Ningekua Rais

b5-click

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2012
Posts
2,195
Reaction score
2,109
Ningejiuzuru... Mtoto wa darasa la 4 kwenye Sunday school, alipo ambiwa atunge sentensi kwa kuanza na maneno Ningekua Rais...
 
Naona unamlisha mtoto maneno kama yule alietiririsha kutaja mawwziri kumbe kalishwa maneno duuuh jionee huruma kwanza kwa kukubaki kujidanganya
 
Naona unamlisha mtoto maneno kama yule alietiririsha kutaja mawwziri kumbe kalishwa maneno duuuh jionee huruma kwanza kwa kukubaki kujidanganya
Umekunywa viroba vya wapi ankoli!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…