Naomba ufafanuzi kidogo juu ya hili jambo je kwa kuzingatia sheria za utumishi mwl ngaz ya shahada na stashahada wanaweza kuhamishwa idara kutoka elimu sekondari kwenda elimu msingi bila idhini yao?.
Ninavyojua Mimi mwajiri ndo hutoa idhini kwa mwajiriwa coz yeye ndo aliyemwajiri so ana mamlaka na uwezo wa kumpangja /kumuhamisha kazi mfanyakazi wake