ninaweza nikasoma nursing kwa matokeo haya?

Erick tryphone

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
387
Reaction score
84
Kwa matokeo haya naweza nikasoma nursing
Bilogy D
English D
Civics D
geogrgafy D
math F
History B
Kiswahili D
= IV 27
 
unaweza lakini ungepata c ya biology ndio ingekuwa nzuri zaidi..
 
Nenda chuo cha ,mifugo, kilimo maana nersing mpaka uwena na chem,phy ndicho wanacho zingatia zaidi
 
Mbona kuna watu wanasema kwamba ninaweza nikachaguliwa kwasababu nimefaulu biology na english?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…