Bisansaba
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 292
- 109
Habari ndugu Wanasheria,
Nilikuwa najaribu kukusanya viambatanisho vinavyohitajika kwa ajili ya kukamilisha maombi ya hati ya kusafiria, sasa kiambatanisho kimoja (Affidavit ya Mzazi) ambacho ni muhimu bado kinakosekana. Nilikuwa nafikiri naweza kupata huduma hii mahakamani pekee lakini kwenda mahakamani naona napata usumbufu fulani (muda). Sina uhakika kama wanasheria wanatoa huduma hii pia, na kama wanatoa ningefurahi kupata ofisi ya mwanasheria maeneo ya karibu na mimi (Msasani au Kawe) ili nipate huduma hii kwa haraka na leo hii.
Kuna mwanasheria yeyote anaweza kunisaidia kuhusu hili?
Asante!
Nilikuwa najaribu kukusanya viambatanisho vinavyohitajika kwa ajili ya kukamilisha maombi ya hati ya kusafiria, sasa kiambatanisho kimoja (Affidavit ya Mzazi) ambacho ni muhimu bado kinakosekana. Nilikuwa nafikiri naweza kupata huduma hii mahakamani pekee lakini kwenda mahakamani naona napata usumbufu fulani (muda). Sina uhakika kama wanasheria wanatoa huduma hii pia, na kama wanatoa ningefurahi kupata ofisi ya mwanasheria maeneo ya karibu na mimi (Msasani au Kawe) ili nipate huduma hii kwa haraka na leo hii.
Kuna mwanasheria yeyote anaweza kunisaidia kuhusu hili?
Asante!