Ninayempenda Nisiyemjua Kanitolea Nje

Status
Not open for further replies.
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:!
 
Una moyo mkubwa lakini? sio tu unataka kuambiwa ni nani.Jiandae kabisa........usije ukapata sheli

Charity wakati mwingine inabidi ...duuuh ..kama ni yeye nitajua pa kuanzia...
 
Nipo.Nilikosa tiketi za WC.Yani huna hata haja ya kuuliza kama amebadilika au bado.We utaona tu mwenyewe................
mi nasubiri tu!...
sitapenda kuona tumbo linaumuka kabla hatujaenda kanisani :biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:

amani kwako x-pin(hapa naona dalili kabisa kuwa IMEKULA KWAKO)
 
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:!

umeona eeeeeeeeeh!!! sijui tukoje???!!!!

nadhani tupunguze matumizi ya moyo zaidi kuliko kichwa
 
mi nasubiri tu!...
sitapenda kuona tumbo linaumuka kabla hatujaenda kanisani :biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:

amani kwako x-pin(hapa naona dalili kabisa kuwa IMEKULA KWAKO)

Hahahahaaaaa,kanisani muhimu .Subiri tu utakapoona mtoto kopiraiti na Xpin.(Vinginevyo itabidi tutafute DNA)
 
leo nimeamka na mikosi kweli, kuna panya aliekosa radhi za babaake katafuna suti yangu. aaargh!
:focus😛ole sana GENDER! mtoto wa pekee wa mzee SENSITIVE.
 
Hahahahaaaaa,kanisani muhimu .Subiri tu utakapoona mtoto kopiraiti na Xpin.( HATA KAMA VIPIMO VYA DNA VITAKATAA NITALAZIMISHA TU,HATA KAMA MTOTO ATATOKA MCHINA NITALAZIMISHA TU)

:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
bht upo?..umeshazungukwa mpaka dakika hii
 
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
bht upo?..umeshazungukwa mpaka dakika hii

afu wewe huwa una akili sana kabla hujanywa valuu!!! huyu bibie in my absence kun alililoendelea wala sio siri maana mmh.....ngoja kwanza tutateta chobingo
 
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
bht upo?..umeshazungukwa mpaka dakika hii

Invizibo yupo wapi jamani????? Hiyo ni POST CALLING.Umebadilisha post yangu bila ridhaa yangu.unastahili ban wewe.
Mtoto atakuwa na Kitambi kama babaye ili kuonyesha kuwa tunapendana kweli.
 
Ple GS, endelea tu kumpenda lakini kama friend tu na si vinginevyo.
 
leo nimeamka na mikosi kweli, kuna panya aliekosa radhi za babaake katafuna suti yangu. aaargh!
:focus😛ole sana GENDER! mtoto wa pekee wa mzee SENSITIVE.

ulitaka kuivaa kwenye kitchen party??
oops sorry send off party???
pole mwaya k..........kwenu hamana wale wanapita na vibaiskeli na spika za ......'sumu ya panya mende sisimizi, kunguuuuuuuuuuuuuuuuuuni, sumu ya panya.......'
 
Bora na nyie siku moja moja muonje ladha ya upande wa pili ambayo sie tumeizoea!!
 
hahahaha Teamo mie niende wapi nasubiri tu GS ataje iwe kasheshe ..Teamo si unajua shemeji yako yuko hapahapa labda alishawahi kumtupia ndogo ndogo GS,,nadhani invisible itabidi akae tayari kwa Ban.
Hivi inawezekana ni wewe Teamo:A S-devil1:

Kesi!
 
Pole sana GS! Hiyo ni sehemu ya maisha ambayo ni ngumu sana kuikabili! Pole sana Mum!
 
Afadhari nimemuona Kaizer anachungulia kwa mbali:biggrin1:
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…