Pre GE2025 Ningekuwa na uwezo ningevifuta kwenye uliwengu wa siasa vyama vyote vya upinzania Tanzania

Pre GE2025 Ningekuwa na uwezo ningevifuta kwenye uliwengu wa siasa vyama vyote vya upinzania Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Tanzania hakuna vyama vya upinzania vyote ni ma agent wa CCM

Sema ndani ya upinzani Kuna baadhi ya watu makini ambao ningekuwa na uwezo ningevifuta vyama vyote vya upinzani na kuanzisha chama kimoja Cha kupambana na CCM.

Sio chadema sio act wazalendo sio cuf vyote vimejaaa majasusi wanaofanya kazi ya ccm kwa wengine kujua Kama ilivyo kwa Mbowe na Zitto na wengine kwa kutokujua

Ndio maana wengine wakigundua wanakimbilia CCM Kama ilivyo kwa kafulila na wenzie wote!!!

Hii nchi unaweza kutumikishwa bila kujua Kama unatumikiswa

Mpinzani pekee aliyebaki nchii hii ambaye ameisaliti system na kuamua kusimama na Watanzania ni Lissu tu!!

Vyama vyote ni matawi ya ccm huu ni ukweli mchungu ukitaka kujua hicho angalia ugumu wa kubadili mwenyekiti wa chama !!!

Siasa ya Tanzania ni ngumu kuliko siasa ya nchi yeyote duniani!!!
 
Tanzania hakuna vyama vya upinzania vyote ni ma agent wa CCM

Sema ndani ya upinzani Kuna baadhi ya watu makini ambao ningekuwa na uwezo ningevifuta vyama vyote vya upinzani na kuanzisha chama kimoja Cha kupambana na CCM.

Sio chadema sio act wazalendo sio cuf vyote vimejaaa majasusi wanaofanya kazi ya ccm kwa wengine kujua Kama ilivyo kwa Mbowe na Zitto na wengine kwa kutokujua

Ndio maana wengine wakigundua wanakimbilia CCM Kama ilivyo kwa kafulila na wenzie wote!!!

Hii nchi unaweza kutumikishwa bila kujua Kama unatumikiswa

Mpinzani pekee aliyebaki nchii hii ambaye ameisaliti system na kuamua kusimama na Watanzania ni Lissu tu!!

Vyama vyote ni matawi ya ccm huu ni ukweli mchungu ukitaka kujua hicho angalia ugumu wa kubadili mwenyekiti wa chama !!!

Siasa ya Tanzania ni ngumu kuliko siasa ya nchi yeyote duniani!!!
Are you rational being??🤔🤔🤔

Ujinga ni mzigo
 
CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu ipo kila mahali na kila Sehemu na inakubalika na kupendwa na mamilioni ya watanzania kutokana na kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania.
 
Tanzania hakuna vyama vya upinzania vyote ni ma agent wa CCM

Sema ndani ya upinzani Kuna baadhi ya watu makini ambao ningekuwa na uwezo ningevifuta vyama vyote vya upinzani na kuanzisha chama kimoja Cha kupambana na CCM.

Sio chadema sio act wazalendo sio cuf vyote vimejaaa majasusi wanaofanya kazi ya ccm kwa wengine kujua Kama ilivyo kwa Mbowe na Zitto na wengine kwa kutokujua

Ndio maana wengine wakigundua wanakimbilia CCM Kama ilivyo kwa kafulila na wenzie wote!!!

Hii nchi unaweza kutumikishwa bila kujua Kama unatumikiswa

Mpinzani pekee aliyebaki nchii hii ambaye ameisaliti system na kuamua kusimama na Watanzania ni Lissu tu!!

Vyama vyote ni matawi ya ccm huu ni ukweli mchungu ukitaka kujua hicho angalia ugumu wa kubadili mwenyekiti wa chama !!!

Siasa ya Tanzania ni ngumu kuliko siasa ya nchi yeyote duniani!!!
Kuhusu Kubadili Mwenyekiti naweza kukuamini

1. Cuf- Lipumba
2. NCCR- mbatia
3.Chadema- Mbowe
4. UDP- Cheyo

Ni kweli vyama hivi ni maagent ya ccm. Tupo wanachama tunaodhani ni vyama kweli na tunavjtumikia kwa makini sana kumbe wanaoviongoza sio wenzetu.

Inafik mahali mpaka viongozi wanaumia na kuumizwa wao na wanachama. Kwa hali hii unaweza kudhani ni vyama kweli.

