Ningekuwa C.E.O wa biashara ya AFRICAN BOY basi hiki ndicho ningekifanya ili kujenga Brand yenye nguvu!

Ningekuwa C.E.O wa biashara ya AFRICAN BOY basi hiki ndicho ningekifanya ili kujenga Brand yenye nguvu!

Seif Mselem

Senior Member
Joined
Oct 16, 2023
Posts
161
Reaction score
526
Kabla sijakwambia ni STRATEGIES gani ningeenda kuzitumia ili kujenga hiyo brand…

Naomba kwanza nikwambie maana sahihi ya BRAND ili uweze kunielewa vizuri huko mbele.

Huwa napenda kuelezea brand kwa urahisi kwa kutumia hii EQUATION hapa chini…

Ownership + Association = BRAND

Nimekuacha?

Okay…Angalia hapa maelezo yake

OWNERSHIP…(UMILIKI)

Tunasema huwezi kujenga brand yenye NGUVU kwenye biashara yako kama unachokiuza…HUKIMILIKI!

Kwanini?

Kwasababu…

Kama kila mtu atakuwa na uwezo wa kuzalisha kile unachokiuza basi BIDHAA yako itakosa nguvu sokoni kwasababu haitakuwa na ile sifa ya upekee.

Ndio maana huwa napenda kusema…

Huweze kujenga BRAND kwa kuuza nyanya, mandazi au ubuyu.

Kwasababu…

Kila mtu ana uwezo wa KUZALISHA bidhaa za aina hiyo (A.K.A…COMMODITY) bila kuwepo na kizuizi chochote kile cha kisheria.

Kitu ambacho kinapelekea bidhaa yako KUKOSA sifa ya utofauti sokoni.

Na…

Upande wa pili wa shilingi ni kwamba…

Kama kile unachokiuza kina UMILIKI wako basi kitakupa sifa ya upekee na utofauti sokoni na mwisho kujenga brand.

Kwasababu…

Kitakuwa hakipatikani SEHEMU yoyote ile tofauti na kwako na kwa dealers wako which ndio sifa za brand kubwa zote duniani.

Kwahiyo…

Hiyo ndio maana ya OWNERSHIP kwenye equation yetu.

ASSOCIATION…(MUUNGANIKO/UHUSIANO)

Association kwenye brand tunasema ni…

“Kitendo cha kuunganisha kitu unachokimiliki na watu wasichokijua (Bidhaa yako) na vitu watu wanavyovijua na kuvipenda.”

Math’s Equation…

Unachokimiliki, Wasichokijua + Wanavyovijua, Kuvipenda = ASSOCIATION

Mfano…

Unamiliki night club kama KITAMBA CHEUPE, na unataka kutengeneza association.

Unafanyaje?

Tukirudi kwenye math’s equation yetu hapo juu itakuwa hivi…

Unachokimiliki na Wasichokijua…ambayo ndio night club yako ya KITAMBAA CHEUPE!

Unaihusisha na vitu…

Wanavyovijua na Kuvipenda…kama Vibe, Wachumba wazuri, Status, Mastars, Vinywaji n.k

Kwahiyo…

Wakati wa kufanya MARKETING Campaigns zako ndipo unakuwa unajitangaza kwa kulenga vitu hivyo wanavyovijua na kuvipenda.

Na…

Ikitokea mteja akaja kwenye NIGHT CLUB yako na akakutana na vitu ulivyomuahidi, ndivyo kadri atakavyoanza kutengeneza huo uhusiano.

Maana yake atahusisha kati ya…

Kitambaa Cheupe na Vibe, Wachumba Wazuri, Status n.k

Kwahiyo…

Kila atakapokuwa anataka kwenda CLUB jina la kitambaa cheupe litakuja la kwanza kichwani mwake.

Kwasababu…

Ndio sehemu pekee inayompatia VITU anavyovipenda.

Ni kama vile ilivyo kwenye brand zingine kubwa tu…

Mfano…

Ukitaka kununua simu yenye hadhi ya juu, iPhone inakuja ya kwanza.

Ukitaka kuangalia mpira wa ulaya, Super Sports inakuja ya kwanza.

Ukitaka kuonja msisimko, Coca-Cola au Pepsi inakuja ya kwanza.

N.k

Na…

Hii inatokea kwasababu hizo BRAND zimejihusisha na vitu unavyovijua na kuvipenda na mwisho wewe kama mlengwa ndio ukatengeneza huo uhusiano.

Kwahiyo…

Hiyo ndio maana ya kutengeneza ASSOCIATION kwenye kitu unachokiuza na kukimiliki.

Na…

Combination ya Ownership na Association ndio BRAND yenyewe ambayo unatakiwa uijenge.

SUMMARY: “Kile unachokiuza ndicho UNAKIHUSISHA na vitu vizuri unavyotaka kijulikane navyo.”

…hiyo ndio maana halisi ya BRAND kwa maneno kumi rahisi.

Bila shaka umepata maana rahisi na halisi ya brand? Au Sio?

Yeah…Vizuri.

Sasa kama mimi ndio C.E.O wa AFRICAN BOY nitatumia mbinu gani ili kujenga brand yenye nguvu Africa?

Picha linaanzia hapa…

1). Ningeajiri Designers wapya wa mavazi/nguo.

Kwanini?

“It’s not the person who makes shoes who get PAID the most but the person who DESIGN it”

—Nassim Taleb

Tunasema hivi…

African boy haipo kwenye biashara ya KUUZA nguo bali ipo kwenye biashara ya ku DESIGN mavazi/nguo.

Yaani…

Kitaalamu huwa hatumiliki nguo ILA huwa tunamiliki designs za nguo.

Kwasababu…

Design ya nguo ndio “INTELLECTUAL PROPERTY” ya biashara husika.

Kwahiyo…

Kama utakuwa na UMILIKI wa kitu unachokiuza (Designs) hapo ndipo unaweza kuanza kukifanyia ASSOCIATION ili kujenga brand yako.

Kwahiyo…

Kwa kuajiri wabunifu wapya kwenye AFRICAN BOY ndio itatupa chance ya kuja na designs nyingi za mavazi ambazo ndizo zitatupa upekee sokoni.

Na…

Kwasababu siku zote wafanyakazi ni mali ya BIASHARA maana yake ni kwamba…

Kila watakachokifanya ndani ya MUDA na kwa kutumia VIFAA vya biashara kitakuwa chini ya African boy.

Ni kama vile ule mfano wa…

Yule designer wa NIKE aliye design kiatu cha…AIR JORDAN!

Kama umeangalia movie ya “AIR” utakuwa ushaelewa na maanisha nini.

Kwahiyo…

Hapa lengo ni kupata wabunifu makini ambao watatupa OUTSTANDING design ambazo ndizo zitaipa pia African boy cutting edge sokoni.

Na…

Tunawapataje sasa hawa DESIGNERS wa kuja kuongeza nguvu?

Kwa…

Akili ya haraka haraka unaweza kudhani lazima watoke nje ya nchi…HAPANA!

(That’s too EXPENSIVE when you’re starting out)!

Tunawapata hapa hapa bongo… Kivipi?

Angalia hapa…

Linapokuja swala la TALENT hasa kwenye wabunifu wa mavazi binafsi huwa na amini katika watu ambao ni…

Young & Knowledgeable… Vijana wadogo wenye Maarifa

Passionate… Shauku ya kufanya

Na…

Wenye nia ya kuifanyia dunia mambo makubwa.

SN: Experience ina MATTER ila kwa kesi hii sidhani kama inahitajika sana.

Sasa tunawapata wapi watu wa aina hii kwa hapa bongo? Kuna sehemu kubwa mbili…

Moja…Toka Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM)

Kuna kozi moja ipo pale inahusu mambo ya Arts & Design. Humo kuna chance kubwa ya kupata watu makini kwaajili ya kazi hiyo.

Mbili…Tembelea Fashion SHOWS zote zinazofanyika vyuoni then angalia watu waliopo nyuma ya pazia.

Huko pia lazima utakutana na watu wanaoendana na kazi hii.

So,

Kwa kupata DESIGNERS ambao ni makini, tayari tunakuwa tumepata majibu ya kipande cha OWNERSHIP kwenye equation yetu ya brand.

Kwasababu…

Tutakuwa tuna DESIGNERS makini wanaotengeneza DESIGN kali zinazomilikiwa na AFRICAN BOY Company.

…OWNERSHIP!

2). Ningeanza kufanya ASSOCIATION ili kujenga brand yenye nguvu.

Kivipi?

Hapa kuna vitu vikubwa viwili vya kuangalia…

i). Ningetafuta Brand CHAMPION wa African boy.

Brand Champ ni nani?

Huyu ni mtu mwenye jina na ushawishi mkubwa kwenye eneo flani. Kwenye case yetu hapa ni fashion (Mitindo).

Na…

Kazi ya huyu Champ kwenye African Boy Brand Itakuwa ni…

—Kuipa African boy LOYAL CUSTOMERS…Imagine watu wangapi wanakunywa Pepsi kwasababu tu wanamkubali Diamond Platnumz?

—Kuipa African boy VISIBILITY…Imagine Mr. Beast akivaa nguo yako, itaoneka kwa watu wangapi?

—Kuipa African boy POWER sokoni…Imagine nguo yako imevaliwa na Barack Obama?

Hizo sifa zote kwenye brand kubwa huwa haziji kwa BAHATI mbaya huwa zinakuwa CULTIVATED kwa kufanya association na Champs.

Na…

Ndio maana…

Ukiangalia makampuni mengi ya mavazi duniani huwa Lazima yawe na huyu mtu ili ku push brand yake kwenda mbele.

Mfano mzuri ni…

Nike… wana C. Ronaldo kwenye mpira wa miguu na L. James kwenye mpira wa kikapu.

Adidas… wana L. Messi kwenye mpira wa miguu

Gymshark… wana CBUM kwenye bodybuilding

D & G… wana Kim Kardashian kwenye mitindo

n.k

Kwahiyo…

Kwa kuwa na Brand CHAMP inakupa faida ya kufikia watu wengi na wakati huo huo huku ukitengeneza FAIDA kubwa kwa maana…

Watu wengi watanunua “African Boy Clothing Brand” kwasababu mtu flani ambaye ni celebrity pia anaivaa.

Ni…

Kama vile tu unavyonunua kitu flani kwasababu mtu unayemkubali pia anakitumia. So hivyo hivyo itaenda kutokea na kwa African Boy.

Watu watanunua kwasababu kuna CHAMP huwa anazivaa.

Na…

Ili huu uhusiano uweze kufanikiwa vizuri lazima huyo brand CHAMP awe na sifa hizi za msingi (Kwa case ya African boy)…

—Lazima awe ni mtu wa mavazi na kupendeza (Market)

—Lazima awe ni mtu anayekubalika na watu wengi (Likability)

—Lazima awe anafahamika kwenye hilo soko husika (Celebrity)

—Itapendeza kama akiwa na muonekano mzuri (Handsome/African Masculine)

n.k

Kwahiyo…

Hapo tutakuwa tumefanya ASSOCIATION kwa kumtumia BRAND Champ.

ii). Ningetafuta fursa za kuvalisha wanamitindo kwenye Fashion Shows.

Kumbuka tuko hapa kwa lengo la “KUHUSISHA” design za mavazi yetu na vitu ambavyo watu wengi wanavipenda ili kujenga brand.

Na…

Moja ya vitu ambavyo watu wengi wanavipenda kwenye mitindo na mavazi ni pamoja na…

Beauty, Good looking, High Class, Luxury, Status, Fame, Wealthy n.k

Na…

Kwenye fashion shows vitu vyote hivyo tunaenda kuvipata.

Kwahiyo…

Hapa ki msingi ni tutakuwa tunawavalisha WASHIRIKI wa fashion shows designs za mavazi kutoka African boy.

Na…

Hii itatupa faida moja kubwa…

“EXCLUSIVITY”

Kwasababu…

Design za mavazi ya aina hiyo yatakuwa yanapatika kwa kikundi cha watu flani wachache which itapelekea kuwa zinahitajika zaidi kwa wapenda kuvaa na mwisho kupelekea kuwa zinauzwa kwa premium price.

Ndio Inakuwa kama vile bidhaa za Gucci, LV, D & G n.k

Gharama za kuitengeneza ni ndogo kuliko bei za kuiuza, na kwasababu ya brand Inakuwa inatupa African Boy profit margin kubwa.

Bidhaa Inatengenezwa kwa gharama ya Tshs 200k then Inauzwa kwa bei ya Tshs 1.5M.

(1.3M Big Profit)

Kwahiyo…

Kadri African boy itakavyokuwa inashiriki kwenye FASHION SHOWS mbalimbali ndivyo kadri itakavyokuwa inazidi kujulikana, kuwafikia watu wengi na mwisho kujenga brand yake.

Na…

Hapa nitahakikisha tunapeleka designs za MAVAZI kwenye kila fashion EVENT itakayofanyika. Kuanzia Africa hadi huko duniani (Paris, Landon n.k).

So,

Hivyo ndivyo utakavyo tengeneza ASSOCIATION ya kile unachokiuza ili kujenga brand.

Na…

Kwa case ya African boy itakuwa ni kwa KUTUMIA Brand Champs na Fashion Events/Shows.

3). Nitaanzisha clothing LINE mpya ya African Girl.

Kuna mtu aliwahi kusema…

“Ukitaka kufanyikiwa kwenye biashara basi HAKIKISHA una anza kukubalika kwa wanawake kwanza”

I think ni the same pia kwenye MZIKI…Wadada wakikupenda tu ndo ushaondoka hivyo.

Wanawake ndio wana DRIVE world economy.

Hawa ndio wanaongoza kufanya manunuzi na hawa ndio wanashawishi wanaume wengi kufanya manunuzi pia.

Kwahiyo…

Kama ukiweza ku expand soko la AFRICAN BOY kutoka kwa wanaume na kuingia kwa wadada basi unaenda kuanza kupata MARKET SHARE kubwa sana toka kwenye soko zima la mavazi na nguo.

So,

Hapa ishu ni ku LAUNCH line mpya sokoni kwaajili ya wadada, kisha na yenyewe unaitengenezea brand kama tulivyoona hapo juu.

SN: Nimeandika point hii niki assume kwamba African boy bado hawajaingia kwenye soko la wanawake/wadada.

4). Nitaajiri Mwanasheria.

Moja ya biashara ambazo zinahitaji wanasheria ni biashara zinazohusisha…UMILIKI!

Kuanzia biashara ya…

Mziki, Mavazi, Uandishi wa Vitabu, Uzalishaji wa bidhaa n.k

Kwahiyo…

Kazi ya huyu bwana ni ku deal na LEGAL CASES zote zinazoihusu African boy.

Aidha inashitaki mtu au kampuni yenyewe ndio inashitakiwa.

Na…

Hawa jamaa wako mtaani wa kutosha ni kuangalia yupi anaweza kuwa na msaada zaidi kwenye biashara.

BONUS: Ningemfanya Jux awe anavaa nguo za African Boy Brand Tu.

Just Imagine…

Kama Jux angekuwa anavaa BRAND yake tangu siku ya kwanza imeanzishwa?

Hakuna watu wanaipa brand VISIBILITY kama celebrity.

Kwa...

Yeye kuwa anaivaa, anaonekana nayo kwenye music videos, shows na interview hiyo yote ingejenga uaminifu kwa watu wanaomfuatilia.

Kwasababu…

Jux kwenye African Boy sio tu mtu flani bali ni FOUNDER wa brand husika.

Kwahiyo…

Kama wewe muanzilishi huamini kama BRAND yako ni class why watu wengine wa amini?

Na…

Hiyo ndio sababu PHIL KNIGHT huwa anavaa suti na raba ya Nike chini…SIO MISTAKE!

Anajua umuhimu wa kuamini katika kile unachokiuza kwenye kujenga brand.

So,

Kwa hapa naelewa kabisa Jux ni msanii na ili aweze kuonekana tofauti, kuna namna tungeifanya na designers ili awe mpya kila wakati.

Na…

Hivyo ndivyo vitu vitano ambavyo ningevifanya kama C.E.O wa African Boy ili kujenga BRAND yenye nguvu duniani.

I hope umepata baadhi ya vitu kuhusu KUJENGA brand japo kwa ufupi.

SN: Nimeandika makala hii nikiwa na heshimu na kuelewa mchango wa timu nzimu ya African Boy kwenye kujenga brand yao hadi hapo ilipo.

Kwahiyo kwa mtu yoyote yule anayehusika na African Boy direct au indirect na anasoma ujumbe huu, naomba asichukulie hii makala kama THREAT kwenye kile wanachokifanya bali…

Naomba wachukulie kama LESSONS ya kitu cha kujifunza kama inavyokuwa kwenye vitu vingine tunavyokutana navyo mtandaoni.

Na…

Hiki nilichokiandika hapa ni OPINIONS zangu tu, zinaweza kuwa RIGHT or WRONG kulingana na uhalisia wa biashara ya fashion.

And…

I’m doing this for the LOVE of the game of business.

By the way…

Kabla hujaondoka naomba unisaidie kufanya vitu hivi viwili tu samahani…

i). Naomba umu TAG Jux ili aweze kuona hii makala kwasababu yeye ndio muhusika mkubwa.

Na…

ii). Kama umeipenda makala hii na unaona pia na STAHILI kupata attention yako next time basi naomba uni Follow pia.

Uwe na siku njema.

And...

Thanks for your time, Buddy✊🏿

Seif Mselem
 
Hakika umeeleweka na unastahili share & tags...

Mimi nataka kuanza kufanya biashara na kununua na kuuza magari used .. je kwakutumia huo mfano wako hapo juu nawezaje ku build japo foundation nzuri ikiwa kama ndio start-up business. Asante
 
Mkuu hapa bongo usilete ushauri kama hujaombwa. Wengine wanafanya Money Laundering we unaleta thesis ya kupatia Masters. Angalia kwanza lifestyle ya Jux ambayo ukimuuliza atakuambia kuwa inakuwa funded na the same “business”, halafu ujiulize kama the guy needs your advice. Nakushauri tumia muda wako kushauri watu wanaofanya biashara ambao wamepigika, sio Business College graduates kama Jux! Jux knows exactly what he is doing.

Ukitoka hapo kwa Jux usijisumbue kushauri wale “wafanyabiashara” wa Sinza wenye fremu za kuuza soksi rejareja na kava za simu jinsi ya kuboresha biashara zao ili waongeze BMWs zingine. Halafu usirudi kushauri waheshimiwa wenye biashara zao ambazo huwa zinafanya vizuri wakiwa madarakani halafu zinakufa immediately baada ya kutenguliwa ili ziwe consistent. Mfano kulikuwa na Mhe Maige Waziri wa Maliasili huyu aligundulika kununua nyumba ya USD700K+ huko Mbezi Beach, alipoulizwa akasema biashara yake pekee ni malori mawili ya mizigo yanamuingizia over 20K per month! Chama cha Malori wenyewe wakasema gross average ni usd2500 tena hiyo ni gross. Sasa Waziri kama huyu wewe ungemshauri afungue sijui afungue App gani huko kwani anahitaji? 🙂

Biashara za magumashi hazihitaji formal ways kwa sababu itakuwa dhahiri kuwa kuna utata. Ndio maana biashara hizi huwa as mysterious as possible, we jua tu kuwa imesajiliwa brela baas! Mwamposa ana kiwanda cha maji halali kabisa ila maji yake umeshawahi kuyaona dukani? Unadhani anashida ya brand exposure?

Bongo ukijiona una akili za kushauri watu implement hicho unachokijua ndio utajua Baltazar alikuwa ananong’ona nong’ona nini. 🙂
 
smart idea, hata kama itashindikana kufanya kazi kwa African boy just endelea kuinoa idea yako itafanya kazi sehemu nyingine.

Kuwa makini pia, ngozi nyeusi itasikiliza idea yako na itacopy and paste bila wewe kupata hata mia. Ukafanikiwe mkuu
 
Mkuu hapa bongo usilete ushauri kama hujaombwa. Wengine wanafanya Money Laundering we unaleta thesis ya kupatia Masters. Angalia kwanza lifestyle ya Jux ambayo ukimuuliza atakuambia kuwa inakuwa funded na the same “business”, halafu ujiulize kama the guy needs your advice. Nakushauri tumia muda wako kushauri watu wanaofanya biashara ambao wamepigika, sio Business College graduates kama Jux! Jux knows exactly what he is doing.

Ukitoka hapo kwa Jux usijisumbue kushauri wale “wafanyabiashara” wa Sinza wenye fremu za kuuza soksi rejareja na kava za simu jinsi ya kuboresha biashara zao ili waongeze BMWs zingine. Halafu usirudi kushauri waheshimiwa wenye biashara zao ambazo huwa zinafanya vizuri wakiwa madarakani halafu zinakufa immediately baada ya kutenguliwa ili ziwe consistent. Mfano kulikuwa na Mhe Maige Waziri wa Maliasili huyu aligundulika kununua nyumba ya USD700K+ huko Mbezi Beach, alipoulizwa akasema biashara yake pekee ni malori mawili ya mizigo yanamuingizia over 20K per month! Chama cha Malori wenyewe wakasema gross average ni usd2500 tena hiyo ni gross. Sasa Waziri kama huyu wewe ungemshauri afungue sijui afungue App gani huko kwani anahitaji? 🙂

Biashara za magumashi hazihitaji formal ways kwa sababu itakuwa dhahiri kuwa kuna utata. Ndio maana biashara hizi huwa as mysterious as possible, we jua tu kuwa imesajiliwa brela baas! Mwamposa ana kiwanda cha maji halali kabisa ila maji yake umeshawahi kuyaona dukani? Unadhani anashida ya brand exposure?

Bongo ukijiona una akili za kushauri watu implement hicho unachokijua ndio utajua Baltazar alikuwa ananong’ona nong’ona nini. 🙂
Nakubaliana na wewe
Hizi strategy atupe sisi ambao Bado tunahangaika kukuza brand
 
Kabla sijakwambia ni STRATEGIES gani ningeenda kuzitumia ili kujenga hiyo brand…

Naomba kwanza nikwambie maana sahihi ya BRAND ili uweze kunielewa vizuri huko mbele.

Huwa napenda kuelezea brand kwa urahisi kwa kutumia hii EQUATION hapa chini…

Ownership + Association = BRAND

Nimekuacha?

Okay…Angalia hapa maelezo yake

OWNERSHIP…(UMILIKI)

Tunasema huwezi kujenga brand yenye NGUVU kwenye biashara yako kama unachokiuza…HUKIMILIKI!

Kwanini?

Kwasababu…

Kama kila mtu atakuwa na uwezo wa kuzalisha kile unachokiuza basi BIDHAA yako itakosa nguvu sokoni kwasababu haitakuwa na ile sifa ya upekee.

Ndio maana huwa napenda kusema…

Huweze kujenga BRAND kwa kuuza nyanya, mandazi au ubuyu.

Kwasababu…

Kila mtu ana uwezo wa KUZALISHA bidhaa za aina hiyo (A.K.A…COMMODITY) bila kuwepo na kizuizi chochote kile cha kisheria.

Kitu ambacho kinapelekea bidhaa yako KUKOSA sifa ya utofauti sokoni.

Na…

Upande wa pili wa shilingi ni kwamba…

Kama kile unachokiuza kina UMILIKI wako basi kitakupa sifa ya upekee na utofauti sokoni na mwisho kujenga brand.

Kwasababu…

Kitakuwa hakipatikani SEHEMU yoyote ile tofauti na kwako na kwa dealers wako which ndio sifa za brand kubwa zote duniani.

Kwahiyo…

Hiyo ndio maana ya OWNERSHIP kwenye equation yetu.

ASSOCIATION…(MUUNGANIKO/UHUSIANO)

Association kwenye brand tunasema ni…

“Kitendo cha kuunganisha kitu unachokimiliki na watu wasichokijua (Bidhaa yako) na vitu watu wanavyovijua na kuvipenda.”

Math’s Equation…

Unachokimiliki, Wasichokijua + Wanavyovijua, Kuvipenda = ASSOCIATION

Mfano…

Unamiliki night club kama KITAMBA CHEUPE, na unataka kutengeneza association.

Unafanyaje?

Tukirudi kwenye math’s equation yetu hapo juu itakuwa hivi…

Unachokimiliki na Wasichokijua…ambayo ndio night club yako ya KITAMBAA CHEUPE!

Unaihusisha na vitu…

Wanavyovijua na Kuvipenda…kama Vibe, Wachumba wazuri, Status, Mastars, Vinywaji n.k

Kwahiyo…

Wakati wa kufanya MARKETING Campaigns zako ndipo unakuwa unajitangaza kwa kulenga vitu hivyo wanavyovijua na kuvipenda.

Na…

Ikitokea mteja akaja kwenye NIGHT CLUB yako na akakutana na vitu ulivyomuahidi, ndivyo kadri atakavyoanza kutengeneza huo uhusiano.

Maana yake atahusisha kati ya…

Kitambaa Cheupe na Vibe, Wachumba Wazuri, Status n.k

Kwahiyo…

Kila atakapokuwa anataka kwenda CLUB jina la kitambaa cheupe litakuja la kwanza kichwani mwake.

Kwasababu…

Ndio sehemu pekee inayompatia VITU anavyovipenda.

Ni kama vile ilivyo kwenye brand zingine kubwa tu…

Mfano…

Ukitaka kununua simu yenye hadhi ya juu, iPhone inakuja ya kwanza.

Ukitaka kuangalia mpira wa ulaya, Super Sports inakuja ya kwanza.

Ukitaka kuonja msisimko, Coca-Cola au Pepsi inakuja ya kwanza.

N.k

Na…

Hii inatokea kwasababu hizo BRAND zimejihusisha na vitu unavyovijua na kuvipenda na mwisho wewe kama mlengwa ndio ukatengeneza huo uhusiano.

Kwahiyo…

Hiyo ndio maana ya kutengeneza ASSOCIATION kwenye kitu unachokiuza na kukimiliki.

Na…

Combination ya Ownership na Association ndio BRAND yenyewe ambayo unatakiwa uijenge.

SUMMARY: “Kile unachokiuza ndicho UNAKIHUSISHA na vitu vizuri unavyotaka kijulikane navyo.”

…hiyo ndio maana halisi ya BRAND kwa maneno kumi rahisi.

Bila shaka umepata maana rahisi na halisi ya brand? Au Sio?

Yeah…Vizuri.

Sasa kama mimi ndio C.E.O wa AFRICAN BOY nitatumia mbinu gani ili kujenga brand yenye nguvu Africa?

Picha linaanzia hapa…

1). Ningeajiri Designers wapya wa mavazi/nguo.

Kwanini?

“It’s not the person who makes shoes who get PAID the most but the person who DESIGN it”

—Nassim Taleb

Tunasema hivi…

African boy haipo kwenye biashara ya KUUZA nguo bali ipo kwenye biashara ya ku DESIGN mavazi/nguo.

Yaani…

Kitaalamu huwa hatumiliki nguo ILA huwa tunamiliki designs za nguo.

Kwasababu…

Design ya nguo ndio “INTELLECTUAL PROPERTY” ya biashara husika.

Kwahiyo…

Kama utakuwa na UMILIKI wa kitu unachokiuza (Designs) hapo ndipo unaweza kuanza kukifanyia ASSOCIATION ili kujenga brand yako.

Kwahiyo…

Kwa kuajiri wabunifu wapya kwenye AFRICAN BOY ndio itatupa chance ya kuja na designs nyingi za mavazi ambazo ndizo zitatupa upekee sokoni.

Na…

Kwasababu siku zote wafanyakazi ni mali ya BIASHARA maana yake ni kwamba…

Kila watakachokifanya ndani ya MUDA na kwa kutumia VIFAA vya biashara kitakuwa chini ya African boy.

Ni kama vile ule mfano wa…

Yule designer wa NIKE aliye design kiatu cha…AIR JORDAN!

Kama umeangalia movie ya “AIR” utakuwa ushaelewa na maanisha nini.

Kwahiyo…

Hapa lengo ni kupata wabunifu makini ambao watatupa OUTSTANDING design ambazo ndizo zitaipa pia African boy cutting edge sokoni.

Na…

Tunawapataje sasa hawa DESIGNERS wa kuja kuongeza nguvu?

Kwa…

Akili ya haraka haraka unaweza kudhani lazima watoke nje ya nchi…HAPANA!

(That’s too EXPENSIVE when you’re starting out)!

Tunawapata hapa hapa bongo… Kivipi?

Angalia hapa…

Linapokuja swala la TALENT hasa kwenye wabunifu wa mavazi binafsi huwa na amini katika watu ambao ni…

Young & Knowledgeable… Vijana wadogo wenye Maarifa

Passionate… Shauku ya kufanya

Na…

Wenye nia ya kuifanyia dunia mambo makubwa.

SN: Experience ina MATTER ila kwa kesi hii sidhani kama inahitajika sana.

Sasa tunawapata wapi watu wa aina hii kwa hapa bongo? Kuna sehemu kubwa mbili…

Moja…Toka Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM)

Kuna kozi moja ipo pale inahusu mambo ya Arts & Design. Humo kuna chance kubwa ya kupata watu makini kwaajili ya kazi hiyo.

Mbili…Tembelea Fashion SHOWS zote zinazofanyika vyuoni then angalia watu waliopo nyuma ya pazia.

Huko pia lazima utakutana na watu wanaoendana na kazi hii.

So,

Kwa kupata DESIGNERS ambao ni makini, tayari tunakuwa tumepata majibu ya kipande cha OWNERSHIP kwenye equation yetu ya brand.

Kwasababu…

Tutakuwa tuna DESIGNERS makini wanaotengeneza DESIGN kali zinazomilikiwa na AFRICAN BOY Company.

…OWNERSHIP!

2). Ningeanza kufanya ASSOCIATION ili kujenga brand yenye nguvu.

Kivipi?

Hapa kuna vitu vikubwa viwili vya kuangalia…

i). Ningetafuta Brand CHAMPION wa African boy.

Brand Champ ni nani?

Huyu ni mtu mwenye jina na ushawishi mkubwa kwenye eneo flani. Kwenye case yetu hapa ni fashion (Mitindo).

Na…

Kazi ya huyu Champ kwenye African Boy Brand Itakuwa ni…

—Kuipa African boy LOYAL CUSTOMERS…Imagine watu wangapi wanakunywa Pepsi kwasababu tu wanamkubali Diamond Platnumz?

—Kuipa African boy VISIBILITY…Imagine Mr. Beast akivaa nguo yako, itaoneka kwa watu wangapi?

—Kuipa African boy POWER sokoni…Imagine nguo yako imevaliwa na Barack Obama?

Hizo sifa zote kwenye brand kubwa huwa haziji kwa BAHATI mbaya huwa zinakuwa CULTIVATED kwa kufanya association na Champs.

Na…

Ndio maana…

Ukiangalia makampuni mengi ya mavazi duniani huwa Lazima yawe na huyu mtu ili ku push brand yake kwenda mbele.

Mfano mzuri ni…

Nike… wana C. Ronaldo kwenye mpira wa miguu na L. James kwenye mpira wa kikapu.

Adidas… wana L. Messi kwenye mpira wa miguu

Gymshark… wana CBUM kwenye bodybuilding

D & G… wana Kim Kardashian kwenye mitindo

n.k

Kwahiyo…

Kwa kuwa na Brand CHAMP inakupa faida ya kufikia watu wengi na wakati huo huo huku ukitengeneza FAIDA kubwa kwa maana…

Watu wengi watanunua “African Boy Clothing Brand” kwasababu mtu flani ambaye ni celebrity pia anaivaa.

Ni…

Kama vile tu unavyonunua kitu flani kwasababu mtu unayemkubali pia anakitumia. So hivyo hivyo itaenda kutokea na kwa African Boy.

Watu watanunua kwasababu kuna CHAMP huwa anazivaa.

Na…

Ili huu uhusiano uweze kufanikiwa vizuri lazima huyo brand CHAMP awe na sifa hizi za msingi (Kwa case ya African boy)…

—Lazima awe ni mtu wa mavazi na kupendeza (Market)

—Lazima awe ni mtu anayekubalika na watu wengi (Likability)

—Lazima awe anafahamika kwenye hilo soko husika (Celebrity)

—Itapendeza kama akiwa na muonekano mzuri (Handsome/African Masculine)

n.k

Kwahiyo…

Hapo tutakuwa tumefanya ASSOCIATION kwa kumtumia BRAND Champ.

ii). Ningetafuta fursa za kuvalisha wanamitindo kwenye Fashion Shows.

Kumbuka tuko hapa kwa lengo la “KUHUSISHA” design za mavazi yetu na vitu ambavyo watu wengi wanavipenda ili kujenga brand.

Na…

Moja ya vitu ambavyo watu wengi wanavipenda kwenye mitindo na mavazi ni pamoja na…

Beauty, Good looking, High Class, Luxury, Status, Fame, Wealthy n.k

Na…

Kwenye fashion shows vitu vyote hivyo tunaenda kuvipata.

Kwahiyo…

Hapa ki msingi ni tutakuwa tunawavalisha WASHIRIKI wa fashion shows designs za mavazi kutoka African boy.

Na…

Hii itatupa faida moja kubwa…

“EXCLUSIVITY”

Kwasababu…

Design za mavazi ya aina hiyo yatakuwa yanapatika kwa kikundi cha watu flani wachache which itapelekea kuwa zinahitajika zaidi kwa wapenda kuvaa na mwisho kupelekea kuwa zinauzwa kwa premium price.

Ndio Inakuwa kama vile bidhaa za Gucci, LV, D & G n.k

Gharama za kuitengeneza ni ndogo kuliko bei za kuiuza, na kwasababu ya brand Inakuwa inatupa African Boy profit margin kubwa.

Bidhaa Inatengenezwa kwa gharama ya Tshs 200k then Inauzwa kwa bei ya Tshs 1.5M.

(1.3M Big Profit)

Kwahiyo…

Kadri African boy itakavyokuwa inashiriki kwenye FASHION SHOWS mbalimbali ndivyo kadri itakavyokuwa inazidi kujulikana, kuwafikia watu wengi na mwisho kujenga brand yake.

Na…

Hapa nitahakikisha tunapeleka designs za MAVAZI kwenye kila fashion EVENT itakayofanyika. Kuanzia Africa hadi huko duniani (Paris, Landon n.k).

So,

Hivyo ndivyo utakavyo tengeneza ASSOCIATION ya kile unachokiuza ili kujenga brand.

Na…

Kwa case ya African boy itakuwa ni kwa KUTUMIA Brand Champs na Fashion Events/Shows.

3). Nitaanzisha clothing LINE mpya ya African Girl.

Kuna mtu aliwahi kusema…

“Ukitaka kufanyikiwa kwenye biashara basi HAKIKISHA una anza kukubalika kwa wanawake kwanza”

I think ni the same pia kwenye MZIKI…Wadada wakikupenda tu ndo ushaondoka hivyo.

Wanawake ndio wana DRIVE world economy.

Hawa ndio wanaongoza kufanya manunuzi na hawa ndio wanashawishi wanaume wengi kufanya manunuzi pia.

Kwahiyo…

Kama ukiweza ku expand soko la AFRICAN BOY kutoka kwa wanaume na kuingia kwa wadada basi unaenda kuanza kupata MARKET SHARE kubwa sana toka kwenye soko zima la mavazi na nguo.

So,

Hapa ishu ni ku LAUNCH line mpya sokoni kwaajili ya wadada, kisha na yenyewe unaitengenezea brand kama tulivyoona hapo juu.

SN: Nimeandika point hii niki assume kwamba African boy bado hawajaingia kwenye soko la wanawake/wadada.

4). Nitaajiri Mwanasheria.

Moja ya biashara ambazo zinahitaji wanasheria ni biashara zinazohusisha…UMILIKI!

Kuanzia biashara ya…

Mziki, Mavazi, Uandishi wa Vitabu, Uzalishaji wa bidhaa n.k

Kwahiyo…

Kazi ya huyu bwana ni ku deal na LEGAL CASES zote zinazoihusu African boy.

Aidha inashitaki mtu au kampuni yenyewe ndio inashitakiwa.

Na…

Hawa jamaa wako mtaani wa kutosha ni kuangalia yupi anaweza kuwa na msaada zaidi kwenye biashara.

BONUS: Ningemfanya Jux awe anavaa nguo za African Boy Brand Tu.

Just Imagine…

Kama Jux angekuwa anavaa BRAND yake tangu siku ya kwanza imeanzishwa?

Hakuna watu wanaipa brand VISIBILITY kama celebrity.

Kwa...

Yeye kuwa anaivaa, anaonekana nayo kwenye music videos, shows na interview hiyo yote ingejenga uaminifu kwa watu wanaomfuatilia.

Kwasababu…

Jux kwenye African Boy sio tu mtu flani bali ni FOUNDER wa brand husika.

Kwahiyo…

Kama wewe muanzilishi huamini kama BRAND yako ni class why watu wengine wa amini?

Na…

Hiyo ndio sababu PHIL KNIGHT huwa anavaa suti na raba ya Nike chini…SIO MISTAKE!

Anajua umuhimu wa kuamini katika kile unachokiuza kwenye kujenga brand.

So,

Kwa hapa naelewa kabisa Jux ni msanii na ili aweze kuonekana tofauti, kuna namna tungeifanya na designers ili awe mpya kila wakati.

Na…

Hivyo ndivyo vitu vitano ambavyo ningevifanya kama C.E.O wa African Boy ili kujenga BRAND yenye nguvu duniani.

I hope umepata baadhi ya vitu kuhusu KUJENGA brand japo kwa ufupi.

SN: Nimeandika makala hii nikiwa na heshimu na kuelewa mchango wa timu nzimu ya African Boy kwenye kujenga brand yao hadi hapo ilipo.

Kwahiyo kwa mtu yoyote yule anayehusika na African Boy direct au indirect na anasoma ujumbe huu, naomba asichukulie hii makala kama THREAT kwenye kile wanachokifanya bali…

Naomba wachukulie kama LESSONS ya kitu cha kujifunza kama inavyokuwa kwenye vitu vingine tunavyokutana navyo mtandaoni.

Na…

Hiki nilichokiandika hapa ni OPINIONS zangu tu, zinaweza kuwa RIGHT or WRONG kulingana na uhalisia wa biashara ya fashion.

And…

I’m doing this for the LOVE of the game of business.

By the way…

Kabla hujaondoka naomba unisaidie kufanya vitu hivi viwili tu samahani…

i). Naomba umu TAG Jux ili aweze kuona hii makala kwasababu yeye ndio muhusika mkubwa.

Na…

ii). Kama umeipenda makala hii na unaona pia na STAHILI kupata attention yako next time basi naomba uni Follow pia.

Uwe na siku njema.

And...

Thanks for your time, Buddy✊🏿

Seif Mselem
Kuanzisha biashara Africa hasa ya clothing brand ni ngumu sana ikatoboa worldwide.

Ata founder wa Nike angekuwa m bongo akaianzishia hia biashara TZ asingefika hapo.

The same scenario ina apply ata kwa car company za Africa zainazotengeneza magar Africa. Uganda wana kira motors, Nigeria wana Kiwanda cha kutengeneza magari kinaitwa Nord. Sauzi na ghana napo wanatengeneza magari tena SUV

Ni Tabia ya wa africa kuto sunsume product za Africa na kupenda sana za nje.
Hata hapa ukiweka african boy na Nike watachagua Nike.

Ata hivyo mikakati yako ukiitekeleza lazima ifeli. Kwani kuanzisha vlothing brand africa kuna ugumu kuliko marekani kwa sababu cunsumers ni tofauti na wana mindset tofauti
shetta nae alikua na brand ya nguo inaitwa " shettashowbiz, Nay wamitego ' trueboy' wcb na tshirt zao za wasafi, Mwana FA na perfume za falsafa.. Bdozen na ' born to shine
kama unafuatilia Shrktank utakua unajua urahisi na clothing industry ya marekani inavyo operate. Ni what is your story, what your background , how many pieces have u sold kisha unaingia frechize na kampuni la nguo kama Nike na unauza shares zako ili kazi iende. Pia wamarekan wana support kubwa kwa startup na product zao. Kama African boy ingeanzishwaga marekani bas ingefika mbali

Ka angalie Mr P wa pquare anavyoangaika na clothing brand yake ya Zip. Kiufupi kwa msanii kuanzisha clothing brand yake hua hai last sana kama mtu wa kawaida anapoanzisha na kumpa msanii awe brand ambassador.

Kamfatilie kuna mkenya fulani ana kampuni inatengeneza mabegi ya ngozi inaitwa 'Joka Jok ' anavyo hustle angekuwa kaitengezea marekani angetoboa.

Kiufupi waafrica tunapenda kuvaa brand za nje kuonekana wa thaman kuliko brand za ndani kin LV guccii, New balance

Kwa Jux amekua akiuza tu jina la african boy ila product n copy and paste kutoka kwa clothng brand tofauti. Ata kama akitengenez design tofaut wa bongo n kam washa mzoea bidhaa zke na Exclusivity tena sio kama jezi za mpira kila msimu unakuja na design mpya na watu wananunua their is more to it.
Hata Nike wasinge ingia kwenye soko la sportware( michezo) na ku stick kwenye casual clothes( nguo za kawaida) wasinge fika uko. Mfano ni Supreme .

# kuna ugumu wa kuanzisha cloyhing brand africa kuliko marekani
 
Mkuu hapa bongo usilete ushauri kama hujaombwa. Wengine wanafanya Money Laundering we unaleta thesis ya kupatia Masters. Angalia kwanza lifestyle ya Jux ambayo ukimuuliza atakuambia kuwa inakuwa funded na the same “business”, halafu ujiulize kama the guy needs your advice. Nakushauri tumia muda wako kushauri watu wanaofanya biashara ambao wamepigika, sio Business College graduates kama Jux! Jux knows exactly what he is doing.

Ukitoka hapo kwa Jux usijisumbue kushauri wale “wafanyabiashara” wa Sinza wenye fremu za kuuza soksi rejareja na kava za simu jinsi ya kuboresha biashara zao ili waongeze BMWs zingine. Halafu usirudi kushauri waheshimiwa wenye biashara zao ambazo huwa zinafanya vizuri wakiwa madarakani halafu zinakufa immediately baada ya kutenguliwa ili ziwe consistent. Mfano kulikuwa na Mhe Maige Waziri wa Maliasili huyu aligundulika kununua nyumba ya USD700K+ huko Mbezi Beach, alipoulizwa akasema biashara yake pekee ni malori mawili ya mizigo yanamuingizia over 20K per month! Chama cha Malori wenyewe wakasema gross average ni usd2500 tena hiyo ni gross. Sasa Waziri kama huyu wewe ungemshauri afungue sijui afungue App gani huko kwani anahitaji? 🙂

Biashara za magumashi hazihitaji formal ways kwa sababu itakuwa dhahiri kuwa kuna utata. Ndio maana biashara hizi huwa as mysterious as possible, we jua tu kuwa imesajiliwa brela baas! Mwamposa ana kiwanda cha maji halali kabisa ila maji yake umeshawahi kuyaona dukani? Unadhani anashida ya brand exposure?

Bongo ukijiona una akili za kushauri watu implement hicho unachokijua ndio utajua Baltazar alikuwa ananong’ona nong’ona nini. 🙂
We jamaa una roho mbaya sana, huu ushauri nimeusoma wote kuliko hata maneno mingi za mleta mada ungekuwa karibu yangu nakupiga mawe
 
Kabla sijakwambia ni STRATEGIES gani ningeenda kuzitumia ili kujenga hiyo brand…

Naomba kwanza nikwambie maana sahihi ya BRAND ili uweze kunielewa vizuri huko mbele.

Huwa napenda kuelezea brand kwa urahisi kwa kutumia hii EQUATION hapa chini…

Ownership + Association = BRAND

Nimekuacha?

Okay…Angalia hapa maelezo yake

OWNERSHIP…(UMILIKI)

Tunasema huwezi kujenga brand yenye NGUVU kwenye biashara yako kama unachokiuza…HUKIMILIKI!

Kwanini?

Kwasababu…

Kama kila mtu atakuwa na uwezo wa kuzalisha kile unachokiuza basi BIDHAA yako itakosa nguvu sokoni kwasababu haitakuwa na ile sifa ya upekee.

Ndio maana huwa napenda kusema…

Huweze kujenga BRAND kwa kuuza nyanya, mandazi au ubuyu.

Kwasababu…

Kila mtu ana uwezo wa KUZALISHA bidhaa za aina hiyo (A.K.A…COMMODITY) bila kuwepo na kizuizi chochote kile cha kisheria.

Kitu ambacho kinapelekea bidhaa yako KUKOSA sifa ya utofauti sokoni.

Na…

Upande wa pili wa shilingi ni kwamba…

Kama kile unachokiuza kina UMILIKI wako basi kitakupa sifa ya upekee na utofauti sokoni na mwisho kujenga brand.

Kwasababu…

Kitakuwa hakipatikani SEHEMU yoyote ile tofauti na kwako na kwa dealers wako which ndio sifa za brand kubwa zote duniani.

Kwahiyo…

Hiyo ndio maana ya OWNERSHIP kwenye equation yetu.

ASSOCIATION…(MUUNGANIKO/UHUSIANO)

Association kwenye brand tunasema ni…

“Kitendo cha kuunganisha kitu unachokimiliki na watu wasichokijua (Bidhaa yako) na vitu watu wanavyovijua na kuvipenda.”

Math’s Equation…

Unachokimiliki, Wasichokijua + Wanavyovijua, Kuvipenda = ASSOCIATION

Mfano…

Unamiliki night club kama KITAMBA CHEUPE, na unataka kutengeneza association.

Unafanyaje?

Tukirudi kwenye math’s equation yetu hapo juu itakuwa hivi…

Unachokimiliki na Wasichokijua…ambayo ndio night club yako ya KITAMBAA CHEUPE!

Unaihusisha na vitu…

Wanavyovijua na Kuvipenda…kama Vibe, Wachumba wazuri, Status, Mastars, Vinywaji n.k

Kwahiyo…

Wakati wa kufanya MARKETING Campaigns zako ndipo unakuwa unajitangaza kwa kulenga vitu hivyo wanavyovijua na kuvipenda.

Na…

Ikitokea mteja akaja kwenye NIGHT CLUB yako na akakutana na vitu ulivyomuahidi, ndivyo kadri atakavyoanza kutengeneza huo uhusiano.

Maana yake atahusisha kati ya…

Kitambaa Cheupe na Vibe, Wachumba Wazuri, Status n.k

Kwahiyo…

Kila atakapokuwa anataka kwenda CLUB jina la kitambaa cheupe litakuja la kwanza kichwani mwake.

Kwasababu…

Ndio sehemu pekee inayompatia VITU anavyovipenda.

Ni kama vile ilivyo kwenye brand zingine kubwa tu…

Mfano…

Ukitaka kununua simu yenye hadhi ya juu, iPhone inakuja ya kwanza.

Ukitaka kuangalia mpira wa ulaya, Super Sports inakuja ya kwanza.

Ukitaka kuonja msisimko, Coca-Cola au Pepsi inakuja ya kwanza.

N.k

Na…

Hii inatokea kwasababu hizo BRAND zimejihusisha na vitu unavyovijua na kuvipenda na mwisho wewe kama mlengwa ndio ukatengeneza huo uhusiano.

Kwahiyo…

Hiyo ndio maana ya kutengeneza ASSOCIATION kwenye kitu unachokiuza na kukimiliki.

Na…

Combination ya Ownership na Association ndio BRAND yenyewe ambayo unatakiwa uijenge.

SUMMARY: “Kile unachokiuza ndicho UNAKIHUSISHA na vitu vizuri unavyotaka kijulikane navyo.”

…hiyo ndio maana halisi ya BRAND kwa maneno kumi rahisi.

Bila shaka umepata maana rahisi na halisi ya brand? Au Sio?

Yeah…Vizuri.

Sasa kama mimi ndio C.E.O wa AFRICAN BOY nitatumia mbinu gani ili kujenga brand yenye nguvu Africa?

Picha linaanzia hapa…

1). Ningeajiri Designers wapya wa mavazi/nguo.

Kwanini?

“It’s not the person who makes shoes who get PAID the most but the person who DESIGN it”

—Nassim Taleb

Tunasema hivi…

African boy haipo kwenye biashara ya KUUZA nguo bali ipo kwenye biashara ya ku DESIGN mavazi/nguo.

Yaani…

Kitaalamu huwa hatumiliki nguo ILA huwa tunamiliki designs za nguo.

Kwasababu…

Design ya nguo ndio “INTELLECTUAL PROPERTY” ya biashara husika.

Kwahiyo…

Kama utakuwa na UMILIKI wa kitu unachokiuza (Designs) hapo ndipo unaweza kuanza kukifanyia ASSOCIATION ili kujenga brand yako.

Kwahiyo…

Kwa kuajiri wabunifu wapya kwenye AFRICAN BOY ndio itatupa chance ya kuja na designs nyingi za mavazi ambazo ndizo zitatupa upekee sokoni.

Na…

Kwasababu siku zote wafanyakazi ni mali ya BIASHARA maana yake ni kwamba…

Kila watakachokifanya ndani ya MUDA na kwa kutumia VIFAA vya biashara kitakuwa chini ya African boy.

Ni kama vile ule mfano wa…

Yule designer wa NIKE aliye design kiatu cha…AIR JORDAN!

Kama umeangalia movie ya “AIR” utakuwa ushaelewa na maanisha nini.

Kwahiyo…

Hapa lengo ni kupata wabunifu makini ambao watatupa OUTSTANDING design ambazo ndizo zitaipa pia African boy cutting edge sokoni.

Na…

Tunawapataje sasa hawa DESIGNERS wa kuja kuongeza nguvu?

Kwa…

Akili ya haraka haraka unaweza kudhani lazima watoke nje ya nchi…HAPANA!

(That’s too EXPENSIVE when you’re starting out)!

Tunawapata hapa hapa bongo… Kivipi?

Angalia hapa…

Linapokuja swala la TALENT hasa kwenye wabunifu wa mavazi binafsi huwa na amini katika watu ambao ni…

Young & Knowledgeable… Vijana wadogo wenye Maarifa

Passionate… Shauku ya kufanya

Na…

Wenye nia ya kuifanyia dunia mambo makubwa.

SN: Experience ina MATTER ila kwa kesi hii sidhani kama inahitajika sana.

Sasa tunawapata wapi watu wa aina hii kwa hapa bongo? Kuna sehemu kubwa mbili…

Moja…Toka Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM)

Kuna kozi moja ipo pale inahusu mambo ya Arts & Design. Humo kuna chance kubwa ya kupata watu makini kwaajili ya kazi hiyo.

Mbili…Tembelea Fashion SHOWS zote zinazofanyika vyuoni then angalia watu waliopo nyuma ya pazia.

Huko pia lazima utakutana na watu wanaoendana na kazi hii.

So,

Kwa kupata DESIGNERS ambao ni makini, tayari tunakuwa tumepata majibu ya kipande cha OWNERSHIP kwenye equation yetu ya brand.

Kwasababu…

Tutakuwa tuna DESIGNERS makini wanaotengeneza DESIGN kali zinazomilikiwa na AFRICAN BOY Company.

…OWNERSHIP!

2). Ningeanza kufanya ASSOCIATION ili kujenga brand yenye nguvu.

Kivipi?

Hapa kuna vitu vikubwa viwili vya kuangalia…

i). Ningetafuta Brand CHAMPION wa African boy.

Brand Champ ni nani?

Huyu ni mtu mwenye jina na ushawishi mkubwa kwenye eneo flani. Kwenye case yetu hapa ni fashion (Mitindo).

Na…

Kazi ya huyu Champ kwenye African Boy Brand Itakuwa ni…

—Kuipa African boy LOYAL CUSTOMERS…Imagine watu wangapi wanakunywa Pepsi kwasababu tu wanamkubali Diamond Platnumz?

—Kuipa African boy VISIBILITY…Imagine Mr. Beast akivaa nguo yako, itaoneka kwa watu wangapi?

—Kuipa African boy POWER sokoni…Imagine nguo yako imevaliwa na Barack Obama?

Hizo sifa zote kwenye brand kubwa huwa haziji kwa BAHATI mbaya huwa zinakuwa CULTIVATED kwa kufanya association na Champs.

Na…

Ndio maana…

Ukiangalia makampuni mengi ya mavazi duniani huwa Lazima yawe na huyu mtu ili ku push brand yake kwenda mbele.

Mfano mzuri ni…

Nike… wana C. Ronaldo kwenye mpira wa miguu na L. James kwenye mpira wa kikapu.

Adidas… wana L. Messi kwenye mpira wa miguu

Gymshark… wana CBUM kwenye bodybuilding

D & G… wana Kim Kardashian kwenye mitindo

n.k

Kwahiyo…

Kwa kuwa na Brand CHAMP inakupa faida ya kufikia watu wengi na wakati huo huo huku ukitengeneza FAIDA kubwa kwa maana…

Watu wengi watanunua “African Boy Clothing Brand” kwasababu mtu flani ambaye ni celebrity pia anaivaa.

Ni…

Kama vile tu unavyonunua kitu flani kwasababu mtu unayemkubali pia anakitumia. So hivyo hivyo itaenda kutokea na kwa African Boy.

Watu watanunua kwasababu kuna CHAMP huwa anazivaa.

Na…

Ili huu uhusiano uweze kufanikiwa vizuri lazima huyo brand CHAMP awe na sifa hizi za msingi (Kwa case ya African boy)…

—Lazima awe ni mtu wa mavazi na kupendeza (Market)

—Lazima awe ni mtu anayekubalika na watu wengi (Likability)

—Lazima awe anafahamika kwenye hilo soko husika (Celebrity)

—Itapendeza kama akiwa na muonekano mzuri (Handsome/African Masculine)

n.k

Kwahiyo…

Hapo tutakuwa tumefanya ASSOCIATION kwa kumtumia BRAND Champ.

ii). Ningetafuta fursa za kuvalisha wanamitindo kwenye Fashion Shows.

Kumbuka tuko hapa kwa lengo la “KUHUSISHA” design za mavazi yetu na vitu ambavyo watu wengi wanavipenda ili kujenga brand.

Na…

Moja ya vitu ambavyo watu wengi wanavipenda kwenye mitindo na mavazi ni pamoja na…

Beauty, Good looking, High Class, Luxury, Status, Fame, Wealthy n.k

Na…

Kwenye fashion shows vitu vyote hivyo tunaenda kuvipata.

Kwahiyo…

Hapa ki msingi ni tutakuwa tunawavalisha WASHIRIKI wa fashion shows designs za mavazi kutoka African boy.

Na…

Hii itatupa faida moja kubwa…

“EXCLUSIVITY”

Kwasababu…

Design za mavazi ya aina hiyo yatakuwa yanapatika kwa kikundi cha watu flani wachache which itapelekea kuwa zinahitajika zaidi kwa wapenda kuvaa na mwisho kupelekea kuwa zinauzwa kwa premium price.

Ndio Inakuwa kama vile bidhaa za Gucci, LV, D & G n.k

Gharama za kuitengeneza ni ndogo kuliko bei za kuiuza, na kwasababu ya brand Inakuwa inatupa African Boy profit margin kubwa.

Bidhaa Inatengenezwa kwa gharama ya Tshs 200k then Inauzwa kwa bei ya Tshs 1.5M.

(1.3M Big Profit)

Kwahiyo…

Kadri African boy itakavyokuwa inashiriki kwenye FASHION SHOWS mbalimbali ndivyo kadri itakavyokuwa inazidi kujulikana, kuwafikia watu wengi na mwisho kujenga brand yake.

Na…

Hapa nitahakikisha tunapeleka designs za MAVAZI kwenye kila fashion EVENT itakayofanyika. Kuanzia Africa hadi huko duniani (Paris, Landon n.k).

So,

Hivyo ndivyo utakavyo tengeneza ASSOCIATION ya kile unachokiuza ili kujenga brand.

Na…

Kwa case ya African boy itakuwa ni kwa KUTUMIA Brand Champs na Fashion Events/Shows.

3). Nitaanzisha clothing LINE mpya ya African Girl.

Kuna mtu aliwahi kusema…

“Ukitaka kufanyikiwa kwenye biashara basi HAKIKISHA una anza kukubalika kwa wanawake kwanza”

I think ni the same pia kwenye MZIKI…Wadada wakikupenda tu ndo ushaondoka hivyo.

Wanawake ndio wana DRIVE world economy.

Hawa ndio wanaongoza kufanya manunuzi na hawa ndio wanashawishi wanaume wengi kufanya manunuzi pia.

Kwahiyo…

Kama ukiweza ku expand soko la AFRICAN BOY kutoka kwa wanaume na kuingia kwa wadada basi unaenda kuanza kupata MARKET SHARE kubwa sana toka kwenye soko zima la mavazi na nguo.

So,

Hapa ishu ni ku LAUNCH line mpya sokoni kwaajili ya wadada, kisha na yenyewe unaitengenezea brand kama tulivyoona hapo juu.

SN: Nimeandika point hii niki assume kwamba African boy bado hawajaingia kwenye soko la wanawake/wadada.

4). Nitaajiri Mwanasheria.

Moja ya biashara ambazo zinahitaji wanasheria ni biashara zinazohusisha…UMILIKI!

Kuanzia biashara ya…

Mziki, Mavazi, Uandishi wa Vitabu, Uzalishaji wa bidhaa n.k

Kwahiyo…

Kazi ya huyu bwana ni ku deal na LEGAL CASES zote zinazoihusu African boy.

Aidha inashitaki mtu au kampuni yenyewe ndio inashitakiwa.

Na…

Hawa jamaa wako mtaani wa kutosha ni kuangalia yupi anaweza kuwa na msaada zaidi kwenye biashara.

BONUS: Ningemfanya Jux awe anavaa nguo za African Boy Brand Tu.

Just Imagine…

Kama Jux angekuwa anavaa BRAND yake tangu siku ya kwanza imeanzishwa?

Hakuna watu wanaipa brand VISIBILITY kama celebrity.

Kwa...

Yeye kuwa anaivaa, anaonekana nayo kwenye music videos, shows na interview hiyo yote ingejenga uaminifu kwa watu wanaomfuatilia.

Kwasababu…

Jux kwenye African Boy sio tu mtu flani bali ni FOUNDER wa brand husika.

Kwahiyo…

Kama wewe muanzilishi huamini kama BRAND yako ni class why watu wengine wa amini?

Na…

Hiyo ndio sababu PHIL KNIGHT huwa anavaa suti na raba ya Nike chini…SIO MISTAKE!

Anajua umuhimu wa kuamini katika kile unachokiuza kwenye kujenga brand.

So,

Kwa hapa naelewa kabisa Jux ni msanii na ili aweze kuonekana tofauti, kuna namna tungeifanya na designers ili awe mpya kila wakati.

Na…

Hivyo ndivyo vitu vitano ambavyo ningevifanya kama C.E.O wa African Boy ili kujenga BRAND yenye nguvu duniani.

I hope umepata baadhi ya vitu kuhusu KUJENGA brand japo kwa ufupi.

SN: Nimeandika makala hii nikiwa na heshimu na kuelewa mchango wa timu nzimu ya African Boy kwenye kujenga brand yao hadi hapo ilipo.

Kwahiyo kwa mtu yoyote yule anayehusika na African Boy direct au indirect na anasoma ujumbe huu, naomba asichukulie hii makala kama THREAT kwenye kile wanachokifanya bali…

Naomba wachukulie kama LESSONS ya kitu cha kujifunza kama inavyokuwa kwenye vitu vingine tunavyokutana navyo mtandaoni.

Na…

Hiki nilichokiandika hapa ni OPINIONS zangu tu, zinaweza kuwa RIGHT or WRONG kulingana na uhalisia wa biashara ya fashion.

And…

I’m doing this for the LOVE of the game of business.

By the way…

Kabla hujaondoka naomba unisaidie kufanya vitu hivi viwili tu samahani…

i). Naomba umu TAG Jux ili aweze kuona hii makala kwasababu yeye ndio muhusika mkubwa.

Na…

ii). Kama umeipenda makala hii na unaona pia na STAHILI kupata attention yako next time basi naomba uni Follow pia.

