Muda umefika viongozi waanze kumpangia timu mpumbavu huyu! Amwmngangania mlinda goli wa mbao sijui wa nini aisee! Mechata hakuwa na kiwango cha kucheza yanga!Zahera ni moja ya makocha na viongozi bora Yanga kuweza kuwa nao toka ianzishwe. Ana kipaji cha uongozi mbalimbali ndani ya Yanga. Tumlinde wanayanga. Huyu si kocha wa kumpoteza.
Ukimtimua utakuwa na hela ya kumlipa kocha mwingine?
Hivi chemistry ya timu inapatikana vipi? Mana Yanga imecheza mechi 8 za kirafiki na mechi 6 za kimashindano, hapo sijaweka zile mechi mlizocheza na walima matikiti pale morogoro na wale watoto.Mbona yupo fresh mkuu, mwache aendee kudhihirisha falsafa yake ikiwezekana tumpe msimu huu maana timu nayo bado haina chemistry nzuri
Una maanisha baba yako na mama yako hawana aibu, msilete siasa kwenye soka.zahera angekuwa mwana CCM angependeza mno maana hana aibu
Hahaaaah mkuu hata wewe umeanza kuwa na wasiwasi na zahera yule mliyekuwa mnasema ndo kiboko ya simba....mwacheni yule ni kocha mzuri...tumpe muda wakuummh huyu kocha kweli nimeanza kuwa na wasi wasi nae, ngoja tuone mechi ijayo itakuwaje
Hakuna muunganiko hapo kwenye hoja yako. Unasema Zahera hamna kitu, lakini sababu yako ni kuwa wachezaji wengine walikuwa wanatimiza wajibu tu. Sasa ambaye hamna kitu ni Koch’s au hao wachezaji unaosema wanatimiza wajibu tu?Zahera hamna kitu. Timu inacheza bila mbinu. Mechi ya jana Ngassa, balama na juma abdul ndo walionyesha nia ya kufika golini wengine walikuwa wanatimiza wajibu tu wakukaba na kupiga pasi. Timu ipo ipo tu wachezaji wanacheza kama wamekunywa uji wa magimbi, wazito kweli
Mikia mnapenda kuweweseka na Zehera. Mmefanya fitna afungiwe. Bado hamjatosheka tu. Kala wake zenu?