Ningekuwa na mamlaka ningeanza na TANESCO

Ningekuwa na mamlaka ningeanza na TANESCO

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Jua likiwaka kina cha maji kimepungua, mvua imeanza kunyesha hata dk kumi hazizidi wamekata umeme moja kwa moja, yani ikipita siku kuanzia asubuhi saa moja hadi saa nne usiku hawajakata umeme unashukuru Mungu. Ni lini kutakua na umeme wa uhakika Tanzania? Kwanininiiiiii???
 
Ni kweli mvua zimeanza ila muda mwengine huwa mvua pia inaathiri huo mfumo wa umeme kiongozi, unalijua hilo...?
 
Jua likiwaka kina cha maji kimepungua, mvua imeanza kunyesha hata dk kumi hazizidi wamekata umeme moja kwa moja, yani ikipita siku kuanzia asubuhi saa moja hadi saa nne usiku hawajakata umeme unashukuru Mungu. Ni lini kutakua na umeme wa uhakika Tanzania? Kwanininiiiiii???
Si ajabu siku wakiwasha mitambo ya bwawa na Nyerere, watakata umeme kisha waseme bwawa limejaa tope
 
Ni kweli mvua zimeanza ila muda mwengine huwa mvua pia inaathiri huo mfumo wa umeme kiongozi, unalijua hilo...?
Ukiachana na kuanguka kwa nguzo na miti, hembi nieleze technically mvua ya kawaida tu iso na upepo umeme unaathirika vipi?
 
Back
Top Bottom