Asprin haikufua dafu.... kuna mikono mingine ina nguvu kuliko asprin. mpwa tukutuku likileta za kuleta nstue. Kizuri kula na nduguyo.
Duh...yaani uko gonjwa had unachezewa karibia na ofisi kuu bila madahra yoyote?:A S-danger:...Hahahahahaha! Kiongozi mi ntakuombea usiumwe bana! Kuumwa si kitu kizuri.....Hasa kiuno.:welcome::welcome:
Alianza huyuinfidelity ni sehemu ya tiba!
infact INFIDELITY NI TIBA YA KITABIBU!....
long live infidelity!
nb:nipo kwenye semina za uzinduzi wa kampeni za chadema nimeshindwa kujizuia imebidi nipost tu!tunaendelea na mchakato huku...!SLAA FOR PRESIDENCY-2010
Huyu akataka awahiAisee nipe na mimi location ya hospital once nikiugua na mimi nitademand nilazwe hapo kama mambo yenyewe ndiyo hayo au ndio physiotherapist available upon request
Kumbe huyu naye anatakaAspin tafadhali toa location ya hospital kwani baada ya kusoma andiko lako nahisi kuanza kuumwa umwa
Kisha huyu akataka awapiku wote.Aisee kama unaona UTAMU namna hiyo. nielekeze nami nifanyeje niweze kutengua kuino halkafu nimpate huyo mtabibu mcheshi wa vitendo.
Pole sana kwa kuugua na hongera kwa kujifanya kuumwa ingawa umepona
Hommie naye akahitajiUmenitamanisha ngoja na mimi weekend hii nijitegue kiuno:becky: Hepu nipm hiyo number ya physiotherapist hommie!!
Kabla ya hommie mwingine hajajaribu bahati yakeDuh...yaani uko gonjwa had unachezewa karibia na ofisi kuu bila madahra yoyote?:A S-danger:...
Pole sana....kama walivyofanya wema wengine hapo juu na mi naomba jina na location ya hospitali.....just incase...
Hivi kama gari likitoka kwa fundi si linajaribiwa kabisa kama limetengenezeka?...
ai ......huyo muuguzi angekuwa mwanamme sidhani kama asprin angekuja kutoa maelezo ya namna anavyotibiwa! heheh
get well soon
Nimetulia dada yangu na masharti nazingatia......ila jamani kwanini Mungu wakati mwingine anaamua kuumba kwa makusudi namna hii?:confused2::confused2:
Hilo angalizo kwa kweli itakuwa ngumu asee....nipe kifungu kingine chenye japo faraja lol!:confused2::confused2:Jikite katika kusali na kufunga, kwa kumuomba roho mtakatifu akuepushe na vishawishi. Kumbuka maandaiko yanasema jicho lako likikukwaza ling'oe, nawe nakushauri ufanye vivyo hivyo!!!
Mpaka hapo Ushadanganyika Aspirin, By the way Congratulation kwa kupata Dr.Woooote hawa wanamtaka mtibuji wangu, wanataka kumharibia maisha yake..... Mimi nasema Sidanganyiiiiikiiiii!!!!!!!!!!!:smile-big::smile-big:
Nshakuwa samaki tena? LOL! Njoo univue basi:welcome::welcome:
Babu nisamehe nimesoma hadi nukta ya mwisho. Ningejua ningeishia kichwa cha habari tu Babu ili nikupe pole ...... Lakini nilikuwa natafuta Kilichopelekea uumwe!
Umemnadi mwenyewe na watu wameshapenyeza BIDSAlianza huyu
Huyu akataka awahi
Kumbe huyu naye anataka
Kisha huyu akataka awapiku wote.
Woooote hawa wanamtaka mtibuji wangu, wanataka kumharibia maisha yake..... Mimi nasema Sidanganyiiiiikiiiii!!!!!!!!!!!:smile-big::smile-big:
Umemnadi mwenyewe na watu wameshapenyeza BIDS
cha maana nitumie PM yenye namba yake maana nimekaa kwenye kiti hiki looong time nahisi kiuno kinamhtaji mtibuji wako HARAKA na kabisa