Ningekuwa nafasi ya kuongoza Taifa ningewaomba Wachina ushauri wa Uchumi, Elimu, na Teknolojia

Ningekuwa nafasi ya kuongoza Taifa ningewaomba Wachina ushauri wa Uchumi, Elimu, na Teknolojia

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Kama mimi ningekuwa katika nafasi hiyo ya kuongoza taifa.

Kitu pekee namba moja ningewaomba wachina katika ziara yangu mimi na jopo langu basi si kingine zaidi ya washauri wa masuala ya uchumi, elimu na teknolojia.

Ningepambana mimi na jopo langu jinsi tuwezavyo serikali ya China itupatie washauri katika maeneo hayo kwa ngazi zote kijiji mpaka taifani.

Baada ya hapo ni kusaini makubaliano ya mabadilishano ya mafunzo ya uongozi kati ya nchi yangu na China, mabadilishano ya wataalam katika maeneo mbali mbali.

Tungepambana kweli kweli China wasitunyime haya kwa namna tuwezavyo.

Soma Pia: Rais Samia azungumza na Rais wa China, asisitiza Mpango wa Kuendeleza Miundombinu na Kukuza Uwekezaji
 
Upo sahihi, mimi binafsi ningeomba wataalamu wa mambo ya kiuchumi toka U. K.
Kwani naamini wataalamu wetu bado hawajaiva katika kuona wafanyaje katika maswala ya kikodi, wao wanachojua ni ongeza pale, na pale na pale kodi,bana huku,.
 
Upo sahihi, mimi binafsi ningeomba wataalamu wa mambo ya kiuchumi toka U. K.
Kwani naamini wataalamu wetu bado hawajaiva katika kuona wafanyaje katika maswala ya kikodi, wao wanachojua ni ongeza pale, na pale na pale kodi,bana huku,.
Nakubaliana na wewe upo sahihi.

Mpaka hapa tulipo tumefeli kukua kiuchumi kwa ubora, sisi ni masikini.

Maana yake nini ? Ni kwamba tuna sera mbovu za kukuza uchumi wetu na kama tuna sera mbovu maana yake pia tuna washauri wabovu.

Matatizo ya kiuchumi uliodorora tumekuwa nayo toka awamu ya kwanza mpaka leo maana yake tunashida kubwa.

Ni bora tujifunze kwa waliotupita na kufanikiwa kuliko sisi.
 
Hata kama tukipewa hiyo elimu, yule mwenye ujuzi anakaa benchi na anachukuliwa mtu kiundugu. Ataambiwa atajifunza mengine akiwa kazini.
 
Achana na wachina. Hata wao walihifunza kwa wazungu tena kwa kuchelewa. Wenzao wajapani walistukia dili wakajifunza mapema ndio mqqna waliitawala hqdi china.
 
Kama mimi ningekuwa katika nafasi hiyo ya kuongoza taifa.

Kitu pekee namba moja ningewaomba wachina katika ziara yangu mimi na jopo langu basi si kingine zaidi ya washauri wa masuala ya uchumi, elimu na teknolojia.

Ningepambana mimi na jopo langu jinsi tuwezavyo serikali ya China itupatie washauri katika maeneo hayo kwa ngazi zote kijiji mpaka taifani.

Baada ya hapo ni kusaini makubaliano ya mabadilishano ya mafunzo ya uongozi kati ya nchi yangu na China, mabadilishano ya wataalam katika maeneo mbali mbali.

Tungepambana kweli kweli China wasitunyime haya kwa namna tuwezavyo.

Soma Pia: Rais Samia azungumza na Rais wa China, asisitiza Mpango wa Kuendeleza Miundombinu na Kukuza Uwekezaji
Unafikiri tatizo ni USHAURI?!
Naamini kama NCHI tunawashauri wazuri sana katika nyanja zote.

Lakini je, tunaweza kutekeleza hicho tunachoshauriwa?! Shida kubwa ipo mahala hapa.
 
Achana na wachina. Hata wao walihifunza kwa wazungu tena kwa kuchelewa. Wenzao wajapani walistukia dili wakajifunza mapema ndio mqqna waliitawala hqdi china.
Nachozungumzia hapa ndio hicho kujifunza popote pale tutakapoona panatufaa lazima tuombe washauri haswa wa masuala hayo.
 
Kama mimi ningekuwa katika nafasi hiyo ya kuongoza taifa.

Kitu pekee namba moja ningewaomba wachina katika ziara yangu mimi na jopo langu basi si kingine zaidi ya washauri wa masuala ya uchumi, elimu na teknolojia.

Ningepambana mimi na jopo langu jinsi tuwezavyo serikali ya China itupatie washauri katika maeneo hayo kwa ngazi zote kijiji mpaka taifani.

Baada ya hapo ni kusaini makubaliano ya mabadilishano ya mafunzo ya uongozi kati ya nchi yangu na China, mabadilishano ya wataalam katika maeneo mbali mbali.

Tungepambana kweli kweli China wasitunyime haya kwa namna tuwezavyo.

Soma Pia: Rais Samia azungumza na Rais wa China, asisitiza Mpango wa Kuendeleza Miundombinu na Kukuza Uwekezaji
Waitress ,tulia kwanza.....
 
Alafu uufanyie kazi huo ushauri?? Kupewa ushauri ni jambo moja, ushauri huo kutekelezeka na jambo tofauti.

Mwalimu yalimshinda hayo ya kuiga China.
 
Kama mimi ningekuwa katika nafasi hiyo ya kuongoza taifa.

Kitu pekee namba moja ningewaomba wachina katika ziara yangu mimi na jopo langu basi si kingine zaidi ya washauri wa masuala ya uchumi, elimu na teknolojia.

Ningepambana mimi na jopo langu jinsi tuwezavyo serikali ya China itupatie washauri katika maeneo hayo kwa ngazi zote kijiji mpaka taifani.

Baada ya hapo ni kusaini makubaliano ya mabadilishano ya mafunzo ya uongozi kati ya nchi yangu na China, mabadilishano ya wataalam katika maeneo mbali mbali.

Tungepambana kweli kweli China wasitunyime haya kwa namna tuwezavyo.

Soma Pia: Rais Samia azungumza na Rais wa China, asisitiza Mpango wa Kuendeleza Miundombinu na Kukuza Uwekezaji
Kwani unadhani watu wa aina hiyo hawapo?, Wapo ila hawatumiki
 
Hii serikali ya CCM kamwe haiwezi kutanguliza maslahi mapana ya nchi. Ukiona kampuni kama DP world linapigiwa upatu ujue kuna wakubwa wameshatega mirija humo.

Jaribu tu kufikiria, serikali ya CCM haitaki watanzania wenzetu (Diasporas) wenye akili kubwa kuwapa uraia pacha wakihofia nafasi zao za kisiasa na maslahi yao kiuchumi. Sembuse kukubali races nyingine kwenye maamuzi.

CCM inahitaji reform au ijifie ndipo watanzania tutapata maendeleo ya kasi kulingana na rasilimali tulizonazo.
 
Back
Top Bottom