sio walikua vijana flani wa kihindi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…