Ninawapenda wote wakubwa kwa wadogo!

Ninawapenda wote wakubwa kwa wadogo!

David lusinde

Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
7
Reaction score
0
1.mimi ni mjasiliamali. Shughuli zangu ni biashara, hivyo ninampenda sana m2 anaejiamini na kufanya shughuli halali zinazomwingizia kipato ili kuhakikisha mkate wa siku unapatikana. (2) napenda siasa kidogo (3)nachukia uvivu wa aina zote (4) napenda kubadilishana mawazo na watu tofauti. ......... Ninafurahi kujiunga na JF.! Naamini ninakutana na watu makini wenye hekima na mitazamo tofauti ambao kwa pamoja tutalisukuma gurudumu hili la maisha na kuhakikisha linaenda kutokana na kupata au kupeana mitazamo tofauti. Ninawapenda sana, pa1 sana.
 
Back
Top Bottom