Ninawamisi wapwa zangu, niko hoi natibiwa

pole kiongozi wangu
Ahsante kamanda wangu:ballchain::ballchain:

hahahahaha
hicho kiuno cha kiwiko au cha kiunoni?
Jana usiku nilihisi kiuno kinachoma nikakumbuka hii thread. hebu nitumie namba ya department anayofanya mtabibu wako LOLz
:A S-danger::A S-danger::A S-danger:

du, Aspirin we kiboko sasa unashindwa toa namba ya simu ya huyo muuguzi,inakuwaje kama mwana JF mwingine akiugua kiuno na akahitaji matibabau kama uliyopata wewe!
Hivi mbona hospitali ziko nyingi? Yanini kumng'ang'ania mtibuji wangu?:ban::ban::ban:
 

Mkuu kweli ashukuriwe mwenyezi!!!

Sasa inabidi ukazane sana kumaintain
 
Ahsante kamanda wangu:ballchain::ballchain:

:A S-danger::A S-danger::A S-danger:

Hivi mbona hospitali ziko nyingi? Yanini kumng'ang'ania mtibuji wangu?:ban::ban::ban:
Unamnyima ajira huyo mtibuji wako maana akipata client wengi anajiongezea kipato
isitoshe weye umeoa sasa unamficha wa nini au ushalamba asali?
 
kweli wapwa mnampenda babu yangu yaani mpaka huku bado mnampa pole tu?

Babu........ Simu ya Mama Matesha ngapi?
 
hapo unapokandawa unasikia maumivu ndo raha yenyewe hiyo si unajua raha inakuja ndani ya maumivu kisha utamu unafuatia.
 
Kweli biashara matangazo, Asprin umetangaza haswa hio biashara ya matibabu hapa jamvini na kufanikiwa
kupata wateja lukuki !!! kazi kwako kutoa contact ili biashara ifanyike na tabibu awe na fahari ya utabibu wake !!!
 
Dunia imekwisha!!!
Naona wamekusapoti wengi sana.....
Kumbukeni imeandikwa IKIMBIENI ZINAA!
 
Mgonjwa bado unaendelea na massage ?napata utata mgonjwa hataki kupona huyu kwa sababu maalum
 
kwa hiyo unataka kusema hata fedha ya caunter anakamua dada wa physio
 

Inawezekana hii novena ni ya kufanya kiuno kisipone haraka ili uendelee kushinda nyumbani...

Mkuu kweli ashukuriwe mwenyezi!!!

Sasa inabidi ukazane sana kumaintain

Amenteni Kuumwa Kiuno??
 
kweli wapwa mnampenda babu yangu yaani mpaka huku bado mnampa pole tu?

Babu........ Simu ya Mama Matesha ngapi?

Wajukuu wa siku hizi....LOL! Hebu wahi shule huko!

Simu ya bibi yako waitakiani?:ballchain::ballchain::ballchain:
 
hapo unapokandawa unasikia maumivu ndo raha yenyewe hiyo si unajua raha inakuja ndani ya maumivu kisha utamu unafuatia.
Tema mate chini.....ushaumwa kiuno weye?:confused2::confused2::confused2:

Kweli biashara matangazo, Asprin umetangaza haswa hio biashara ya matibabu hapa jamvini na kufanikiwa
kupata wateja lukuki !!! kazi kwako kutoa contact ili biashara ifanyike na tabibu awe na fahari ya utabibu wake !!!
:welcome::welcome::welcome:

Dunia imekwisha!!!
Naona wamekusapoti wengi sana.....
Kumbukeni imeandikwa IKIMBIENI ZINAA!
Hivi kuumwa kiuno na kufanyiwa masaji kuna ZINAA yoyote hapo?:mad2::mad2::mad2:

kwa hiyo unataka kusema hata fedha ya caunter anakamua dada wa physio
You can say that again:welcome::welcome::welcome:

Inawezekana hii novena ni ya kufanya kiuno kisipone haraka ili uendelee kushinda nyumbani...



Amenteni Kuumwa Kiuno??
Watumishi wa Mungu wa karne hii hasara tupu!!πŸ˜›layball:πŸ˜›layball:πŸ˜›layball:
 
Hivi kiuno hapana pona Mkuu....
Halafu umesahau kunipa namba ya yule tabibu wako....siku hizi ajali nyingi sana..!
 
Hivi kiuno hapana pona Mkuu....
Halafu umesahau kunipa namba ya yule tabibu wako....siku hizi ajali nyingi sana..!

Unaendesha tukutuku? Yule ni speshalisti kwa waliotenguka kiuno wakati wa kushuka..........:fencing:
 
Unaendesha tukutuku? Yule ni speshalisti kwa waliotenguka kiuno wakati wa kushuka..........:fencing:

Naenda kuazima tukutuku kwa jirani.....hadi jumatatu ntakua nishteguka kiuno, wakati nashuka kwenye tukutuku ya jirani...:hurt:
 
Naenda kuazima tukutuku kwa jirani.....hadi jumatatu ntakua nishteguka kiuno, wakati nashuka kwenye tukutuku ya jirani...:hurt:

Yule anatibu watu waliotenguka kiuno wkati wanashuka...........:A S 8::A S 8:
 
hahahahahahhahahahah nimecheka sana mpwaaaaaaa endelea kutibiwa kaka mpaka ukamilifu wa dahari
 
hahahahahahhahahahah nimecheka sana mpwaaaaaaa endelea kutibiwa kaka mpaka ukamilifu wa dahari

Mkuu mbona nshapona siku nyingi? Niko fiti ile mbaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…