Mkuu kondom ina uwezo wa kuzuia mimba kama ikitumiwa vizuri. 7bu ukitazama katika vyombo vya kimaabara,yaani darubini kama telescope au microscope inayokuza moja kwa kumi au kumi kwa mia,inaonyesha kwamba kondom ina matundu yenye ukubwa wa 0.08 mbegu ya kiume ina ukubwa wa 0.12 hivyo mbegu ya kiume ina ukubwa zaidi kuliko tundu la kondom hivyo haitapenya kwa hivyo uwezekano wa kupata mimba ni mdogo.
lakini,kondom si kinga ya ukimwi hata kwa dakika.7bu virus wa ukimwi mmoja ana ukubwa wa 0.03. Hivyo katika tundu la kondom lenye ukubwa wa 0.08 anapita. Na mkewe naye mwenye ukubwa huohuo jumla wanakuwa na ukubwa wa 0.06 na mtoto wao mgongoni mwenye ukubwa wa 0.02 jumla wanakuwa 0.08 hivyo huwafanya kupita kwa urahisi zaidi bila tabu yoyote wanaenda kuleana mbele ya safari na kuzaliana kwa wingi.
kwa nyongeza tu; kihistoria kwamba kondom ilikuwepo tokea vita kuu ya pili ya dunia. Na hii inatengenezwa na plastic laini na pia kondom ina mafuta kwa nje ambayo kitaalam yanaitwa jojoba oil sex. Ambayo mafuta hayo yanapogonga au yanapoingia au yanapogusa kuta za uke ynabakia. Hivyo inapotumika muda mrefu inatengeneza ngozi ngumu ktika uke kutokana na mafuta.
kitendo hicho kitapelekea mwanamke kukosa stimulation yaani msisimko,7bu hadi aanze kupata raha ya tendo,inabidi uipashe moto ile ngozi na mpaka ikipashika, mwanaume tayari utakuwa umeshapiga goli zaidi ya moja. Hivyo wakati mwenzi wako anaanza kujisikia wewe unakuwa umeshachoka,hivyo kukuona hufai lakini chanzo ni nini? Jibu ni kondom. Pia kondom kwa baadhi ya wanawake inawasababishia fangus yaani ugonjwa wa kuwashwa ukeni.