Tundu Lissu Mungu akuweke Brqza.
 
Kuwepo pandikizi wa CCM ndani ya vyama vya upinzani sio jambo la ajabu nadhani ata vyama vya upinzani vipo na pandikizi wao katika CCM(na hii haifanyi kwamba ulichosema ni sahihi)

Kama Mbowe ni pandikizi kutoka CCM basi inabidi kurejea nyuma kujua CHADEMA iliundwa vipi unaweza pata ukweli wa hoja yako.(kingine angekuwa pandikizi sidhani kama angekubali kupitishwa kwenye hatari zote hizi anapitia, ikiwa pamoja na kudhulumiwa mali zake vipindi kadhaa nyuma)

CCM wana pandikizi sio tu kwenye vyama vya upinzani bali katika mifumo yote ya kisiasa,kiulinzi,kiuchumi na hata katika familia yenu kuna pandikizi wa CCM pia
 
Tanzania hakuna vyama vya upinzania vyote ni ma agent wa CCM

Sema ndani ya upinzani Kuna baadhi ya watu makini ambao ningekuwa na uwezo ningevifuta vyama vyote vya upinzani na kuanzisha chama kimoja Cha kupambana na CCM.

Sio chadema sio act wazalendo sio cuf vyote vimejaaa majasusi wanaofanya kazi ya ccm kwa wengine kujua Kama ilivyo kwa Mbowe na Zitto na wengine kwa kutokujua

Ndio maana wengine wakigundua wanakimbilia CCM Kama ilivyo kwa kafulila na wenzie wote!!!

Hii nchi unaweza kutumikishwa bila kujua Kama unatumikiswa

Mpinzani pekee aliyebaki nchii hii ambaye ameisaliti system na kuamua kusimama na Watanzania ni Lissu tu!!

Vyama vyote ni matawi ya ccm huu ni ukweli mchungu ukitaka kujua hicho angalia ugumu wa kubadili mwenyekiti wa chama !!!

Siasa ya Tanzania ni ngumu kuliko siasa ya nchi yeyote duniani!!!
Loo! Pole, huna uwezo.
 
Huna unachokijua kuhusu suala hili.

Mapandikizi au Mamluki hadi Wanafungwa Jela gerezani kwa Kesi feki, wewe unashangaa hayo ya Mbowe!

Je, unawafahamu wake Askari Polisi wawili waliohusika kumuua yule aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (Tiss) marehemu Imran Kombe?? Je, bado wapo jera huko Gerezani walikofungwa?
Najua zaidi man ndio maana nimekueleza ukitaka kujua Mbowe si pandikizi kwanza jua historia ya CHADEMA imetokea wapi.

Kwenye michezo ya CCM vs upinzani hakuna ujasusi wa kujitoa hivyo kizembe man.CCM ana direct influence kwenye vyombo vyote vya usalama kwahiyo kama atahitaji kuibomoa CHADEMA hana sababu ya kutumia Mbowe.Kwenye siasa kuna mapandikizi tu ambayo kazi yake ni kutibua mipango ya mpinzani na sio hizi habari zako
 
Sasa kuliko kuivishangaa vyama kinzani,

Chukua muda kidogo ,jiulize kuwa nguvu hii ya CCM wameipata wapi ikiwa ni chama Cha siasa kama vyama vingine?
 
Nakuamini unaposema Mbowe ni pandikizi. Ni juzi tu hapa Mbowe alikuwa anamtetea Samiah, Leo Samiah kamgeuka kaanza kuitisha maandamano uchwara na watu wakamsusia. Sasa hivi analazimisha CHADEMA iingie kwenye uchaguzi ili kulipa CCM uhalali wa kutawala.
 
1.Hivi kwa nini Tundu Lissu alimiminiwa risasi nyingi namna ile kule Dodoma?
2. Kwa nini Mzee Kibao aliuawa kikatili Namba ile kule Ununio ?
3. Kwa nini Watu/wanachama wengi Sana wa Chadema wamekuwa wakitekwa na kisha kuuawa au kupotezwa??
Mwenye majibu yote ni jeshi la polisi(hakuna raia mwenye jibu sahihi kwenye haya matukio yote uliyosema tofauti na speculations)

Kuhusu kupigwa risasi Tundu Lissu nadhani yeye binafsi anaweza kuwa na dondoo nini kilitokea tofauti na hapo lazima usubiri taarifa rasmi ya uchunguzi kutoka jeshi la polisi(kitu ambacho sijui wamefika wapi mpaka sasa)

