Ninayo furaha kujiunga na wana-Afrika Mashariki wenzangu hapa JamiiForums

ndaosca

Member
Joined
Aug 14, 2024
Posts
5
Reaction score
16
Hodi wanajamii! ๐Ÿ‘‹

Naitwa Oscar Ndayi ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ, Mrundi kwa asili lakini kwa sasa nipo nchini Indonesia ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฉ kusoma (Doctoral Student) katika Programu ya Tathmini ya Miradi (Program Evaluation), Chuo Kikuu cha Yogyakarta State University. ๐ŸŽ“

Nina furaha isiyo kifani kuona fursa ya kuwa na wa East Africans ๐ŸŒ na wanamemba wengine nje ya East Africa! ๐ŸŒ

Ninaweza kutoa mchango wangu katika maeneo yafuatayo:

โžก Uandishi wa Andiko Mradi (Community | Humanitarian Grant Project Proposal Writing) ๐Ÿ“„

โžก Ufuatiliaji na Tathmini ya Miradi (Project Monitoring & Evaluation) ๐Ÿ“Š

โžก Ushawishi wa Jamii (Lobbyist Skills) ๐Ÿ—ฃ๏ธ

โžก Uchambuzi wa Takwimu kwa kutumia SPSS, Stata, R, n.k. ๐Ÿ“ˆ

Asanteni sana kwa kunipokea! ๐Ÿ˜Š
 
Ikob poa hii.
 
Karibu sana kwenye mtandao wa wakuu, maana huku kila mtu ni mkuu kwahiyo na hivi watu huficha ID zao unaweza ukashangaa kila siku unamuita mwanao "mkuu mkuu mkuu". ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Karibu sana.
 
Umeishi Tanzania kwa miaka mingapi kabla ya kutimkia huko ughaibuni?.
Kiswahili chako ulichoandika kwa uchache kiko vizuri kuliko waswahili wengi ndani ya jukwaa hili.

Turashashe chane.
 
Mkuu unaijua Betway?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