Timotheo Atanas Mongo
New Member
- May 24, 2024
- 2
- 3
Natanguliza samahani kwa uwandishi wangu wengu wenye lafudhi ya mkoani tabora pia samahani kwa uwandishi mbovu kulingana na elimu yangu kuwa dogo.
Kwa jina wanalo tumia kunita ni Timotheo kiss mtandaoni ila jina kamili ni Timotheo A. Mongo,
Mawazo yangu katika shindano ili pamoja nauwakika wangu mdogo wa kushinda ila ningeomba kueleweka kwa ufupi, tafsili ya neno BungT ni Business of Everything Tanzanian nami ni mtalajiwa muanzilishi wa taasisi iyo. Yani C E O,
nipo katika muendelezo wa kujifunza elimu ya kujiajir na kuajili
Na kutafuta vijana wenzangu walau tuwe wanne katka kuanzisha Kampuni inayo husu Ifugaji unenepeshaji mbuzi na ng'ombe wa nyama,
Ushauli wangu kwa serikali katika kusaidia vijana wanao itaji kujiajili ni kupunguza kodi na kuwapa vibali maalumu watakavyo vitumia ndani ya mwaka mzuma bila kulipa bakodi kadhaa, pamoja na kufahamu jitiada zinazo fanywa na serikali ya mikopo ya 10% ni mpango ambao naona auta wafikia vijana wengi ata robo ya vijana wa taifa ili aita fika,
Mashaka yangu katika usalama wa taifa wimbi la vijana katika uwalifu limekuwa kubwa vijana kushinda kwenye beting asa mijini vijana walio na elimu na wasio na elimu wote wanabeti na kukaba na hii inatokana na nchi kukosa Mipango mizuri kwa vijana,
nikimalizia na nukuu ya VIJANA NI TAIFA LA LEO NA KESHO.
Kwa jina wanalo tumia kunita ni Timotheo kiss mtandaoni ila jina kamili ni Timotheo A. Mongo,
Mawazo yangu katika shindano ili pamoja nauwakika wangu mdogo wa kushinda ila ningeomba kueleweka kwa ufupi, tafsili ya neno BungT ni Business of Everything Tanzanian nami ni mtalajiwa muanzilishi wa taasisi iyo. Yani C E O,
nipo katika muendelezo wa kujifunza elimu ya kujiajir na kuajili
Na kutafuta vijana wenzangu walau tuwe wanne katka kuanzisha Kampuni inayo husu Ifugaji unenepeshaji mbuzi na ng'ombe wa nyama,
Ushauli wangu kwa serikali katika kusaidia vijana wanao itaji kujiajili ni kupunguza kodi na kuwapa vibali maalumu watakavyo vitumia ndani ya mwaka mzuma bila kulipa bakodi kadhaa, pamoja na kufahamu jitiada zinazo fanywa na serikali ya mikopo ya 10% ni mpango ambao naona auta wafikia vijana wengi ata robo ya vijana wa taifa ili aita fika,
Mashaka yangu katika usalama wa taifa wimbi la vijana katika uwalifu limekuwa kubwa vijana kushinda kwenye beting asa mijini vijana walio na elimu na wasio na elimu wote wanabeti na kukaba na hii inatokana na nchi kukosa Mipango mizuri kwa vijana,
nikimalizia na nukuu ya VIJANA NI TAIFA LA LEO NA KESHO.
Upvote
5