Ninayempenda Nisiyemjua Kanitolea Nje

Status
Not open for further replies.
Njoo kwenye maombi... :israel:😛ray:

Nije wapi na lini ili unifanyie hayo maombi?ila nina wasiwasi sana na Uaskofu wako kwa kuwa Askofu gani yuko bize na Jukwaa la Mapenzi kila kukucha?hivi yatakuwa maombi kweli?
 
Nije wapi na lini ili unifanyie hayo maombi?ila nina wasiwasi sana na Uaskofu wako kwa kuwa Askofu gani yuko bize na Jukwaa la Mapenzi kila kukucha?hivi yatakuwa maombi kweli?

Nitakuelekeza pa kuja mama... na usiwe na wasiwasi kabisa maana uwepo wangu hapa ni kwa utukufu wa mungu, nisaidie wenye kuvunjika mioyo kama wewe...:A S 12:...😛ray:
 
Nitakuelekeza pa kuja mama... na usiwe na wasiwasi kabisa maana uwepo wangu hapa ni kwa utukufu wa mungu, nisaidie wenye kuvunjika mioyo kama wewe...:A S 12:...😛ray:

Nasubiri kwa hamu...
 
Kweli Da Womanizer hujawahi kukutwa na hali kama hizi za kumpenda mtu asiyekupenda na wala yeye hana Idea.Unaweza kudhani ni Muvi yani ni ngumu/aibu hata kusimulia wakati mwingine.Hivyo usiseme ni full usanii,you never know............
Aah wap? Unless kama unajaribu kuniambia umeshanipenda tayari.
 
Hahahahaaa.Me am booked already.Nina mchumba angu anaitwa Chrispin.Akija hapa atadhibitisha mwenyewe.Nafasi imejaa na siwezi penda tena.

Nadhani akiona hii atakuwa amekuelewa na hatarudia tena:

The Following User Says Thank You to Charity For This Useful Post:
Mchumba Chrispin (Today)
 
Njoo kwenye maombi... :israel:😛ray:

Nije wapi na lini ili unifanyie hayo maombi?ila nina wasiwasi sana na Uaskofu wako kwa kuwa Askofu gani yuko bize na Jukwaa la Mapenzi kila kukucha?hivi yatakuwa maombi kweli?

Nitakuelekeza pa kuja mama... na usiwe na wasiwasi kabisa maana uwepo wangu hapa ni kwa utukufu wa mungu, nisaidie wenye kuvunjika mioyo kama wewe...:A S 12:...😛ray:

Nasubiri kwa hamu...

:lie::lie::lie::closed_2::closed_2::closed_2:
 
Nadhani akiona hii atakuwa amekuelewa na hatarudia tena:

The Following User Says Thank You to Charity For This Useful Post:
Mchumba Chrispin (Today)
Ndio maana Nakupenda.You are always there to protect me...........
 
Hahahahaaa.Me am booked already.Nina mchumba angu anaitwa Chrispin.Akija hapa atadhibitisha mwenyewe.Nafasi imejaa na siwezi penda tena.

Charity unamuamini Xpin,pole yako...Kutwa kucha anashinda bar kunywa chibuku,hafai..huko kuna vidosho wa kila sampuli.
 
I'm in Love With Chrispin by Yvone Chakachaka :A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

Hebu cheki na Charity kama atakuruhusu afu umgongee na Askofu aje ahalalishe kwa upako:closed_2:.......
 
Charity unamuamini Xpin,pole yako...Kutwa kucha anashinda bar kunywa chibuku,hafai..huko kuna vidosho wa kila sampuli.
GS hapa ndipo Mungu alitupatiaga....MAPENZI!!!ni kama vile wewe ulivyompenda usiyemjua.Ninampenda hivyo hivyo licha ya vituko vyake......
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…