nami nikakujibu hiviBabu nisamehe nimesoma hadi nukta ya mwisho. Ningejua ningeishia kichwa cha habari tu Babu ili nikupe pole ...... Lakini nilikuwa natafuta Kilichopelekea uumwe!
Niliteleza kwenye ngazi nikafikia kiuno..... Hayo maumivu........Namshukuru physiotherapist wangu!!
Mjukuu ikawaje hata salamu? Loooooooh!:confused2::confused2:
Mkuu pole kwa kuteleza na kuangukia kiuno ila shukuru Mungu kuwa madhara siyo makubwa maana yangekuwa makubwa ingekuwa balaa..... ila nahisi huyo Dr. yupo MOI maana ndio wanoiyo tiba
Hoja hii ina AKILI SANABabu nisamehe nimesoma hadi nukta ya mwisho. Ningejua ningeishia kichwa cha habari tu Babu ili nikupe pole ...... Lakini nilikuwa natafuta Kilichopelekea uumwe!
Mhh pole na hongera mgonjwa:smile-big:
i hope hata home yuko hivi, namuonea wivu mama matesha!Asprin, you are one funny JF member! lol
Wapwa zangu na mabinamu,
Juzi kati hapa kaka mkubwa nlipata dhahma lililonilazimu kutokuwa hewani hapa na kuhamishia kambi hospitali. Nipeni pole tafadhali.
Mojawapo ya tiba nilizotakiwa kuzipata katika dhahma hii ni mazoezi ya viungo. Sasa sijui kama ni mpango wa hospitali au mipango ya Mungu kwa mimi kupewa physiotherapist yule anifanyie mazoezi na massage.
Massage anayonifanyia dada huyu, natamani nisipone haraka. Sijui ndio mwendo wenyewe au anafanya makusudi? Manake natakiwa kusaula viwalo vyote, nalazwa kitandani, napakwa mafuta halafu mikono milaini ambayo haijawahi kusonga ugali inakuwa inaniminyaminya maeneo ya kiunoni. Napata maumivu makali lakini nikimwangalia binti huyu huyu, maumivu yanaisha ghafla. Then nageuzwa kulala chali naye anaanza kunikanda upande wa baioloji. Balaa linaanzia hapo sasa kwa sababu samtaimz anapitiliza na kugusa ile sehemu kuu ya mwanaume.
Sasa najiuliza, huyu binti mrembo na mtanashati, kashajionea vya mama matesha kwa kiasi chake........halafu tumeshakuwa marafiki kiasi kwamba tumeshapeana namba za simu incase of emergency..... sistahili nami kumlipizia mama matesha kwa kuviangalia vya huyu binti? Manake nshapona lakini najikuta nadanganya sijapona ili niendelee na matibabu haya.....!!!
Na ikitokea ikawa hivyo. hiyo nayo itakuwa infidelity au sehemu ya tiba?
Ntawamiss sana maswahiba kwa wiki mbili hizi hapo kaunta......niko bize najitibia.
Nawatakieni wikiendi njema, hatutakuwa sote kaunta.....:violin::violin::violin:
Thats serious buddy! Ninaomba umwambukize mchungaji huo ugonjwa ili naye akapate hiyo huduma kwa mtaalamu huyo. Ila nitamwomba na yeye avue nguo zake ili tiba iende vizuri, Imeandikwa dawa ya moto ni moto.
Mchungaji
kwa sana tu shekhe mchungajiSee no evil, Hear no evil, Speak no evil
E-mail: masanilo@jamiiforums.com
Hivi ni kwa nini watu wanafurahia maovu? na kuyapamba?"Mtu azinie na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake." Mithali 6:32
"Mtu azinie na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake." Mithali 6:32
naambiwa kuwa AMWANGALIAYE MWANAMKE KWA KUMTAMANI AMEKWISHAZINI NAFSINI MWAKE.Du kweli kabisa, ila ssa hapa nani amezini tena?:confused2: