MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Bunge la Ulaya limemwita Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kimataifa ya Mafuta ya TotalEnergies, Patrick Pouyanné kujibu madai ya Bunge la Ulaya kwamba Mradi wa Bomba la Mafuta kutoka Uganda hadi Tanga Tanzania haukuzingatia tahadhari za kimazingira na haki za binadamu.
TotalEnergies ndiyo kampuni inayotekeleza mradi huo kwa ubia na Serikali za Uganda na Tanzania ikimiliki asilimia 62 ya mradio huo.
Chanzo: azamtvtz
Mkiambiwa kuwa Wazungu hawatupendi na hawajawahi kutupenda Waafrika hata Siku moja hasa katika Suala la Maendeleo yetu hamsikii na badala yake mnajipendekeza kwenda Kuhani Misiba Kwao na Kudharauliwa zaidi hadi Kupandishwa DalaDala na kuwahi Siti ya Dirishani huwa hamtuelewi na mnakuwa Vichwa Ngumu ( Wabishi ) tu.
TotalEnergies ndiyo kampuni inayotekeleza mradi huo kwa ubia na Serikali za Uganda na Tanzania ikimiliki asilimia 62 ya mradio huo.
Chanzo: azamtvtz
Mkiambiwa kuwa Wazungu hawatupendi na hawajawahi kutupenda Waafrika hata Siku moja hasa katika Suala la Maendeleo yetu hamsikii na badala yake mnajipendekeza kwenda Kuhani Misiba Kwao na Kudharauliwa zaidi hadi Kupandishwa DalaDala na kuwahi Siti ya Dirishani huwa hamtuelewi na mnakuwa Vichwa Ngumu ( Wabishi ) tu.