Uwe na siku njema.

And...

Thanks for your time, Buddy✊🏿

Seif Mselem
Shirikiana na huyo mtatuletea mrejesho
 
We jamaa una roho mbaya sana, huu ushauri nimeusoma wote kuliko hata maneno mingi za mleta mada ungekuwa karibu yangu nakupiga mawe
Hujakosoa chochote kwenye niliyosema unakimbilia mawe, wewe ni great thinker kweli?
 
Kuanzisha biashara Africa hasa ya clothing brand ni ngumu sana ikatoboa worldwide.

Ata founder wa Nike angekuwa m bongo akaianzishia hia biashara TZ asingefika hapo.

The same scenario ina apply ata kwa car company za Africa zainazotengeneza magar Africa. Uganda wana kira motors, Nigeria wana Kiwanda cha kutengeneza magari kinaitwa Nord. Sauzi na ghana napo wanatengeneza magari tena SUV

Ni Tabia ya wa africa kuto sunsume product za Africa na kupenda sana za nje.
Hata hapa ukiweka african boy na Nike watachagua Nike.

Ata hivyo mikakati yako ukiitekeleza lazima ifeli. Kwani kuanzisha vlothing brand africa kuna ugumu kuliko marekani kwa sababu cunsumers ni tofauti na wana mindset tofauti
shetta nae alikua na brand ya nguo inaitwa " shettashowbiz, Nay wamitego ' trueboy' wcb na tshirt zao za wasafi, Mwana FA na perfume za falsafa.. Bdozen na ' born to shine
kama unafuatilia Shrktank utakua unajua urahisi na clothing industry ya marekani inavyo operate. Ni what is your story, what your background , how many pieces have u sold kisha unaingia frechize na kampuni la nguo kama Nike na unauza shares zako ili kazi iende. Pia wamarekan wana support kubwa kwa startup na product zao. Kama African boy ingeanzishwaga marekani bas ingefika mbali

Ka angalie Mr P wa pquare anavyoangaika na clothing brand yake ya Zip. Kiufupi kwa msanii kuanzisha clothing brand yake hua hai last sana kama mtu wa kawaida anapoanzisha na kumpa msanii awe brand ambassador.

Kamfatilie kuna mkenya fulani ana kampuni inatengeneza mabegi ya ngozi inaitwa 'Joka Jok ' anavyo hustle angekuwa kaitengezea marekani angetoboa.

Kiufupi waafrica tunapenda kuvaa brand za nje kuonekana wa thaman kuliko brand za ndani kin LV guccii, New balance

Kwa Jux amekua akiuza tu jina la african boy ila product n copy and paste kutoka kwa clothng brand tofauti. Ata kama akitengenez design tofaut wa bongo n kam washa mzoea bidhaa zke na Exclusivity tena sio kama jezi za mpira kila msimu unakuja na design mpya na watu wananunua their is more to it.
Hata Nike wasinge ingia kwenye soko la sportware( michezo) na ku stick kwenye casual clothes( nguo za kawaida) wasinge fika uko. Mfano ni Supreme .

# kuna ugumu wa kuanzisha cloyhing brand af
 
Kabla sijakwambia ni STRATEGIES gani ningeenda kuzitumia ili kujenga hiyo brand…

Naomba kwanza nikwambie maana sahihi ya BRAND ili uweze kunielewa vizuri huko mbele.

Huwa napenda kuelezea brand kwa urahisi kwa kutumia hii EQUATION hapa chini…

Ownership + Association = BRAND

Nimekuacha?

Okay…Angalia hapa maelezo yake

OWNERSHIP…(UMILIKI)

Tunasema huwezi kujenga brand yenye NGUVU kwenye biashara yako kama unachokiuza…HUKIMILIKI!

Kwanini?

Kwasababu…

Kama kila mtu atakuwa na uwezo wa kuzalisha kile unachokiuza basi BIDHAA yako itakosa nguvu sokoni kwasababu haitakuwa na ile sifa ya upekee.

Ndio maana huwa napenda kusema…

Huweze kujenga BRAND kwa kuuza nyanya, mandazi au ubuyu.

Kwasababu…

Kila mtu ana uwezo wa KUZALISHA bidhaa za aina hiyo (A.K.A…COMMODITY) bila kuwepo na kizuizi chochote kile cha kisheria.

Kitu ambacho kinapelekea bidhaa yako KUKOSA sifa ya utofauti sokoni.

Na…

Upande wa pili wa shilingi ni kwamba…

Kama kile unachokiuza kina UMILIKI wako basi kitakupa sifa ya upekee na utofauti sokoni na mwisho kujenga brand.

Kwasababu…

Kitakuwa hakipatikani SEHEMU yoyote ile tofauti na kwako na kwa dealers wako which ndio sifa za brand kubwa zote duniani.

Kwahiyo…

Hiyo ndio maana ya OWNERSHIP kwenye equation yetu.

ASSOCIATION…(MUUNGANIKO/UHUSIANO)

Association kwenye brand tunasema ni…

“Kitendo cha kuunganisha kitu unachokimiliki na watu wasichokijua (Bidhaa yako) na vitu watu wanavyovijua na kuvipenda.”

Math’s Equation…

Unachokimiliki, Wasichokijua + Wanavyovijua, Kuvipenda = ASSOCIATION

Mfano…

Unamiliki night club kama KITAMBA CHEUPE, na unataka kutengeneza association.

Unafanyaje?

Tukirudi kwenye math’s equation yetu hapo juu itakuwa hivi…

Unachokimiliki na Wasichokijua…ambayo ndio night club yako ya KITAMBAA CHEUPE!

Unaihusisha na vitu…

Wanavyovijua na Kuvipenda…kama Vibe, Wachumba wazuri, Status, Mastars, Vinywaji n.k

Kwahiyo…

Wakati wa kufanya MARKETING Campaigns zako ndipo unakuwa unajitangaza kwa kulenga vitu hivyo wanavyovijua na kuvipenda.

Na…

Ikitokea mteja akaja kwenye NIGHT CLUB yako na akakutana na vitu ulivyomuahidi, ndivyo kadri atakavyoanza kutengeneza huo uhusiano.

Maana yake atahusisha kati ya…

Kitambaa Cheupe na Vibe, Wachumba Wazuri, Status n.k

Kwahiyo…

Kila atakapokuwa anataka kwenda CLUB jina la kitambaa cheupe litakuja la kwanza kichwani mwake.

Kwasababu…

Ndio sehemu pekee inayompatia VITU anavyovipenda.

Ni kama vile ilivyo kwenye brand zingine kubwa tu…

Mfano…

Ukitaka kununua simu yenye hadhi ya juu, iPhone inakuja ya kwanza.

Ukitaka kuangalia mpira wa ulaya, Super Sports inakuja ya kwanza.

Ukitaka kuonja msisimko, Coca-Cola au Pepsi inakuja ya kwanza.

N.k

Na…

Hii inatokea kwasababu hizo BRAND zimejihusisha na vitu unavyovijua na kuvipenda na mwisho wewe kama mlengwa ndio ukatengeneza huo uhusiano.

Kwahiyo…

Hiyo ndio maana ya kutengeneza ASSOCIATION kwenye kitu unachokiuza na kukimiliki.

Na…

Combination ya Ownership na Association ndio BRAND yenyewe ambayo unatakiwa uijenge.

SUMMARY: “Kile unachokiuza ndicho UNAKIHUSISHA na vitu vizuri unavyotaka kijulikane navyo.”

…hiyo ndio maana halisi ya BRAND kwa maneno kumi rahisi.

Bila shaka umepata maana rahisi na halisi ya brand? Au Sio?

Yeah…Vizuri.

Sasa kama mimi ndio C.E.O wa AFRICAN BOY nitatumia mbinu gani ili kujenga brand yenye nguvu Africa?

Picha linaanzia hapa…

1). Ningeajiri Designers wapya wa mavazi/nguo.

Kwanini?

“It’s not the person who makes shoes who get PAID the most but the person who DESIGN it”

—Nassim Taleb

Tunasema hivi…

African boy haipo kwenye biashara ya KUUZA nguo bali ipo kwenye biashara ya ku DESIGN mavazi/nguo.

Yaani…

Kitaalamu huwa hatumiliki nguo ILA huwa tunamiliki designs za nguo.

Kwasababu…

Design ya nguo ndio “INTELLECTUAL PROPERTY” ya biashara husika.

Kwahiyo…

Kama utakuwa na UMILIKI wa kitu unachokiuza (Designs) hapo ndipo unaweza kuanza kukifanyia ASSOCIATION ili kujenga brand yako.

Kwahiyo…

Kwa kuajiri wabunifu wapya kwenye AFRICAN BOY ndio itatupa chance ya kuja na designs nyingi za mavazi ambazo ndizo zitatupa upekee sokoni.

Na…

Kwasababu siku zote wafanyakazi ni mali ya BIASHARA maana yake ni kwamba…

Kila watakachokifanya ndani ya MUDA na kwa kutumia VIFAA vya biashara kitakuwa chini ya African boy.

Ni kama vile ule mfano wa…

Yule designer wa NIKE aliye design kiatu cha…AIR JORDAN!

Kama umeangalia movie ya “AIR” utakuwa ushaelewa na maanisha nini.

Kwahiyo…

Hapa lengo ni kupata wabunifu makini ambao watatupa OUTSTANDING design ambazo ndizo zitaipa pia African boy cutting edge sokoni.

Na…

Tunawapataje sasa hawa DESIGNERS wa kuja kuongeza nguvu?

Kwa…

Akili ya haraka haraka unaweza kudhani lazima watoke nje ya nchi…HAPANA!

(That’s too EXPENSIVE when you’re starting out)!

Tunawapata hapa hapa bongo… Kivipi?

Angalia hapa…

Linapokuja swala la TALENT hasa kwenye wabunifu wa mavazi binafsi huwa na amini katika watu ambao ni…

Young & Knowledgeable… Vijana wadogo wenye Maarifa

Passionate… Shauku ya kufanya

Na…

Wenye nia ya kuifanyia dunia mambo makubwa.

SN: Experience ina MATTER ila kwa kesi hii sidhani kama inahitajika sana.