Wanachama wa CHADEMA kutekwa na wengi kuuliwa nadhani katika hili kuna hoja moja tu ambayo inaweza kuwa sahihi au isiwe sahihi(Serikali inayotawala inasimamia policies za CCM, kama hii ni true basi hakuna namna itakuwa na uhusiano mzuri na wanachama wa CHADEMA. Kwanini nasema hivi:
1:CHADEMA wanazo sera za kumjenga mtanzania na taifa lake,lakini pia wanayo ajenda ya kushika dola(kuiondoa CCM madarakani).Kama hii itakuwa sawa,basi ni kwamba conflicts kwa pande hizi mbili(CCM vs CHADEMA)hazikosi na matokeo yanaweza kuwa kama kutekana na kumpoteza mpinzani wako.

2:CCM ni chama tawala na mifumo yote ya kimaisha katika taifa letu inakuwa influenced na muonekano wa CCM kwa wakati husika(hapa nazungumzia sera,uongozi wake nakuendelea).Hii ikiwa ni sahihi, maana yake ni kwamba hawawezi kukubali kupoteza ushawishi huu kizembe ndio maana pale inapobidi humchezea rafu mpinzani wake. Ndio tunaenda huko kwenye kutekana na mauaji.

Kwahiyo,hapa unaweza kuhitimisha tu kusema kwamba serikali(CCM akiwa na ushawishi mkubwa) inajua sababu za wanachama wa CHADEMA kutekwa na kupotea kusiko julikana.Otherwise,hii inabaki kuwa kazi ya polisi ndio wanaweza kukupa jibu sahihi(hii utasubiri mpaka bwana atarudi))
 
CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu ipo kila mahali na kila Sehemu na inakubalika na kupendwa na mamilioni ya watanzania kutokana na kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
 
Tanzania hakuna vyama vya upinzania vyote ni ma agent wa CCM

Sema ndani ya upinzani Kuna baadhi ya watu makini ambao ningekuwa na uwezo ningevifuta vyama vyote vya upinzani na kuanzisha chama kimoja Cha kupambana na CCM.

Sio chadema sio act wazalendo sio cuf vyote vimejaaa majasusi wanaofanya kazi ya ccm kwa wengine kujua Kama ilivyo kwa Mbowe na Zitto na wengine kwa kutokujua

Ndio maana wengine wakigundua wanakimbilia CCM Kama ilivyo kwa kafulila na wenzie wote!!!

Hii nchi unaweza kutumikishwa bila kujua Kama unatumikiswa

Mpinzani pekee aliyebaki nchii hii ambaye ameisaliti system na kuamua kusimama na Watanzania ni Lissu tu!!

Vyama vyote ni matawi ya ccm huu ni ukweli mchungu ukitaka kujua hicho angalia ugumu wa kubadili mwenyekiti wa chama !!!

Siasa ya Tanzania ni ngumu kuliko siasa ya nchi yeyote duniani!!!

..unatakiwa uifute Ccm ili uwanja wa kufanya siasa Tanzania uwe sawa.
 
..unatakiwa uifute Ccm ili uwanja wa kufanya siasa Tanzania uwe sawa.
Vikiwa vyama viwili ni rahisi kuliko kuwa na utitiri wa vyama maana CCM anatumia divide and rule kwa kuwatumia watu wanaojifanya wapinzani
 
Kuhusu Kubadili Mwenyekiti naweza kukuamini

1. Cuf- Lipumba
2. NCCR- mbatia
3.Chadema- Mbowe
4. UDP- Cheyo

Ni kweli vyama hivi ni maagent ya ccm. Tupo wanachama tunaodhani ni vyama kweli na tunavjtumikia kwa makini sana kumbe wanaoviongoza sio wenzetu.

Inafik mahali mpaka viongozi wanaumia na kuumizwa wao na wanachama. Kwa hali hii unaweza kudhani ni vyama kweli.

Tundu Lissu Mungu akuweke Brqza.
ACT - Zitto, umeisahau? au umeiunganisha CCM.
 
Vikiwa vyama viwili ni rahisi kuliko kuwa na utitiri wa vyama maana CCM anatumia divide and rule kwa kuwatumia watu wanaojifanya wapinzani

..matatizo yote yanasababishwa na Ccm na mfumo wanaoukumbatia.

..kukwepa kushughulikia Ccm ni sawa mgonjwa wa malaria daktari anamtibu homa, viungo kuuma, kukosa hamu ya kula, badala ya kumtibu malaria.
 
Back
Top Bottom