Ningependa kujua kisheria ni daktari mwenye sifa zipi anaruhusiwa kufanya postmoterm

Joined
Jan 12, 2015
Posts
67
Reaction score
59
ninavyosikia Daktari mwenye cheo kuanzia cha AMO, MD nakuendelea ndo wanaoruhusiwa kufanya postmoterm. sasa ningependa kujua ni sheria ipi au kanuni zipi zina wapa power ya kufanya postmoterm. Ningependa kujua Sheria au kanuni haswa, kwasababu hapa nilipo nafanya reserch. So majibu yenu yatanisaidia sana.
 
Pathologist hususani Forensic Pathologist
 
Inategemea na taasisi pamoja na upatikanaji wa wataalam likienda sambamba na uhitaji wa kufanya PM
 
fafanua vizuri hiyo research unayofanya na kwa nini..!! na unaifanya wewe kama nani...!!..
ila tuseinde mbali sasa, inategemea upatikanaji wa wataalamu na case husika.
Kadri utata unavyozidi ndivyo mtaalamu husika atahitajika.
case nyingine simple, hazina mbwembwe mfano stroke, poisoning, ila zinaweza zikawa complicated na watu tu, mfano kwenye poisoning pengine watu wakataka kujua hadi type ya poison iliyoua mtu sasa hapo unakuta anahitajika mtaalamu zaidi ili majibu yatolewe.
so kuanzia MD anaweza fanya, ikibidi hata AMO anafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…