Ningekuwa na dhamana, nyumba za Magomeni Kota wangeishi wafanyakazi wa Hospitali ya Muhimbili na Magomeni

Ningekuwa na dhamana, nyumba za Magomeni Kota wangeishi wafanyakazi wa Hospitali ya Muhimbili na Magomeni

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Unapotamani mfanyakazi wa hospitali a-smile kwa mgonjwa kuna mambo mengi sana lazima afanyiwe kabla ya kukutana na wagonjwa. Miongoni mwa mambo hayo ni mahali pa kuishi karibu na hospitali.

Wafanyakazi kazi wa Muhimbili pale wanaishi mbali sana, wanatoka na kurudi usiku sana kutoka na kufika na nyumbani na hospitali respectively. Nguvu na tabasabu zao zote zinaishia barabarani wakati wa kwenda na kurudi kazini.

Kwanini serikali isingefikiria kuwapa nyumba zile au kuwajengea watumishi wa afya nyumba kama zile karibu na hospitali? Tumeona maghorofa kwaajili ya askari, watumishi wa afya je?

Mtumishi wa afya anatoka Chanika kwenda Muhimbili kila siku, utategemea nini anapokutana na mgonjwa? Amechoka, anasinzia na ana njaa.

Vipaumbe vyetu vyote vimekaa kisiasasiasa na kiuchaguzichaguzi, tutachelewa sana.
 
Unapotakani mfanyakazi wa hospitali a smile kwa mgonjwa Kuna mambo mengi sana lazima afanyiwe kabla ya kukutana na wagonjwa. Miongoni mwa mambo hayo ni mahali pa kuishi karibu na hospitali. Wafanyakazi kazi wa Muhimbili pale wanaishi mbali sana, wanatoka na kurudi usiku sana kutoka na kufika na nyumbani na hospitali respectively. Nguvu na tabasabu zao zote zinaishia barabarani wakati wa kwenda na kurudi kazini.

Kwanini serikali isingefikiria kuwapa nyumba zile au kuwajengea watumishi wa afya nyumba kama zile karibu na hospitali? Tumeona maghorofa kwaajili ya askari, watumishi wa afya je? Mtumishi wa afya anatoka chanika kwenda Muhimbili kila siku, utategemea nini anaokutana na mgonjwa? Amechoka, anasinzia na ana njaa.

vipaumbe vyetu vyote vimekaa kisiasasiasa na kiuchaguzichaguzi, tutachelewa sana.
Una fikra za kijinga. Kila jambo jema unadhani ni la wazungu tu? Stupid hadi kesho!
 
Unapotamani mfanyakazi wa hospitali a-smile kwa mgonjwa kuna mambo mengi sana lazima afanyiwe kabla ya kukutana na wagonjwa. Miongoni mwa mambo hayo ni mahali pa kuishi karibu na hospitali.

Wafanyakazi kazi wa Muhimbili pale wanaishi mbali sana, wanatoka na kurudi usiku sana kutoka na kufika na nyumbani na hospitali respectively. Nguvu na tabasabu zao zote zinaishia barabarani wakati wa kwenda na kurudi kazini.

Kwanini serikali isingefikiria kuwapa nyumba zile au kuwajengea watumishi wa afya nyumba kama zile karibu na hospitali? Tumeona maghorofa kwaajili ya askari, watumishi wa afya je?

Mtumishi wa afya anatoka chanika kwenda Muhimbili kila siku, utategemea nini anaokutana na mgonjwa? Amechoka, anasinzia na ana njaa.

vipaumbe vyetu vyote vimekaa kisiasasiasa na kiuchaguzichaguzi, tutachelewa sana.
Kila mtu ana umuhimu wake katika sehemu yake acheni kukuza mambo yasiyo na msingi waliokuwa wanakaa na watakaa hapo nao ni sehemu ya watu muhimu kwa binadamu wengine
 
Una fikra za kijinga.Kila jambo jema unadhani ni la wazungu tu? Stupid hadi kesho!
Mpaka Rais Samia ana hofu kuwa mtakwenda kutwanga kisanvu na kupikia Kuni mule huoni kuwa Kuna tatizo? Hata yeye haziamini akili zenu mlioambiwa mkae mule sembuse Mimi? Kutokana na akili zenu za kutwangia kisanvu mule ndiyo maana sishangai hata matusi mnayonitukana humu. Hamna akili na uwezo wa kuishi kwenye nyumba kama zile. Nimemsikia mnufaika mmoja akilia eti kwanini makabati hamna mule na gharama za kununua nyumba ni kubwa sana. Mnashindwa hata kuweka kakabati zako ka nguo kule chumbani.
 
Unapotamani mfanyakazi wa hospitali a-smile kwa mgonjwa kuna mambo mengi sana lazima afanyiwe kabla ya kukutana na wagonjwa. Miongoni mwa mambo hayo ni mahali pa kuishi karibu na hospitali.

Wafanyakazi kazi wa Muhimbili pale wanaishi mbali sana, wanatoka na kurudi usiku sana kutoka na kufika na nyumbani na hospitali respectively. Nguvu na tabasabu zao zote zinaishia barabarani wakati wa kwenda na kurudi kazini.

Kwanini serikali isingefikiria kuwapa nyumba zile au kuwajengea watumishi wa afya nyumba kama zile karibu na hospitali? Tumeona maghorofa kwaajili ya askari, watumishi wa afya je?

Mtumishi wa afya anatoka chanika kwenda Muhimbili kila siku, utategemea nini anaokutana na mgonjwa? Amechoka, anasinzia na ana njaa.

vipaumbe vyetu vyote vimekaa kisiasasiasa na kiuchaguzichaguzi, tutachelewa sana.
Usidhani kila mtu anapenda maisha ya magorofani ushindwe kupata hata kimvuli cha mti na kupanda tembeke lako na mabanda ya kuku.
 
Kila mtu ana umuhimu wake katika sehemu yake acheni kukuza mambo yasiyo na msingi waliokuwa wanakaa na watakaa hapo nao ni sehemu ya watu muhimu kwa binadamu wengine
Watu wote ni sawa lakini heshima ya mtu kwenye jamii haitatokana na kufanana kwake na binadamu, umri wake, jinsia yake, elimu wala chama Cha siasa chake, bali heshima yake itatokana na aina ya huduma yake kwa jamii na namna anavyoihudumia jamii.

Kwa watu ambao jamii inatarajia iwaone na kuwakuta ni Wasafi, wacheshi, Wana afya, wanachekea, wanafariji, wanaponya, wanaokoa na kuhifadhi faragha zao muda wote siku zote na milele lazima mambo fulani lazima wapewe. Matamanio hayo lazima Yana gharama zake.

Zile nyumba pale wamepewa kuishi hata vibaka, makahaba na wachekeshaji ambao kazi zao hazihitaji mambo mengi sana. Wengine ni kuamka na kunywa kahawa na wengine wanalala mchana usiku wanaenda kukaba watu.

Naungana na mama Samia kuwa watu wale hawakustahili kukaa mule kutokana na vipato na akili zao ndogo, watatwangia visamvu na kupikia kuni, wengine wameshaanza kulalamika kuwa hawakuwekewa kamabati ya kuweka matambara Yao.
 
Mwenyezi Mungu anajua ndiyo maana hakukupa hiyo dhamana, yaani una maanisha hao walio pata ya kuishi hizo qts hawakustahili?
 
Back
Top Bottom