Sasa tunawapata wapi watu wa aina hii kwa hapa bongo? Kuna sehemu kubwa mbili…

Moja…Toka Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM)

Kuna kozi moja ipo pale inahusu mambo ya Arts & Design. Humo kuna chance kubwa ya kupata watu makini kwaajili ya kazi hiyo.

Mbili…Tembelea Fashion SHOWS zote zinazofanyika vyuoni then angalia watu waliopo nyuma ya pazia.

Huko pia lazima utakutana na watu wanaoendana na kazi hii.

So,

Kwa kupata DESIGNERS ambao ni makini, tayari tunakuwa tumepata majibu ya kipande cha OWNERSHIP kwenye equation yetu ya brand.

Kwasababu…

Tutakuwa tuna DESIGNERS makini wanaotengeneza DESIGN kali zinazomilikiwa na AFRICAN BOY Company.

…OWNERSHIP!

2). Ningeanza kufanya ASSOCIATION ili kujenga brand yenye nguvu.

Kivipi?

Hapa kuna vitu vikubwa viwili vya kuangalia…

i). Ningetafuta Brand CHAMPION wa African boy.

Brand Champ ni nani?

Huyu ni mtu mwenye jina na ushawishi mkubwa kwenye eneo flani. Kwenye case yetu hapa ni fashion (Mitindo).

Na…

Kazi ya huyu Champ kwenye African Boy Brand Itakuwa ni…

—Kuipa African boy LOYAL CUSTOMERS…Imagine watu wangapi wanakunywa Pepsi kwasababu tu wanamkubali Diamond Platnumz?

—Kuipa African boy VISIBILITY…Imagine Mr. Beast akivaa nguo yako, itaoneka kwa watu wangapi?

—Kuipa African boy POWER sokoni…Imagine nguo yako imevaliwa na Barack Obama?

Hizo sifa zote kwenye brand kubwa huwa haziji kwa BAHATI mbaya huwa zinakuwa CULTIVATED kwa kufanya association na Champs.

Na…

Ndio maana…

Ukiangalia makampuni mengi ya mavazi duniani huwa Lazima yawe na huyu mtu ili ku push brand yake kwenda mbele.

Mfano mzuri ni…

Nike… wana C. Ronaldo kwenye mpira wa miguu na L. James kwenye mpira wa kikapu.

Adidas… wana L. Messi kwenye mpira wa miguu

Gymshark… wana CBUM kwenye bodybuilding

D & G… wana Kim Kardashian kwenye mitindo

n.k

Kwahiyo…

Kwa kuwa na Brand CHAMP inakupa faida ya kufikia watu wengi na wakati huo huo huku ukitengeneza FAIDA kubwa kwa maana…

Watu wengi watanunua “African Boy Clothing Brand” kwasababu mtu flani ambaye ni celebrity pia anaivaa.

Ni…

Kama vile tu unavyonunua kitu flani kwasababu mtu unayemkubali pia anakitumia. So hivyo hivyo itaenda kutokea na kwa African Boy.

Watu watanunua kwasababu kuna CHAMP huwa anazivaa.

Na…

Ili huu uhusiano uweze kufanikiwa vizuri lazima huyo brand CHAMP awe na sifa hizi za msingi (Kwa case ya African boy)…

—Lazima awe ni mtu wa mavazi na kupendeza (Market)

—Lazima awe ni mtu anayekubalika na watu wengi (Likability)

—Lazima awe anafahamika kwenye hilo soko husika (Celebrity)

—Itapendeza kama akiwa na muonekano mzuri (Handsome/African Masculine)

n.k

Kwahiyo…

Hapo tutakuwa tumefanya ASSOCIATION kwa kumtumia BRAND Champ.

ii). Ningetafuta fursa za kuvalisha wanamitindo kwenye Fashion Shows.

Kumbuka tuko hapa kwa lengo la “KUHUSISHA” design za mavazi yetu na vitu ambavyo watu wengi wanavipenda ili kujenga brand.

Na…

Moja ya vitu ambavyo watu wengi wanavipenda kwenye mitindo na mavazi ni pamoja na…

Beauty, Good looking, High Class, Luxury, Status, Fame, Wealthy n.k

Na…

Kwenye fashion shows vitu vyote hivyo tunaenda kuvipata.

Kwahiyo…

Hapa ki msingi ni tutakuwa tunawavalisha WASHIRIKI wa fashion shows designs za mavazi kutoka African boy.

Na…

Hii itatupa faida moja kubwa…

“EXCLUSIVITY”

Kwasababu…

Design za mavazi ya aina hiyo yatakuwa yanapatika kwa kikundi cha watu flani wachache which itapelekea kuwa zinahitajika zaidi kwa wapenda kuvaa na mwisho kupelekea kuwa zinauzwa kwa premium price.

Ndio Inakuwa kama vile bidhaa za Gucci, LV, D & G n.k

Gharama za kuitengeneza ni ndogo kuliko bei za kuiuza, na kwasababu ya brand Inakuwa inatupa African Boy profit margin kubwa.

Bidhaa Inatengenezwa kwa gharama ya Tshs 200k then Inauzwa kwa bei ya Tshs 1.5M.

(1.3M Big Profit)

Kwahiyo…

Kadri African boy itakavyokuwa inashiriki kwenye FASHION SHOWS mbalimbali ndivyo kadri itakavyokuwa inazidi kujulikana, kuwafikia watu wengi na mwisho kujenga brand yake.

Na…

Hapa nitahakikisha tunapeleka designs za MAVAZI kwenye kila fashion EVENT itakayofanyika. Kuanzia Africa hadi huko duniani (Paris, Landon n.k).

So,

Hivyo ndivyo utakavyo tengeneza ASSOCIATION ya kile unachokiuza ili kujenga brand.

Na…

Kwa case ya African boy itakuwa ni kwa KUTUMIA Brand Champs na Fashion Events/Shows.

3). Nitaanzisha clothing LINE mpya ya African Girl.

Kuna mtu aliwahi kusema…

“Ukitaka kufanyikiwa kwenye biashara basi HAKIKISHA una anza kukubalika kwa wanawake kwanza”

I think ni the same pia kwenye MZIKI…Wadada wakikupenda tu ndo ushaondoka hivyo.

Wanawake ndio wana DRIVE world economy.

Hawa ndio wanaongoza kufanya manunuzi na hawa ndio wanashawishi wanaume wengi kufanya manunuzi pia.

Kwahiyo…

Kama ukiweza ku expand soko la AFRICAN BOY kutoka kwa wanaume na kuingia kwa wadada basi unaenda kuanza kupata MARKET SHARE kubwa sana toka kwenye soko zima la mavazi na nguo.

So,

Hapa ishu ni ku LAUNCH line mpya sokoni kwaajili ya wadada, kisha na yenyewe unaitengenezea brand kama tulivyoona hapo juu.

SN: Nimeandika point hii niki assume kwamba African boy bado hawajaingia kwenye soko la wanawake/wadada.

4). Nitaajiri Mwanasheria.

Moja ya biashara ambazo zinahitaji wanasheria ni biashara zinazohusisha…UMILIKI!

Kuanzia biashara ya…

Mziki, Mavazi, Uandishi wa Vitabu, Uzalishaji wa bidhaa n.k

Kwahiyo…

Kazi ya huyu bwana ni ku deal na LEGAL CASES zote zinazoihusu African boy.

Aidha inashitaki mtu au kampuni yenyewe ndio inashitakiwa.

Na…

Hawa jamaa wako mtaani wa kutosha ni kuangalia yupi anaweza kuwa na msaada zaidi kwenye biashara.

BONUS: Ningemfanya Jux awe anavaa nguo za African Boy Brand Tu.

Just Imagine…

Kama Jux angekuwa anavaa BRAND yake tangu siku ya kwanza imeanzishwa?

Hakuna watu wanaipa brand VISIBILITY kama celebrity.

Kwa...

Yeye kuwa anaivaa, anaonekana nayo kwenye music videos, shows na interview hiyo yote ingejenga uaminifu kwa watu wanaomfuatilia.

Kwasababu…

Jux kwenye African Boy sio tu mtu flani bali ni FOUNDER wa brand husika.

Kwahiyo…

Kama wewe muanzilishi huamini kama BRAND yako ni class why watu wengine wa amini?

Na…

Hiyo ndio sababu PHIL KNIGHT huwa anavaa suti na raba ya Nike chini…SIO MISTAKE!

Anajua umuhimu wa kuamini katika kile unachokiuza kwenye kujenga brand.

So,

Kwa hapa naelewa kabisa Jux ni msanii na ili aweze kuonekana tofauti, kuna namna tungeifanya na designers ili awe mpya kila wakati.

Na…

Hivyo ndivyo vitu vitano ambavyo ningevifanya kama C.E.O wa African Boy ili kujenga BRAND yenye nguvu duniani.

I hope umepata baadhi ya vitu kuhusu KUJENGA brand japo kwa ufupi.

SN: Nimeandika makala hii nikiwa na heshimu na kuelewa mchango wa timu nzimu ya African Boy kwenye kujenga brand yao hadi hapo ilipo.

Kwahiyo kwa mtu yoyote yule anayehusika na African Boy direct au indirect na anasoma ujumbe huu, naomba asichukulie hii makala kama THREAT kwenye kile wanachokifanya bali…

Naomba wachukulie kama LESSONS ya kitu cha kujifunza kama inavyokuwa kwenye vitu vingine tunavyokutana navyo mtandaoni.

Na…

Hiki nilichokiandika hapa ni OPINIONS zangu tu, zinaweza kuwa RIGHT or WRONG kulingana na uhalisia wa biashara ya fashion.

And…

I’m doing this for the LOVE of the game of business.

By the way…

Kabla hujaondoka naomba unisaidie kufanya vitu hivi viwili tu samahani…

i). Naomba umu TAG Jux ili aweze kuona hii makala kwasababu yeye ndio muhusika mkubwa.

Na…

ii). Kama umeipenda makala hii na unaona pia na STAHILI kupata attention yako next time basi naomba uni Follow pia.

Uwe na siku njema.

And...

Thanks for your time, Buddy✊🏿

Seif Mselem
Man you are the BEST. Nimeisoma nikaielewa na hata mimi kuna points nimechukua nikareflect na kazi yangu. Hongera mkuu
 
Back
Top Bottom